Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hakuna usajiri natamani utokee Kama huu wa Sterling kutua unyumbuni
JamiiForums-1653831490.jpg
 
Yani mashabiki bwana tumepoteza game Moja tu mmeanza lawama mimi nasubiri mzunguko wa kwanza uishe ndo nitaanza kuongea.

Maana mpaka uongozi umeingia mpya umemuamini Ten 10 nakumpa mkataba mpya ila fans wa bongo mnavyo piga kelele hapa.
Mashabiki wa simba na yanga hao mdau hawataki kusikia sare au kufungwa
 
Mchezaji ana kasi, nguvu, uwezo wa kukukokota mpira na kupiga free kick na zaidi kufunga magoli, Injury free STERLING chaguo sahihi kwenu. Nyumbu tusameheni kwa kuwapiga za uso kwa Mount ila sterling biashara isiyokata Mtaji. Acheni ubahili basi mchukeni
 
Mchezaji ana kasi, nguvu, uwezo wa kukukokota mpira na kupiga free kick na zaidi kufunga magoli, Injury free STERLING chaguo sahihi kwenu. Nyumbu tusameheni kwa kuwapiga za uso kwa Mount ila sterling biashara isiyokata Mtaji. Acheni ubahili basi mchukeni
[emoji16][emoji16][emoji16] Dhulumati wakubwa nyie halafu nahisi hua mnatumia nguvu za giza sio bure, haiwezekani mkatuuzia Mauti kwa pesa ndefu namna ile.
Kama vipi tuwarudishie Mauti wenu tuwape na Maguire kama kifungashio mturudishie £60m yetu.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Dhulumati wakubwa nyie halafu nahisi hua mnatumia nguvu za giza, haiwezekani mkatuuzia Mauti kwa pesa ndefu namna ile.
Kama vipi tuwarudishi Mauti wenu tuwape na Maguire kama kifungashio mturudishie £60m yetu.
Antony £100M mbona hamlalamiki? Wivu tuu kwa Mount mashine ya kazi. Tuongezeni angau pesa kidogo kwa Mount acheni ubahili basi.
 
So far best signing ya man u Ni Emmanuel tu.
The rest ni average player delight na muarabu
 
🚨🗣️ Erik ten Hag:

“How a team plays is very subjective, so there's only one thing in football - and that's about the end of the season and if you win prizes and trophies or not.”

Huyu ni kocha aliye muomdoa degea kisa hawezi kupiga pasi ili kuanzisha mashambulizi nyuma. Anataka kutuaminisha kwamba sisi ni level ya kuridhika na carabao na FA? to hell with him.

Akapendekeza maguire auzwe kisa maamuzi mazito ya pasi na poor marking.

Kapewa kipa anayemtaka, kaletewa beki anazotaka, bado anaongea huo utumbo, then anasema eti "i am happy with maguire and its a good thing that he has regained his position in England squad"

This MF, asipocheza mpira wa kueleweka mechi ya leo vs Liverpool, I am 💯kipara out.

Binafsi tuliposhindwa kumshawishi tuchel niliona giza kubwa msimu huu.

Nawasilisha.
GM9GFIpXAAAHSUT.jpeg
 
Back
Top Bottom