Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ten hag everytime: nimuweke rashford af casemiro pale kati akichafue sana, badae niwaambie mashabiki watulie ntawapa makombe
images (8).jpeg
 
Mmecheza vzr sana. Yule dogo aliyeingia kukamata dimba kipindi cha pili noma sana.
Tafuteni kipa wa kueleweka.

Kobe mauno mtoeni kwa mkopo hata uarabuni dirisha bado lipo wazi other wise mme improve sana.
 
Sisi Kama mashabiki wa washika bunduki (Arsenal) bado tunaimani na ten hag
Hana kitu huyo!

Kuna jamaa sijui anaitwa Hamisi humu! Alikuwa anapambana sana na kuwaambia watu uwezo wa Ten Hag ni wa kawaida. Na kama kawaida mashabiki wa Man U humu wakawa wanabisha.

Ten Hag ni kocha mwenye uwezo wa kawaida sana. Ila ni mzuri sana kwenye kuongea. Binafsi namuona ni mwanasiasa.
 
Flano na kina ARV wapo wapi....wanaridhika kabisa na hii Hali kweli??...Sasa kama home kwako unatunguliwa hivi ukienda huko kwa watu itakuwaje Sasa...niliwaasa wajitahidi huu msimu Ili tusiwaseme sana lakini wapi....mechi ya tatu ya msimu unacheza kama unakaribia kumaliza ligi yaani umechoka kabisa...inasikitisha sana
Tunatafakari..
 
😂😂😂 huyu jamaa kaenda wapi?
 

Attachments

  • Screenshot_2024-09-01-20-21-37-729_com.quoord.jamiiforums.activity-edit.jpg
    Screenshot_2024-09-01-20-21-37-729_com.quoord.jamiiforums.activity-edit.jpg
    87.9 KB · Views: 14
Hadi unaona nyumbu wenyewe wanacheka, hii timu ilishakufa kitambo Sana

Moderator unganisheni huu Uzi na kula tunda kimasihara
Kwa hivi sasa furaha pekee ya Nyumbu hua tunaipata kwa Arsenyau kufungwa au kukosa kombe.
Shabiki yoyote wa Utd anaetegemea kupata furaha kupitia hii timu ataishia kua disappointed tu na huenda akaichukia mpaka burudani yenyewe ya soka.
 
I know individual errors cost us the game, and I also know that the players deserve criticism for continuously giving the ball away carelessly, but honest truth is that the set-up and approach was WRONG, and it's all down to the manager — Erik ten Hag.

I'll always back the manager, but being his third season, this is simply UNACCEPTABLE, and no one can blame the board if they decide they've seen enough.
 
Kwa hivi sasa furaha pekee ya Nyumbu hua tunaipata kwa Arsenyau kufungwa au kukosa kombe.
Shabiki yoyote wa Utd anaetegemea kupata furaha kupitia hii timu ataishia kua disappointed tu na huenda akaichukia mpaka burudani yenyewe ya soka.
Mkuu mbona umefuta comment yako kule jukwaa la Majogoo?
 
Back
Top Bottom