Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,623
- 40,186
Hamna timu humoHii timu kuna mgomo ama
Hamna timu humoHii timu kuna mgomo ama
It was a grave mistake kuendelea na ten hag toka amekuja team haina mfumo inacheza tu pressing hakuna yaani kama kuku tu walipachiwa bandani hapa kupata matokeo kipara afukuzwe rashford hana anachosaidia hata acheze dk zote ni takataka
Yqmejificha...yamekimbia na jukwaa lao kabisa🤣🤣🤣...hyu refa anayechezesha hii mechi ndo yule alompa Rice kadi nyekundu...mshenzi sana ana mkono mwepesi....Kobekobe Mauno atafute timu January ya kwenda....hii timu itamzeesha hyu mtoto mapema sanaNyumbu leo mmevaa Uzi mweupe? Sasa mbona onana anadakia kwa spurs waliovaa nyekundu?
Au nimelewa?
Wewe PIMBI upo,tupe Matokeo huko Kenge wewe,kazi kupiga domo tu kwenye majukwaa ya watuWatoto wa bwenyenye Sir Jim hawa hapa.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁
My prediction
Man united 3 Vs Tottenham 1
watapigwa sana wale.
Kimsingi hii game nyumbu inabidi afe sio chini ya tatu (3)Yqmejificha...yamekimbia na jukwaa lao kabisa...hyu refa anayechezesha hii mechi ndo yule alompa Rice kadi nyekundu...mshenzi sana ana mkono mwepesi....Kobekobe Mauno atafute timu January ya kwenda....hii timu itamzeesha hyu mtoto mapema sana
Hadi ORS zipo ...dah mna hali mbayaMamaeh watatuua wapuuzi hawaView attachment 3110393
Glory days🥶Najua sikufanya makosa kuchagua hii timu kwenye soka la ulaya. Ilikuwa timu yenye wanyama haswa!...View attachment 3110399
Ten hag asipofukuzwa after hii mat ch sijui tenaHamna timu hapa
Bado watampa mudaTen hag asipofukuzwa after hii mat ch sijui tena