Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naanza kukubaliana na wale waliokuwa wanasema EtH hatufai. Hii game Bruno hakutakiwa kuanza, amechoka, anatakiwa atulizwe ajitafute, labda alitaka apate kadi nyekundu ndio ampumzishe kwa lazima.

Nilisema humu tena, wachezaji wetu wanapata mpira hawajui wafanye nini, ni kama vile hawapo uwanjani. Mchezaji anapigiwa pasi anashtuka ni kama hakutarajia. Hakuna mpango wowote, wanacheza kubahatisha tu.

Hii timu haina kocha!
It was a grave mistake kuendelea na ten hag toka amekuja team haina mfumo inacheza tu pressing hakuna yaani kama kuku tu walipachiwa bandani hapa kupata matokeo kipara afukuzwe rashford hana anachosaidia hata acheze dk zote ni takataka
 
Nyumbu leo mmevaa Uzi mweupe? Sasa mbona onana anadakia kwa spurs waliovaa nyekundu?

Au nimelewa?
Yqmejificha...yamekimbia na jukwaa lao kabisa🤣🤣🤣...hyu refa anayechezesha hii mechi ndo yule alompa Rice kadi nyekundu...mshenzi sana ana mkono mwepesi....Kobekobe Mauno atafute timu January ya kwenda....hii timu itamzeesha hyu mtoto mapema sana
 
Watoto wa bwenyenye Sir Jim hawa hapa.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction
Man united 3 Vs Tottenham 1

watapigwa sana wale.
Wewe PIMBI upo,tupe Matokeo huko Kenge wewe,kazi kupiga domo tu kwenye majukwaa ya watu
 
Ni dhahiri RTH kashapoteza dressing room timu haina hari wala haielweke sidhani kama atapona baada ya mechi ya leo.
 
Yqmejificha...yamekimbia na jukwaa lao kabisa...hyu refa anayechezesha hii mechi ndo yule alompa Rice kadi nyekundu...mshenzi sana ana mkono mwepesi....Kobekobe Mauno atafute timu January ya kwenda....hii timu itamzeesha hyu mtoto mapema sana
Kimsingi hii game nyumbu inabidi afe sio chini ya tatu (3)
 
Mamaeh watatuua wapuuzi hawa
IMG_3781.jpeg
 
Back
Top Bottom