Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Paundi million 60
tapatalk_1699576378237.jpeg
 
Mkuu mimi mashindano ya ueropa nilishaga ya kata sio hadhi yetu kama man u kwaiyo uji kunikuta nafatilia iyo michezo hadhi yetu sisi ni uefa tu.

Kiufupi mimi ueropa nilishaga ikataa kiufupi yani huko siusiki nachochote kinachoendelea.
Ally vip mkuuu kwan man shida nnj kaka kocha au wachezaji
 
Watoto wa bwenyenye Sir Jim hawa hapa.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

My prediction
Man united 3 Vs Tottenham 1

watapigwa sana wale.
Unachokifanya Ni kujitukanisha, unajidhalilisha mkuu
 
Watoto wa bwenyenye Sir Jim hawa hapa.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction
Man united 3 Vs Tottenham 1

watapigwa sana wale.
Punda kabisa 😅🤣🤣
 
Ni kipigo cha Mbwa koko kama wanavofanyiwa wavaa kobasi wa Hezbollah 😄😄

Ngeu tu
 
Back
Top Bottom