Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tofauti ya Liverpool ni wachezaji wake wakipata mpira tayari wanajua nini cha kufanya. Man U wachezaji ni kama hawana akili ya mpira, wakipata mpira ndio wafikirie kwanza cha kufanya, ndio maana unaona hata mipira mingi inapigwa hivyo hovyo. Wachezaji wanapata mpira lakini hawajui wafanye nini. Liverpool wanastahili kuwa mbele.

Kinachofuata sasa baada ya kocha kupewa wachezaji wote hawa, atafukuzwa yeye. Sioni mabadiliko yoyote kwenye hii timu.
Hata yeye mwenyewe anashalijua hilo kilicho baki ni kuzuga zuga tu hapo na kuchuma hela zake maana wakimvunjia mkataba watabidi wamlipe hela nyingi so
it's wise of a business man
 
Hata yeye mwenyewe anashalijua hilo kilicho baki ni kuzuga zuga tu hapo na kuchuma hela zake maana wakimvunjia mkataba utabidi wamlipe hela nyingi so
it's wise of a business man
Sidhani kama ana kitu anaweza kufanya huyu jamaa, hata Ole anamkimbiza.

Timu inacheza kizembe na kivivu sana! Pale kati leo ndio pako hoi bin taaban, wanaacha nafasi, wanapoteza mipira hovyo. Unatamani Casemiro atoke ila ukiangalia bench unasema abaki tu.
 
simuoni zirkzee kama anaweza kumuweka bechi hojlund
Yule sio Zikzee ni fellaini mtupu🤠🤠...wachezaji wa YouTube Hawa shida sana...na yule De Ligt sijui ni mbegu ya wapi ile....magwaya ana afadhali....tunasubiri tumuone hyo Ugarte naye tujue kama mmepigwa au ana afadhali...kiufupi majirani mna Hali mbaya sana
 
Yule sio Zikzee ni fellaini mtupu🤠🤠...wachezaji wa YouTube Hawa shida sana...na yule De Ligt sijui ni mbegu ya wapi ile....magwaya ana afadhali....tunasubiri tumuone hyo Ugarte naye tujue kama mmepigwa au ana afadhali...kiufupi majirani mna Hali mbaya sana
Sasa mchezaji alikua anakaa benchi unatarajia aje kufanya nini 😅
 
Nyumbu ni Nyumbu tu.
IMG-20240901-WA0087.jpg
 
Back
Top Bottom