Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,131
- 56,661
Casemiro dhidi ya Livakuku
Muda wake wa kuanza kujifunza kiarabu sasaCasemiro bora wangemuuza kwa waarabu
Anaendeleza alipoishia msimu jana.Muda wake wa kuanza kujifunza kiarabu sasa
Hata yeye mwenyewe anashalijua hilo kilicho baki ni kuzuga zuga tu hapo na kuchuma hela zake maana wakimvunjia mkataba watabidi wamlipe hela nyingi soTofauti ya Liverpool ni wachezaji wake wakipata mpira tayari wanajua nini cha kufanya. Man U wachezaji ni kama hawana akili ya mpira, wakipata mpira ndio wafikirie kwanza cha kufanya, ndio maana unaona hata mipira mingi inapigwa hivyo hovyo. Wachezaji wanapata mpira lakini hawajui wafanye nini. Liverpool wanastahili kuwa mbele.
Kinachofuata sasa baada ya kocha kupewa wachezaji wote hawa, atafukuzwa yeye. Sioni mabadiliko yoyote kwenye hii timu.
Hata yeye mwenyewe anashalijua hilo kilicho baki ni kuzuga zuga tu hapo na kuchuma hela zake maana wakimvunjia mkataba utabidi wamlipe hela nyingi so
it's wise of a business man
Yule sio Zikzee ni fellaini mtupu🤠🤠...wachezaji wa YouTube Hawa shida sana...na yule De Ligt sijui ni mbegu ya wapi ile....magwaya ana afadhali....tunasubiri tumuone hyo Ugarte naye tujue kama mmepigwa au ana afadhali...kiufupi majirani mna Hali mbaya sanasimuoni zirkzee kama anaweza kumuweka bechi hojlund
Sasa mchezaji alikua anakaa benchi unatarajia aje kufanya nini 😅Yule sio Zikzee ni fellaini mtupu🤠🤠...wachezaji wa YouTube Hawa shida sana...na yule De Ligt sijui ni mbegu ya wapi ile....magwaya ana afadhali....tunasubiri tumuone hyo Ugarte naye tujue kama mmepigwa au ana afadhali...kiufupi majirani mna Hali mbaya sana
Na ndio tegemeo kikosi cha kwanza kila mechi anaanzaHuyu Casemiro kashachoka..
Nyumbu ni Nyumbu tu.