Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa usajili ulionyika hadi sasa ndio kitakuwa kipimo kizuri cha uwezo wa ETH especially akipatiwa Toney na Sterling.
 
Hakuna usajiri natamani utokee Kama huu wa Sterling kutua unyumbuni
JamiiForums-1653831490.jpg
 
Yani mashabiki bwana tumepoteza game Moja tu mmeanza lawama mimi nasubiri mzunguko wa kwanza uishe ndo nitaanza kuongea.

Maana mpaka uongozi umeingia mpya umemuamini Ten 10 nakumpa mkataba mpya ila fans wa bongo mnavyo piga kelele hapa.
Mashabiki wa simba na yanga hao mdau hawataki kusikia sare au kufungwa
 
Mchezaji ana kasi, nguvu, uwezo wa kukukokota mpira na kupiga free kick na zaidi kufunga magoli, Injury free STERLING chaguo sahihi kwenu. Nyumbu tusameheni kwa kuwapiga za uso kwa Mount ila sterling biashara isiyokata Mtaji. Acheni ubahili basi mchukeni
 
Mchezaji ana kasi, nguvu, uwezo wa kukukokota mpira na kupiga free kick na zaidi kufunga magoli, Injury free STERLING chaguo sahihi kwenu. Nyumbu tusameheni kwa kuwapiga za uso kwa Mount ila sterling biashara isiyokata Mtaji. Acheni ubahili basi mchukeni
Dhulumati wakubwa nyie halafu nahisi hua mnatumia nguvu za giza sio bure, haiwezekani mkatuuzia Mauti kwa pesa ndefu namna ile.
Kama vipi tuwarudishie Mauti wenu tuwape na Maguire kama kifungashio mturudishie £60m yetu.
 
Dhulumati wakubwa nyie halafu nahisi hua mnatumia nguvu za giza, haiwezekani mkatuuzia Mauti kwa pesa ndefu namna ile.
Kama vipi tuwarudishi Mauti wenu tuwape na Maguire kama kifungashio mturudishie £60m yetu.
Antony £100M mbona hamlalamiki? Wivu tuu kwa Mount mashine ya kazi. Tuongezeni angau pesa kidogo kwa Mount acheni ubahili basi.
 
So far best signing ya man u Ni Emmanuel tu.
The rest ni average player delight na muarabu
 
Back
Top Bottom