D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,021
Kai Havertz is the first player to play 90 minutes and complete 0 passes in a game in the last 7 PL seasons.
Tumechafua social networks jana. Wana hasira sana kama polisi wa nchi fulani EA na raia wa chama fulaniKai Havertz is the first player to play 90 minutes and complete 0 passes in a game in the last 7 PL seasons.




Lakini kila kukicha ukosoaji wao wanauelekeza kwa Anthony kisa Kai ni pressing mashineKai Havertz is the first player to play 90 minutes and complete 0 passes in a game in the last 7 PL seasons.
Zikipatikana Ofa Nzuri sidhani kama kuna Haja ya kuendelea kubaki nao. Umri sio Rafiki kwao na Rashy haonyeshi Dalili zozote za Kukua.
Msimu Ukianza Bruno anakuwa amebakiza Mwaka Mmoja kwenye Mkataba wake, Yupo kwenye Gbp 240k Weekly, Rashy 375k, Shaw 200k. Hawa ukifanya Mazungumzo ya Mkataba Mpya Inabidi Uongeze Dau kitu ambacho kinaathiri Mazungumzo ya Mikataba na Wachezaji wengine huko Mbeleni.
Bruno Miguel Borges Fernandes:Sahihi! Bruno, Rashy, Shaw, Casa Hawa wakati Mzuri kuwauza. Rashy amesaini mkataba Mpaka 2028 na kwa wiki anachukua 375k + Bonus, Casa anachukua 450k + Bonus, Ukiangalia Wastani wa Umri wao na Unataka tengeneza timu wote ni wa Kuondoa.
KAI MASTER OF HARAMU FOOTBALLLakini kila kukicha ukosoaji wao wanauelekeza kwa Anthony kisa Kai ni pressing mashine
Kbsaa mzeeHamna timu hapa