Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1720770266227.png
 
Hatimae José Luis García Vayá amefikiwa. Kuna wachezaji wanakuwa wanachelewa tu kwenda timu kubwa ila linakuwa suala la Muda PEPELU Huyu ni mja ya kitu Barca wanachohitaji kwa sasa!

ONANA kashtua kwenda VILLA Japo wapo na Project nzuri! Branthwaite kwenda UTD Ndo imeshafutika wakishikilia Bei. Ni nzuri zaidi kwa UTD kuona Plan B zao zinakuwa ni zipi.

LCB+LB Hybrids Options wengi wametoa zao ila kwangu Mimi Wildcard ni Strahinja Pavlović na Castello Lukeba. Timu itayofanikiwa wapata hawa Mabwana imepata wachezaji haswa, Finger Crossed Hiyo timu iwe UTD.
{Hawa hawawezi lalamika kuwa Squad Rotation Players na wako na Uwezo mkubwa sana}
 
Matthijs De Ligt from Bayern to Manchester United Locked and Loaded !

Agreement on £42M payable in installments

Contract ready for £170k per week until 2029.


Hii ni taarifa ya Bwana (Semeraro Nick) 1 ya Source Bora kwa UTD na Juve.
Hizi ni aina ya Dili Timu kubwa huwa inafanya. UTD Kwa sasa inatakiwa iwe na Mishahara yenye wastani huo kwa majina makubwa

LCB, RCB, CM Kwa kuanzia UTD inaweza kaa sawa kiasi chake msimu huu.
Harry Amass, Tobby Collyer na Ethan Williams mmoja kati yao anaweza kuwa Mainoo/Garnacho wa Msimu Huu
 
De Ligt alikua Ajax.

Ronaldo akamshawishi akaenda Juve.

Akaenda Bayern.

Ana miaka 24, kwa nafasi ya CB ana miaka 10 mbele ya kucheza. With Bayern ana uhakika na kombe kila msimu, CL kila msimu.

Kisha kaona ngoja aende United. Make this make sense.
 
Back
Top Bottom