Nafuatilia hizi tetesi za kuuzwa kwa wan bissaka na kununuliwa kwa mazroui.
Kupitia michango ya mashabiki na wapenzi wa manchester united nimejifunza ya kwamba mashabiki wa hii timu hatujui tunachokihitaji.
Ni vyema Manchester United wakamsajiri OdemwingineBinafsi AWB Uwezo wake sio wa Kuwapo UTD.
Tumefeli kuuza wachezaji wakati wakiwa wana thamani kipindi cha Nyuma. Marzaoui kwa kweli ni Mzuri ila Sio wa Kumzidi saana AWB! Ubora wake na Mshahara anapata ni Changamoto AWB anachukua GBP 90,000, Marzaoui anachukua GBP 130,000.
Chaguo langu kwa RB ni
1.Vanderson (Monaco)
2.Tiago Santos (Lille)
Msimamo wako ni Upi katika Hili suala la AWB?
Mazroui ni mzuri kwenye attacking, awb defending zaidi. Sasa naona wanataka defender mwenye attacking brainsBinafsi AWB Uwezo wake sio wa Kuwapo UTD.
Tumefeli kuuza wachezaji wakati wakiwa wana thamani kipindi cha Nyuma. Marzaoui kwa kweli ni Mzuri ila Sio wa Kumzidi saana AWB! Ubora wake na Mshahara anapata ni Changamoto AWB anachukua GBP 90,000, Marzaoui anachukua GBP 130,000.
Chaguo langu kwa RB ni
1.Vanderson (Monaco)
2.Tiago Santos (Lille)
Msimamo wako ni Upi katika Hili suala la AWB?
Marzaoui Bora abaki Wan Bissaka tu.Binafsi AWB Uwezo wake sio wa Kuwapo UTD.
Tumefeli kuuza wachezaji wakati wakiwa wana thamani kipindi cha Nyuma. Marzaoui kwa kweli ni Mzuri ila Sio wa Kumzidi saana AWB! Ubora wake na Mshahara anapata ni Changamoto AWB anachukua GBP 90,000, Marzaoui anachukua GBP 130,000.
Chaguo langu kwa RB ni
1.Vanderson (Monaco)
2.Tiago Santos (Lille)
Msimamo wako ni Upi katika Hili suala la AWB?
Ana assists ngapi ?Mazroui ni mzuri kwenye attacking, awb defending zaidi. Sasa naona wanataka defender mwenye attacking brains
Marzaoui Bora abaki Wan Bissaka tu.
United kwa Sasa haihitaji RB tunahitaji LBHebu nambie Mkuu Pendekezo lako kwa Nafasi ya RB ni Ipi?
UTD Pia inahitaji nini na nini kufikia Ilipo sasa?
AWB yupo katika mwaka wake wa mwisho wa mkataba, kwa uongozi ulio makini utapaswa kuchukua hatua ya kumuuza au kumuongezea mkataba mpya ili kuepusha kuondoka akiwa huru mwaka unaofuata.Msimamo wako ni Upi katika Hili suala la AWB?
Mazroui anakupa option zote mbili, nafikiri ndio maana wanamgombaniaUnited kwa Sasa haihitaji RB tunahitaji LB
Nyumbu wameshatema bungo kabla ligi haijaanzaView attachment 3057580
Sir Jeff ana akili sana. It takes years kujenga timu ya ubingwa
Dah we mkorea 🤣🤣🤣🤣🤣Dogo ameleft huyuView attachment 3057655
AWB yupo katika mwaka wake wa mwisho wa mkataba, kwa uongozi ulio makini utapaswa kuchukua hatua ya kumuuza au kumuongezea mkataba mpya ili kuepusha kuondoka akiwa huru mwaka unaofuata.
Man utd wanaelekea kuchagua njia ya kwanza ambayo hata mimi naiunga mkono.
Je United tutaathirika kwa kuondoka kwake, Kiupande wangu sioni athari kubwa sana.
Nimekuwa mpinzani wa AWB tokea siku aliosajiliwa.
Kuhusu Mazroui sina cha kuzungumza, kwa miaka ya karibuni nimepunguza kwa kiwango kikubwa sana kufuatilia timu nyenginezo pindi zinapocheza hivyo simfahamu sana.
Wengi wao wanalalamikia takwimu zake za majeruhi.
Nitafurahi siku moja kama itavunjwa hii laana ya kutokuuziana wachezaji kati ya Man Utd na Liverpool.
Navutiwa na uchezaji wa TAA.
Mzroui hawezi kutupa hizo option maana atakuwa kitandani akiuguza majeraha. Na defensively hawezi kufikia uwezo wa Bissaka.Mazroui anakupa option zote mbili, nafikiri ndio maana wanamgombania