Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Msimu uliopita tulikuwa na tatizo la "collection of untrainable team", namna hawa makocha wamekusanywa inaweza kuwa imetengenezwa tatizo lingine, sijaelewa niliiteje.
lakini kwa kifupi, kuna hatari kukawa na complicated conflict of interests, sababu wameletwa pale watu ambao self ambitions zao ziko juu.
 
Nafuatilia hizi tetesi za kuuzwa kwa wan bissaka na kununuliwa kwa mazroui.

Kupitia michango ya mashabiki na wapenzi wa manchester united nimejifunza ya kwamba mashabiki wa hii timu hatujui tunachokihitaji.

Binafsi AWB Uwezo wake sio wa Kuwapo UTD.
Tumefeli kuuza wachezaji wakati wakiwa wana thamani kipindi cha Nyuma. Marzaoui kwa kweli ni Mzuri ila Sio wa Kumzidi saana AWB! Ubora wake na Mshahara anapata ni Changamoto AWB anachukua GBP 90,000, Marzaoui anachukua GBP 130,000.

Chaguo langu kwa RB ni
1.Vanderson (Monaco)
2.Tiago Santos (Lille)

Msimamo wako ni Upi katika Hili suala la AWB?
 
Binafsi AWB Uwezo wake sio wa Kuwapo UTD.
Tumefeli kuuza wachezaji wakati wakiwa wana thamani kipindi cha Nyuma. Marzaoui kwa kweli ni Mzuri ila Sio wa Kumzidi saana AWB! Ubora wake na Mshahara anapata ni Changamoto AWB anachukua GBP 90,000, Marzaoui anachukua GBP 130,000.

Chaguo langu kwa RB ni
1.Vanderson (Monaco)
2.Tiago Santos (Lille)

Msimamo wako ni Upi katika Hili suala la AWB?
Ni vyema Manchester United wakamsajiri Odemwingine
 
Binafsi AWB Uwezo wake sio wa Kuwapo UTD.
Tumefeli kuuza wachezaji wakati wakiwa wana thamani kipindi cha Nyuma. Marzaoui kwa kweli ni Mzuri ila Sio wa Kumzidi saana AWB! Ubora wake na Mshahara anapata ni Changamoto AWB anachukua GBP 90,000, Marzaoui anachukua GBP 130,000.

Chaguo langu kwa RB ni
1.Vanderson (Monaco)
2.Tiago Santos (Lille)

Msimamo wako ni Upi katika Hili suala la AWB?
Mazroui ni mzuri kwenye attacking, awb defending zaidi. Sasa naona wanataka defender mwenye attacking brains
 
Binafsi AWB Uwezo wake sio wa Kuwapo UTD.
Tumefeli kuuza wachezaji wakati wakiwa wana thamani kipindi cha Nyuma. Marzaoui kwa kweli ni Mzuri ila Sio wa Kumzidi saana AWB! Ubora wake na Mshahara anapata ni Changamoto AWB anachukua GBP 90,000, Marzaoui anachukua GBP 130,000.

Chaguo langu kwa RB ni
1.Vanderson (Monaco)
2.Tiago Santos (Lille)

Msimamo wako ni Upi katika Hili suala la AWB?
Marzaoui Bora abaki Wan Bissaka tu.
 
Msimamo wako ni Upi katika Hili suala la AWB?
AWB yupo katika mwaka wake wa mwisho wa mkataba, kwa uongozi ulio makini utapaswa kuchukua hatua ya kumuuza au kumuongezea mkataba mpya ili kuepusha kuondoka akiwa huru mwaka unaofuata.

Man utd wanaelekea kuchagua njia ya kwanza ambayo hata mimi naiunga mkono.
Je United tutaathirika kwa kuondoka kwake, Kiupande wangu sioni athari kubwa sana.
Nimekuwa mpinzani wa AWB tokea siku aliosajiliwa.

Kuhusu Mazroui sina cha kuzungumza, kwa miaka ya karibuni nimepunguza kwa kiwango kikubwa sana kufuatilia timu nyenginezo pindi zinapocheza hivyo simfahamu sana.

Wengi wao wanalalamikia takwimu zake za majeruhi.

Nitafurahi siku moja kama itavunjwa hii laana ya kutokuuziana wachezaji kati ya Man Utd na Liverpool.
Navutiwa na uchezaji wa TAA.
 
Huyo mmoroco kwenye kushambulia ni mzuri, ila kudefend utamkataa hasa akikutana na mawinga wazuri utachoka kabisa, sometimes timu inapigwa Pini la maana la kutofika hata katikati ya uwanja hivyo unahitaji mtu mmoja anayeweza kufanya mawili Kwa pamoja ambapo kimsingi naamini Bado Kuna watu sokoni wanaoweza kazi hiyo Kwa kiasi kikubwa kuliko mazrui, japo sijaangalia vizuri sokoni Kuna options zipi lakin naamini zipo....kama tukimchukua huyu basi tumuongezee bissaka mwaka mmoja.
 
image_2024-07-31_135324375.png

Sir Jeff ana akili sana. It takes years kujenga timu ya ubingwa
 
AWB yupo katika mwaka wake wa mwisho wa mkataba, kwa uongozi ulio makini utapaswa kuchukua hatua ya kumuuza au kumuongezea mkataba mpya ili kuepusha kuondoka akiwa huru mwaka unaofuata.

Man utd wanaelekea kuchagua njia ya kwanza ambayo hata mimi naiunga mkono.
Je United tutaathirika kwa kuondoka kwake, Kiupande wangu sioni athari kubwa sana.
Nimekuwa mpinzani wa AWB tokea siku aliosajiliwa.

Kuhusu Mazroui sina cha kuzungumza, kwa miaka ya karibuni nimepunguza kwa kiwango kikubwa sana kufuatilia timu nyenginezo pindi zinapocheza hivyo simfahamu sana.

Wengi wao wanalalamikia takwimu zake za majeruhi.

Nitafurahi siku moja kama itavunjwa hii laana ya kutokuuziana wachezaji kati ya Man Utd na Liverpool.
Navutiwa na uchezaji wa TAA.

Sahihi Kabisa AWB ni Muda mwafaka kumwachia na Wengine wote ambao Mikataba inaelekea ukingoni akiwamo Maguire, McTominay, Lindelof, Ericksen, Pellistri na Hannibal,

Liverpool
na UTD Kuuziana wachezaji ni ngumu sana kuja isha, Sakata la Mwisho lilikuwaga la Gabriel Heinze. TAA ni RB aliyeibadilisha Nafasi kuwa sanaa kama Busquets na nafasi ya DM. TAA kuna Uwezekano mkubwa atakuja ishia R.Madrid.

Kuibuka kwa YORO na NEVES Kulinifanya angalia Game za LILLE na BENFICA. Kuna RB Kadhaa walinivutia sana Vanderson na Tiago Santos, walipokutana Monaco na Lille, Halafu Benfica Kuna ALEXANDER BAH.

Soko la sasa limejaa Wachezaji wengi ni Suala la Kujua Project yako inataka nini.
 
Mazroui anakupa option zote mbili, nafikiri ndio maana wanamgombania
Mzroui hawezi kutupa hizo option maana atakuwa kitandani akiuguza majeraha. Na defensively hawezi kufikia uwezo wa Bissaka.

Morocco national team anawekwa benchi na Yahya Attiyat Allah upande wa kushoto na kulia anawekwa benchi na Hakimi.

Kama mchezaji anawekwa benchi na mchezaji anayecheza Wydad tu huko EPL ataweza ?
 
Back
Top Bottom