Mzee Rufiji
JF-Expert Member
- Aug 24, 2024
- 463
- 728
Wikiendi Livapulu watatukoma, watajua hawajui
Wikiendi Livapulu watatukoma, watajua hawajui
Endelea kujichezea kwapaWikiendi Livapulu watatukoma, watajua hawajui
Ni mpaka aondoke baba ubaya Ten hagBinafsi naona timu sasa inaenda kukamilika hapa anatakiwa Sancho asepe na Rashford tupate watu wa maana kule mbele.
Na alikuwa ameshataka kumuuza mchezaji akagomaTwende mbele turudi nyuma, Ten Hag nae kama hajiamini anachokifanya.
Unasajili beki afu bado unamuanzisha Halima Gwaya, unasajili mshambuliaji wa kati unamuweka benchi afu unamchezesha Bruno mshambuliaji wa Kati.
Akamuondoa shot stopper, akatuletea kipa comedian.Na alikuwa ameshataka kumuuza mchezaji akagoma
Mpka watu waje kushtuka watakuwa wamechelewa sanaAkamuondoa shot stopper, akatuletea kipa comedian.
Akiendelea kudema dema. Msimu ujao wanamtimua japo ameongeza mkataba.Mpka watu waje kushtuka watakuwa wamechelewa sana
Na bado hamjasema round hii tunawapa sterling bishoo alafu mnatugea sancho 😃😃😃Mount Mount Mount ..... Chelsea turudishie pesa yetu dah ile 60m tungetumia kushinikiza kumleta dogo neves aliyetua psg hapo kati kidogo tungekua na amani
kwani kunashida gani mechi hata moja akaanza garnacho then mbele umuewek rashford bruno arudi 10 kwenye CAM nafasi yake mzee anapenda super sub ma ku complicate mambo
Anakuja sterling hapo mbele mbona mtakuwa fire sana 😃Binafsi naona timu sasa inaenda kukamilika hapa anatakiwa Sancho asepe na Rashford tupate watu wa maana kule mbele.