Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dan 𝐀𝐬𝐑𝐰𝐨𝐫𝐭𝐑: β€œLeny 𝐘𝐨𝐫𝐨 is one of the most exciting young defenders in world football”.

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒπŸ‡³πŸ‡±βš™οΈ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨πŸŸοΈ
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™πŸ
#π™‚π™‚π™ˆπ™πŸ’ͺ😎

man utd |d_Uk
 
IMG_20240719_015552_710.jpg
🚨 This is appreciation post for the new hierarchy of Manchester United!

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒπŸ‡³πŸ‡±βš™οΈ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨πŸŸοΈ
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™πŸ
#π™‚π™‚π™ˆπ™πŸ’ͺ😎

man utd |
 
Kitu nilichogundua kila sehemu uongozi ndio kila kitu, yaani utd ya sasa kiukweli ni tofaut kabisa na ile tuliyoizoe. Ilikuwa ni utd ya tetesi hadi sasa ungekuta hatujasajili mchezaji hata mmoja ila hii miamba ya sasa haicheki na nyani hakuna mbambamba ni tetesi moja 2 mtu analetwa utd.
 
Martin Zubimendi or Florentino Luis. Manuel Ugarte nafsi yangu ifakuwa na amani zaidi namuona ana-fit vizuri sana. Kiungo wa chini lazima awe aggressive kidogo yaani mtata mtata.
Sijui kwanini sir Jim hajamtafuta yule palhinha wa fulham, kamuacha aende bayern
 
Kitu nilichogundua kila sehemu uongozi ndio kila kitu, yaani utd ta sasa kiukweli ni tofaut kabisa na ile tuliyoizoe. Ilikuwa ni utd ya tetesi hadi sasa ungekuta hatujasajili mchezaji hata mmoja ila hii miamba ya sasa haicheki na nyani hakuna mbambamba ni tetesi moja 2 mtu analetwa utd
 
Kitu nilichogundua kila sehemu uongozi ndio kila kitu, yaani utd ta sasa kiukweli ni tofaut kabisa na ile tuliyoizoe. Ilikuwa ni utd ya tetesi hadi sasa ungekuta hatujasajili mchezaji hata mmoja ila hii miamba ya sasa haicheki na nyani hakuna mbambamba ni tetesi moja 2 mtu analetwa utd
Mijadala Mingi Nyuma huko watu wengi hapa walikuwa wanapiga kelele Kuhusu Uongozi wa Kimichezo. Mpira Umebadilika na Zile zama Mwalimu anaweza maliza mambo mengi Peke yake zimekwisha (Managers)

Hizi zama zina Pressure kubwa toka kwa Mawakala, Wachezaji, Waandishi wa Habari, Wadhamini, Mitandao ya Kijamii, N.k {Hapa inabidi uwe na watu wa Mpira Haswa}

UTD Ilinunua Pogba kwa Makubaliano kuna kiasi kitalipwa na Mdhamini ADIDAS, Hapa unatengeneza nini zaidi ya Mchezaji kuwa na Nguvu hata Juu ya walimu.
Sakata la YORO , Fabrizio ameweza fahamu vipi Kama mchezaji anaitaka tu MADRID? Taarifa anatoa wapi zaidi ya kwa Mawakala? Mchezaji husika? ama Timu?
 
Unaambiwa sasa hivi hufuatwi na mtu mmoja kushawishiwa, mfano Deal la LenY Dogo alitaftwa na Team kuwa informed anahitajika, hajakaa vizuri mala π‰πšπ¬π¨π§ 𝐖𝐒π₯𝐜𝐨𝐱 kamtokea mazima wakachonga kwa upana, kabla maneno ya 𝐖𝐒π₯𝐜𝐨𝐱 haJamuisha kichwa wakala wetu wa kujitegemea Rio π…πžπ«ππ’π§πšπ§π kamtwangia Dogo simu Tena video call wambuzi dogo asipate chance ya kujitetea sana kwanini hataki kutua Jumba la tofari choma na hajawahi ishi nyumba ya tofari choma, ile dogo anakata tu simu Omar 𝐁𝐞𝐫𝐫𝐚𝐝𝐚 kampigia anamwambia Dogo kesho Twende Fancy Restaurant ukapige diko najua unanjaa ya mafanikio ukishashiba nikupereke nchi ya ahadi Dogo anakataaje sasa πŸ˜‚.
 
Kipindi cha nyuma tuliambiwa kwamba hatuwezi kusajili zaidi ya wachezaji 5 kwa dirisha moja lakini naona Jimmy anafanya sajili si chini ya 5 hadi 6 msimu huu. Msimu juzi tuliambiwa na watu humu kuwa hili haliwezekani kumbe tulikuwa tunapigwa kamba tu.

Nasubiri Rashford auzwe ili niwe na uhakika wa Zirkzee kuanza shavu la kushoto kila mara.
 
Back
Top Bottom