Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Watoto wa bwenyenye Sir Jim hawa hapa.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction
Man united 3 Vs Tottenham 1

watapigwa sana wale.
Mpo ugenini au Nyumbani shehe🤠🤠🤠....mbona mnatulazumisha sana kuwasema mkuu....mkaamua na Casemiro mumpige chini lakini wapi
 
Nyumbu leo mmevaa Uzi mweupe? Sasa mbona onana anadakia kwa spurs waliovaa nyekundu?

Au nimelewa?
 
It was a grave mistake kuendelea na ten hag toka amekuja team haina mfumo inacheza tu pressing hakuna yaani kama kuku tu walipachiwa bandani hapa kupata matokeo kipara afukuzwe rashford hana anachosaidia hata acheze dk zote ni takataka
 
Back
Top Bottom