the palace
JF-Expert Member
- Jan 11, 2018
- 365
- 1,080
#GGMU
Point 3 muhimu , !
Point 3 muhimu , !
Mpo ugenini au Nyumbani shehe🤠🤠🤠....mbona mnatulazumisha sana kuwasema mkuu....mkaamua na Casemiro mumpige chini lakini wapiWatoto wa bwenyenye Sir Jim hawa hapa.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁
My prediction
Man united 3 Vs Tottenham 1
watapigwa sana wale.
Kunywa supu uzimue😂Nyumbu leo mmevaa Uzi mweupe? Sasa mbona onana anadakia kwa spurs waliovaa nyekundu?
Au nimelewa?