Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu imenunua mabeki watatu msimu huu ila bado inamchezesha maguire kama starter na inatafuta kiungo wa mkopo. Sidhani kama kuna nafasi ambayo ililalamikiwa kwa muda mrefu sana katika united kama eneo la kiungo wa chini, ila hadi sasa tunapambania kumpata ugarte kwa mkopo.
 
Hii timu bado inajitafuta na inaonekana bado iko pale pale tu,inacheza na Bruno factor.
Siku jamaa akiwa out of form timu nzima inapoteana. Fikiria wenzetu city hawana hata haraka ya kumrudisha Rodri uwanjani na wanashinda kirahisi sana na style of play iko pale pale, ila sisi tumemrudisha mapema sana Bruno ambaye amecheza mechi nyingi sana msimu jana pamoja na euro.
Fatigue itamuua Bruno kwa ujinga wa Erik.
Bruno anatumika mno 10hag atakuja kumdondosha uwanjan
 
Timu imenunua mabeki watatu msimu huu ila bado inamchezesha maguire kama starter na inatafuta kiungo wa mkopo. Sidhani kama kuna nafasi ambayo ililalamikiwa kwa muda mrefu sana katika united kama eneo la kiungo wa chini, ila hadi sasa tunapambania kumpata ugarte kwa mkopo.
Yaani kocha alisha amua auzwe mchezaji akagoma akawa anasugua benchi sasa hv anakuwa tena mchezaji wa kikosi cha kwanza 😄
 
Mkikutana na Chelsea hamna hamna mtafugwa ngapi?
Yani mashabiki bwana tumepoteza game Moja tu mmeanza lawama mimi nasubiri mzunguko wa kwanza uishe ndo nitaanza kuongea.

Maana mpaka uongozi umeingia mpya umemuamini Ten 10 nakumpa mkataba mpya ila fans wa bongo mnavyo piga kelele hapa.
 
Mna raha gani mna wachezaji kupiga pasi 500 mechi mmoja hawawezi wanazidiwa na yanga , chelsea wanao wachezaji 60+ kaazimeni wachezaji muache ujinga
 
🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Manchester United sign Manuel Ugarte from Paris Saint-Germain 🔴🇺🇾

Agreement completed with PSG for €50m initial fee, €10m add-ons also included for €60m total package.

Ugarte will travel to Manchester today for medical as Manuel only wanted United, United only wanted him.

Personal terms agreed in July as exclusively revealed, Manchester United sign their #1 target for the midfield.

𝐑𝐚𝐭𝐞 𝐭𝐡𝐢𝐬 𝐬𝐢𝐠𝐧𝐢𝐧𝐠 𝐟𝐫𝐨𝐦 𝟏 𝐭𝐨 𝟏𝟎! ⚡️
 
Kwa kweli baba ubaya naye anaweza kuwa sehemu ya tatizo la united kutokufanya vizuri.
Ni mwendo wa bahati kwenda mbele
 
Twende mbele turudi nyuma, Ten Hag nae kama hajiamini anachokifanya.

Unasajili beki afu bado unamuanzisha Halima Gwaya, unasajili mshambuliaji wa kati unamuweka benchi afu unamchezesha Bruno mshambuliaji wa Kati.
 
Back
Top Bottom