Lazma walaluane, kama chelwowo wanavyo laluanaLeo mtagawanyika..
Kuna watakaosema Erik out
Kuna wataosema wanajenga timu
Leo mtagawanyika..
Kuna watakaosema Erik out
Kuna wataosema wanajenga timu


Tulia wewe Arsenyau, karibu ushuhudie kandanda safi toka kwa watoto wa bwanyenye Sir Jim Ractliff(JR) chini ya kocha nguli kabisa wa mpira pale barani Europa Sir Eric Ten Hag ukipenda muite Baba ubaya. 



Ndiyo nyumbuTulia wewe Arsenyau, karibu ushuhudie kandanda safi toka kwa watoto wa bwanyenye Jim Ractliff(JR) chini ya kocha nguli kabisa wa mpira pale barani Europa Sir Eric Ten Hag ukipenda muite Baba ubaya.
Kwa akili zako za ndondo cup wewe
ushawahi kuwaza hata siku moja kua captain Bruno Fernandes anaweza kucheza false 9 na mwisho wa msimu akabeba kiatu chake cha dhahabu?
Haya tulia uone miujiza ya mpira kutoka kwa kocha la mpira duniani![]()
Welbeck 1-0

Huyo Rashford sio mbele tu hata ndani ya uwanja hatakiwi kuwepo.Mount Mount Mount ..... Chelsea turudishie pesa yetu dah ile 60m tungetumia kushinikiza kumleta dogo neves aliyetua psg hapo kati kidogo tungekua na amani
kwani kunashida gani mechi hata moja akaanza garnacho then mbele umuewek rashford bruno arudi 10 kwenye CAM nafasi yake mzee anapenda super sub ma ku complicate mambo
Nyumbu tuongezeeni pesa kidogo kwa Mount, mashine ya Kazi hiyo. Acheni ubahili basiMount Mount Mount ..... Chelsea turudishie pesa yetu dah ile 60m tungetumia kushinikiza kumleta dogo neves aliyetua psg hapo kati kidogo tungekua na amani
kwani kunashida gani mechi hata moja akaanza garnacho then mbele umuewek rashford bruno arudi 10 kwenye CAM nafasi yake mzee anapenda super sub ma ku complicate mambo