Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,695
- 32,446
Tulinunua mwezi MayWatengeneze timu, tumemisi kunyanyua kwapa.
Tulinunua mwezi MayWatengeneze timu, tumemisi kunyanyua kwapa.
Zirkzee siyo Winga wa kushoto ni CFKipindi cha nyuma tuliambiwa kwamba hatuwezi kusajili zaidi ya wachezaji 5 kwa dirisha moja lakini naona Jimmy anafanya sajili si chini ya 5 hadi 6 msimu huu. Msimu juzi tuliambiwa na watu humu kuwa hili haliwezekani kumbe tulikuwa tunapigwa kamba tu.
Nasubiri Rashford auzwe ili niwe na uhakika wa Zirkzee kuanza shavu la kushoto kila mara.
Yah, nikweli tulinyanyua lakini kikombe kile ni kama cha kahawa, (kidogo) kwapa linainuliwa kwenye ligi kuu ama UCL, sio uinue sahani ya ubwabwa (ngao ya jamii) useme umeinua kwapa.Tulinunua mwezi May
Kwa nchi nyingi zilizoendelea wanazingatia sana ratiba. Ikiwa mapumziko wanamaanisha mapumziko. Na siku ya kazi kweli ni siku ya kazi.Jumamosi na Jumapili ni vigumu sana kukutana na habari za usajili kwa nchi za kimagharibi.
Nimelichunguza hili swala kwa takribani miaka mitano au zaidi.
Ina maana hata vilabu vya soka huko Ulaya huwa havifanyi kazi kwa weekend?
No tetesi,
No football.
Bored kinoma noma.
Financial institutions, government legal departments, lawyers, etc ni key stakeholders kwenye biashara ya usajiri, wengi weekend huwa mapumzikoKwa nchi nyingi zilizoendelea wanazingatia sana ratiba. Ikiwa mapumziko wanamaanisha mapumziko. Na siku ya kazi kweli ni siku ya kazi.
Ngao ya jamii siyo kombeYah, nikweli tulinyanyua lakini kikombe kile ni kama cha kahawa, (kidogo) kwapa linainuliwa kwenye ligi kuu ama UCL, sio uinue sahani ya ubwabwa (ngao ya jamii) useme umeinua kwapa.
Ngao ya jamii siyo kombeYah, nikweli tulinyanyua lakini kikombe kile ni kama cha kahawa, (kidogo) kwapa linainuliwa kwenye ligi kuu ama UCL, sio uinue sahani ya ubwabwa (ngao ya jamii) useme umeinua kwapa.