Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 712
- 1,300
Chonde chonde msije kumfukuza professa wa mpira super ten hag
Tuzidi kumpa muda mazuri yanakuja



Tungewachabanga 10 leoKuna muda commentators walisema tushukuru kwamba arne slut akitangulia goli mbili anabaki anatawala mechi hadi iishe, angekua clop maji tungeita mma
Hana kitu huyo!Sisi Kama mashabiki wa washika bunduki (Arsenal) bado tunaimani na ten hag
Share holder wapya walifanya vizuri sana katika usajili, ila wamejipaka matope kumuacha 10 hag abakie, timu inauogopa mpira aiseeTungewachabanga 10 leo
Erik ten Hag back in 2022 when he joined Manchester United:
“I admire both, Manchester City and Liverpool. They play fantastic football. But eras come to an end.” 🫣![]()

Tunatafakari..Flano na kina ARV wapo wapi....wanaridhika kabisa na hii Hali kweli??...Sasa kama home kwako unatunguliwa hivi ukienda huko kwa watu itakuwaje Sasa...niliwaasa wajitahidi huu msimu Ili tusiwaseme sana lakini wapi....mechi ya tatu ya msimu unacheza kama unakaribia kumaliza ligi yaani umechoka kabisa...inasikitisha sana
Hadi unaona nyumbu wenyewe wanacheka, hii timu ilishakufa kitambo Sana
Moderator unganisheni huu Uzi na kula tunda kimasihara


Kwa hivi sasa furaha pekee ya Nyumbu hua tunaipata kwa Arsenyau kufungwa au kukosa kombe.
Mkuu mbona umefuta comment yako kule jukwaa la Majogoo?Kwa hivi sasa furaha pekee ya Nyumbu hua tunaipata kwa Arsenyau kufungwa au kukosa kombe.
Shabiki yoyote wa Utd anaetegemea kupata furaha kupitia hii timu ataishia kua disappointed tu na huenda akaichukia mpaka burudani yenyewe ya soka.
Lol! Asante sana b..., ila imekuwa vizuri imekuja mapema hii mechi, tumepata pa kupima changes ambazo tumefanya kwenye kikosi chetu.B… Mdakuzi nakuahidi leo sitoleta mjadala wa hii mechi, acha ibaki hivihivi.
Pole sana.