Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,872
- 32,777
Ngao ya jamii siyo kombeYah, nikweli tulinyanyua lakini kikombe kile ni kama cha kahawa, (kidogo) kwapa linainuliwa kwenye ligi kuu ama UCL, sio uinue sahani ya ubwabwa (ngao ya jamii) useme umeinua kwapa.