Izi sio zama za glazer tumepata bwenyenye jipya Sir Jim tutawafinya sana msimu huu.Hiki Ni kipindi pekee nyumbu mkitumie vizuri hasa ukikumbuka hauna ata timu ya kukupa matokeo mbele ya Aston Villa, Newcastle, Brighton, West Ham, Spurs
Mjiandae kuja na matusi mengine Yale ya zamani tumeshayazoea
Unaonekana ni mzuri.View attachment 3051572Uzi wa ugenini.
Mapamde kamaSir Alex uko wapi, nyakati zako wajinga wajinga kama hawa tulikuwa tunawasajili kwa lazima.
View attachment 3052889
Sir Alex uko wapi, nyakati zako wajinga wajinga kama hawa tulikuwa tunawasajili kwa lazima.
View attachment 3052889
Oyaa tuko pamojaKuanzia mechi ya kwanza mpaka ya 38 nitaziangalia kupitia kibanda umiza
Tunabeba ndoo msimu ujao bado mechi tatu ligi kuisha
Dogo ana akili ya ball aseh ye anawaza mbele tu, hapo ni mwendo wa mbio za kina garnacho tunascore kisha wanatukuta kwenye kibenderaMoja ya Sajili Bora zaidi kwa UTD Itakuwa ni ADAM WHARTON.
Huyu tulihushwa naye akiwa Blackburn ila Chelsea ndo ilikaribia Mchukua sijui Ilikwamaje. ASHWORTH alimskauti Mwenyewe akitaka msajili NEWCASTLE!
Dream Mid ya UTD kwa Mimi ni WHARTON x MAINOO x MUSIALA 25/26.
WHARTON anakupa kila kitu Unahitaji kwenye Midfield, Kila wakati akipokea Mpira anaangalia Pasi ya Kwanza kwenda Mbele,
Ni Suala la Muda watamuimba zaidi. SOUTHGATE Hakuwa anajua Silaha aliyonayo.
Ameshasajiriwa Na Manchester United??Moja ya Sajili Bora zaidi kwa UTD Itakuwa ni ADAM WHARTON.
Huyu tulihushwa naye akiwa Blackburn ila Chelsea ndo ilikaribia Mchukua sijui Ilikwamaje. ASHWORTH alimskauti Mwenyewe akitaka msajili NEWCASTLE!
Dream Mid ya UTD kwa Mimi ni WHARTON x MAINOO x MUSIALA 25/26.
WHARTON anakupa kila kitu Unahitaji kwenye Midfield, Kila wakati akipokea Mpira anaangalia Pasi ya Kwanza kwenda Mbele,
Ni Suala la Muda watamuimba zaidi. SOUTHGATE Hakuwa anajua Silaha aliyonayo.
DuhNa next season bado mna tafuta formation![]()