Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mashabiki wa man u waliokuwa upande wa huyu zombi kwenye mgogoro wake na ronaldo wanajielewa kweli?
20240926_001105.jpg
 
Ten Hag is a good manager. He just needs to improve his tactics, coaching, man management, defensive structure, press, substitutions and talent ID.
 
So we’re £650m and three years into Ten Hag’s time at the club. Our only wins of the season have come against Fulham, Barnsley and Southampton 😂😂

If you support this bloke, you’re not a United fan.

My bad, you might be a fan but a plastic one
 
Kabla ya mechi Erik akasema inamuuma sana kuumiza kitu unachokipenda.

Alitoa kauli hiyo kwakua alikaa na FC Twente kwa muda mkubwa hivyo alidai ataipiga kipigo cha mbwa mwizi ila itamuuma sana
 
Kabla ya mechi Erik akasema inamuuma sana kuumiza kitu unachokipenda.

Alitoa kauli hiyo kwakua alikaa na FC Twente kwa muda mkubwa hivyo alidai ataipiga kipigo cha mbwa mwizi ila itamuuma sana
Tumeona kipigo cha mbwa koko
 
Mashabiki wa hii timu ukiwatafakari akili zao unakosa majibu. Yaani wanapata wapi ujasiri kuja kutupigia kelele kwenye jukwaa letu la Arsenal?
 
Mashabiki wa hii timu ukiwatafakari akili zao unakosa majibu. Yaani wanapata wapi ujasiri kuja kutupigia kelele kwenye jukwaa letu la Arsenal?
Ni kwa sababu mmekua wasindikizaji kwenye makombe ya maana miaka nenda rudi
 
🥹😁😁😁😁😁😁🥹😁😁😁😁😁😁🥹😁😁😁😁😁😁🥹😁😁😁😁😁🥹😁😁😁😁😁🥹😁😁😁😁😁🥹 hili ndo kubwa jinga la kila wiki
 

Attachments

  • JamiiForums258363410.jpeg
    JamiiForums258363410.jpeg
    54.4 KB · Views: 18
Back
Top Bottom