arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Flano na kina ARV wapo wapi....wanaridhika kabisa na hii Hali kweli??...Sasa kama home kwako unatunguliwa hivi ukienda huko kwa watu itakuwaje Sasa...niliwaasa wajitahidi huu msimu Ili tusiwaseme sana lakini wapi....mechi ya tatu ya msimu unacheza kama unakaribia kumaliza ligi yaani umechoka kabisa...inasikitisha sanaHua mnataka wakina Joshua na Garnacho waanze 😂😂😂
12:00 jioni
Old Trafford 