Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kabla ya mechi Erik akasema inamuuma sana kuumiza kitu unachokipenda.

Alitoa kauli hiyo kwakua alikaa na FC Twente kwa muda mkubwa hivyo alidai ataipiga kipigo cha mbwa mwizi ila itamuuma sana
Kwa ile kauli tu ilitakiwa mabosi wa Utd baada ya mechi wamtimue...ten hag anawa sabotage....wameleta Kila silaha...sijui Ugarte sijui Zirkzee sijui yule shehe mwenye mandevu beki 2 lakini wapi....wanachokifanya uwanjani wanakijua wenyewe.....Hawa jamaa wanatulazimisha sana kuwasema....hatupendi kuwasema ila hatuna namna
 
Kwa ile kauli tu ilitakiwa mabosi wa Utd baada ya mechi wamtimue...ten hag anawa sabotage....wameleta Kila silaha...sijui Ugarte sijui Zirkzee sijui yule shehe mwenye mandevu beki 2 lakini wapi....wanachokifanya uwanjani wanakijua wenyewe.....Hawa jamaa wanatulazimisha sana kuwasema....hatupendi kuwasema ila hatuna namna
Siku hizi wamebaki kutafuta pa kufutia machungu kujifanya mashabiki wa City
 
Inabidi bwana Diddy amualike kwake ampe mbinu za kuwafanya wachezaji wawe Bora.
IMG-20240927-WA0309.jpg
 
Mashabiki wenzangu ndio akili zao hizo, wanaona yuko sawa
Sikiliza ww 7+3 hag ni kocha mzuri mkomalieni atawafikisha mbali sana anahitaji muda aunganishe team maana chemisty yake inahitaji muda zaidi si umeona mechi mliyoshinda tatu bila ile eeh pale gari ndio linawaka sasa ten hag ni zaidi ya pep guardiola
 
Hivi hii mwanitesa yunaitedi ni timu ya mpira au kikundi cha walina asali wa Sikonge ?
 
allypipi mkuu jana hatujaona kikosi ukipost km kawaida yako
Mkuu mimi mashindano ya ueropa nilishaga ya kata sio hadhi yetu kama man u kwaiyo uji kunikuta nafatilia iyo michezo hadhi yetu sisi ni uefa tu.

Kiufupi mimi ueropa nilishaga ikataa kiufupi yani huko siusiki nachochote kinachoendelea.
 
Watoto wa bwenyenye Sir Jim hawa hapa.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction
Man united 3 Vs Tottenham 1

watapigwa sana wale.
Nyumbu akicheza mashabiki wake duniani kote wanagaragara chini, nyumbu amechomwa mkuki wa shingo
 
Back
Top Bottom