Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hua mnataka wakina Joshua na Garnacho waanze 😂😂😂
Flano na kina ARV wapo wapi....wanaridhika kabisa na hii Hali kweli??...Sasa kama home kwako unatunguliwa hivi ukienda huko kwa watu itakuwaje Sasa...niliwaasa wajitahidi huu msimu Ili tusiwaseme sana lakini wapi....mechi ya tatu ya msimu unacheza kama unakaribia kumaliza ligi yaani umechoka kabisa...inasikitisha sana
 
Leo ni Leo asie na mwana abebe jiwe.

Watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro wanashuka leo kwenda kumfunza adabu mzee kipara.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
weweeeeeh

My prediction
Manchester United 2 vs Watoto wa mzee kipara Big head 1

12:00 jioni
Old Trafford

Watapigwa sana wale vijana wa mzee kipara Big head.View attachment 3084172
Mmeshakula chuma 3 huko
 
Flano na kina ARV wapo wapi....wanaridhika kabisa na hii Hali kweli??...Sasa kama home kwako unatunguliwa hivi ukienda huko kwa watu itakuwaje Sasa...niliwaasa wajitahidi huu msimu Ili tusiwaseme sana lakini wapi....mechi ya tatu ya msimu unacheza kama unakaribia kumaliza ligi yaani umechoka kabisa...inasikitisha sana
Mi nilishawaambia hawagusi tena ile nafasi ya kwanza
 
Nina wasiwasi hawa nyumbu huenda Carrington wameigeuza kua nightclub badala ya uwanja wa mazoezi.
 
images (6).jpeg

Nasikia akina Omar walishindwa kumlipa mshahara huyu tactic magician
 
Back
Top Bottom