Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 13,151
- 37,271
Ila manyumbu mna laana ya ukoo
Hata yeye mwenyewe anashalijua hilo kilicho baki ni kuzuga zuga tu hapo na kuchuma hela zake maana wakimvunjia mkataba utabidi wamlipe hela nyingi so
it's wise of a business man
Yule sio Zikzee ni fellaini mtupu🤠🤠...wachezaji wa YouTube Hawa shida sana...na yule De Ligt sijui ni mbegu ya wapi ile....magwaya ana afadhali....tunasubiri tumuone hyo Ugarte naye tujue kama mmepigwa au ana afadhali...kiufupi majirani mna Hali mbaya sanasimuoni zirkzee kama anaweza kumuweka bechi hojlund
Sasa mchezaji alikua anakaa benchi unatarajia aje kufanya nini 😅Yule sio Zikzee ni fellaini mtupu🤠🤠...wachezaji wa YouTube Hawa shida sana...na yule De Ligt sijui ni mbegu ya wapi ile....magwaya ana afadhali....tunasubiri tumuone hyo Ugarte naye tujue kama mmepigwa au ana afadhali...kiufupi majirani mna Hali mbaya sana
Na ndio tegemeo kikosi cha kwanza kila mechi anaanzaHuyu Casemiro kashachoka..
Nyumbu ni Nyumbu tu.
Flano na kina ARV wapo wapi....wanaridhika kabisa na hii Hali kweli??...Sasa kama home kwako unatunguliwa hivi ukienda huko kwa watu itakuwaje Sasa...niliwaasa wajitahidi huu msimu Ili tusiwaseme sana lakini wapi....mechi ya tatu ya msimu unacheza kama unakaribia kumaliza ligi yaani umechoka kabisa...inasikitisha sanaHua mnataka wakina Joshua na Garnacho waanze 😂😂😂