Ttz watapisha wangapiEtH atupishe..
Muandike barua FA ya kuomba kujitoa kwenye mashindano ya EPLDaahhh sasa hivi kila timu inatamani zaidi kucheza Old Trafford kuliko kwenye dimba lao la nyumbani.
#Kwetu kama kwao.
Muwashukuru Spurs wamekuwa waungwanaDaahhh sasa hivi kila timu inatamani zaidi kucheza Old Trafford kuliko kwenye dimba lao la nyumbani.
#Kwetu kama kwao.
Ndio uwezo wao ulipoishia hapo.Hii timu kuna mgomo ama
MKuu uligeuza matokeo yako!Watoto wa bwenyenye Sir Jim hawa hapa.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁
My prediction
Man united 3 Vs Tottenham 1
watapigwa sana wale.
Kasema mkimfukuza anaenda kuchukua makombe sehemu nyingine🤠🤠🤠....mzee ana mikwara sana....Sasa Hawa Spurs wanawatindua hivi siku mkikutana na wazee wa Haram football si mtakula kono la nyani nynyTumpe muda mpaka azeeke united alichobakisha kipara ni kutushusha daraja tu basi. Akaanze nayo upya
Ally vip mkuuu kwan man shida nnj kaka kocha au wachezajiMkuu mimi mashindano ya ueropa nilishaga ya kata sio hadhi yetu kama man u kwaiyo uji kunikuta nafatilia iyo michezo hadhi yetu sisi ni uefa tu.
Kiufupi mimi ueropa nilishaga ikataa kiufupi yani huko siusiki nachochote kinachoendelea.