christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,150
- 5,060
Kwa usajili ulionyika hadi sasa ndio kitakuwa kipimo kizuri cha uwezo wa ETH especially akipatiwa Toney na Sterling.
Hapo anakuja sterling tu, toney kumpata ni ngumu.Kwa usajili ulionyika hadi sasa ndio kitakuwa kipimo kizuri cha uwezo wa ETH especially akipatiwa Toney na Sterling.
Dah katika dili naomba libume nila yule mkora sterling yule hapana we.Hapo anakuja sterling tu, toney kumpata ni ngumu.
Tuna viongozi wapya, najua wako makini sana kufanya assessment ya ETH km hafai basi itajulikana
Ila ni bora kuliko RashfordDah katika dili naomba libume nila yule mkora sterling yule hapana we.
Acheni roho mbaya Sterling mashine ya kazi injury free. Tuongezeeni basi angalau pesa kidogo kwa Mount acheni ubahili basi.Dah katika dili naomba libume nila yule mkora sterling yule hapana we.
Hawezi kuvuka tena hapo alipofikiaHalafu huyo bwana huu ni msimu wake wa kumi ndani ya premier league.
Lakini kila siku tunaambiwa ana potential ya kuwa top player
Waingereza wanateteana hapoHakuna usajiri natamani utokee Kama huu wa Sterling kutua unyumbuni
View attachment 3082180
Mashabiki wa simba na yanga hao mdau hawataki kusikia sare au kufungwaYani mashabiki bwana tumepoteza game Moja tu mmeanza lawama mimi nasubiri mzunguko wa kwanza uishe ndo nitaanza kuongea.
Maana mpaka uongozi umeingia mpya umemuamini Ten 10 nakumpa mkataba mpya ila fans wa bongo mnavyo piga kelele hapa.
Mchezaji ana kasi, nguvu, uwezo wa kukukokota mpira na kupiga free kick na zaidi kufunga magoli, Injury free STERLING chaguo sahihi kwenu. Nyumbu tusameheni kwa kuwapiga za uso kwa Mount ila sterling biashara isiyokata Mtaji. Acheni ubahili basi mchukeni


Dhulumati wakubwa nyie halafu nahisi hua mnatumia nguvu za giza sio bure, haiwezekani mkatuuzia Mauti kwa pesa ndefu namna ile. Antony £100M mbona hamlalamiki? Wivu tuu kwa Mount mashine ya kazi. Tuongezeni angau pesa kidogo kwa Mount acheni ubahili basi.Dhulumati wakubwa nyie halafu nahisi hua mnatumia nguvu za giza, haiwezekani mkatuuzia Mauti kwa pesa ndefu namna ile.
Kama vipi tuwarudishi Mauti wenu tuwape na Maguire kama kifungashio mturudishie £60m yetu.
Akiwa anacheza mount mtangazaji anapaswa kusema kutumia neno prolific champions league winner,watuongezee pesa.Antony £100M mbona hamlalamiki? Wivu tuu kwa Mount mashine ya kazi. Tuongezeni angau pesa kidogo kwa Mount acheni ubahili basi.
Mwakani chelsea tutamchukuanaungane na vijana wenzake mtu wa maana kabisa huyuMason Greenwood: dakika mbili, magoli mawili