IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,805
- 7,258
DuhNa next season bado mna tafuta formation![]()
DuhNa next season bado mna tafuta formation![]()
Nafuatilia hizi tetesi za kuuzwa kwa wan bissaka na kununuliwa kwa mazroui.
Kupitia michango ya mashabiki na wapenzi wa manchester united nimejifunza ya kwamba mashabiki wa hii timu hatujui tunachokihitaji.
Ni vyema Manchester United wakamsajiri OdemwingineBinafsi AWB Uwezo wake sio wa Kuwapo UTD.
Tumefeli kuuza wachezaji wakati wakiwa wana thamani kipindi cha Nyuma. Marzaoui kwa kweli ni Mzuri ila Sio wa Kumzidi saana AWB! Ubora wake na Mshahara anapata ni Changamoto AWB anachukua GBP 90,000, Marzaoui anachukua GBP 130,000.
Chaguo langu kwa RB ni
1.Vanderson (Monaco)
2.Tiago Santos (Lille)
Msimamo wako ni Upi katika Hili suala la AWB?
Mazroui ni mzuri kwenye attacking, awb defending zaidi. Sasa naona wanataka defender mwenye attacking brainsBinafsi AWB Uwezo wake sio wa Kuwapo UTD.
Tumefeli kuuza wachezaji wakati wakiwa wana thamani kipindi cha Nyuma. Marzaoui kwa kweli ni Mzuri ila Sio wa Kumzidi saana AWB! Ubora wake na Mshahara anapata ni Changamoto AWB anachukua GBP 90,000, Marzaoui anachukua GBP 130,000.
Chaguo langu kwa RB ni
1.Vanderson (Monaco)
2.Tiago Santos (Lille)
Msimamo wako ni Upi katika Hili suala la AWB?
Marzaoui Bora abaki Wan Bissaka tu.Binafsi AWB Uwezo wake sio wa Kuwapo UTD.
Tumefeli kuuza wachezaji wakati wakiwa wana thamani kipindi cha Nyuma. Marzaoui kwa kweli ni Mzuri ila Sio wa Kumzidi saana AWB! Ubora wake na Mshahara anapata ni Changamoto AWB anachukua GBP 90,000, Marzaoui anachukua GBP 130,000.
Chaguo langu kwa RB ni
1.Vanderson (Monaco)
2.Tiago Santos (Lille)
Msimamo wako ni Upi katika Hili suala la AWB?
Ana assists ngapi ?Mazroui ni mzuri kwenye attacking, awb defending zaidi. Sasa naona wanataka defender mwenye attacking brains
Marzaoui Bora abaki Wan Bissaka tu.
United kwa Sasa haihitaji RB tunahitaji LBHebu nambie Mkuu Pendekezo lako kwa Nafasi ya RB ni Ipi?
UTD Pia inahitaji nini na nini kufikia Ilipo sasa?
AWB yupo katika mwaka wake wa mwisho wa mkataba, kwa uongozi ulio makini utapaswa kuchukua hatua ya kumuuza au kumuongezea mkataba mpya ili kuepusha kuondoka akiwa huru mwaka unaofuata.Msimamo wako ni Upi katika Hili suala la AWB?
Mazroui anakupa option zote mbili, nafikiri ndio maana wanamgombaniaUnited kwa Sasa haihitaji RB tunahitaji LB
Nyumbu wameshatema bungo kabla ligi haijaanzaView attachment 3057580
Sir Jeff ana akili sana. It takes years kujenga timu ya ubingwa