IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,805
- 7,258
Dah we mkorea 🤣🤣🤣🤣🤣Dogo ameleft huyuView attachment 3057655
Dah we mkorea 🤣🤣🤣🤣🤣Dogo ameleft huyuView attachment 3057655
AWB yupo katika mwaka wake wa mwisho wa mkataba, kwa uongozi ulio makini utapaswa kuchukua hatua ya kumuuza au kumuongezea mkataba mpya ili kuepusha kuondoka akiwa huru mwaka unaofuata.
Man utd wanaelekea kuchagua njia ya kwanza ambayo hata mimi naiunga mkono.
Je United tutaathirika kwa kuondoka kwake, Kiupande wangu sioni athari kubwa sana.
Nimekuwa mpinzani wa AWB tokea siku aliosajiliwa.
Kuhusu Mazroui sina cha kuzungumza, kwa miaka ya karibuni nimepunguza kwa kiwango kikubwa sana kufuatilia timu nyenginezo pindi zinapocheza hivyo simfahamu sana.
Wengi wao wanalalamikia takwimu zake za majeruhi.
Nitafurahi siku moja kama itavunjwa hii laana ya kutokuuziana wachezaji kati ya Man Utd na Liverpool.
Navutiwa na uchezaji wa TAA.
Mzroui hawezi kutupa hizo option maana atakuwa kitandani akiuguza majeraha. Na defensively hawezi kufikia uwezo wa Bissaka.Mazroui anakupa option zote mbili, nafikiri ndio maana wanamgombania
Yoro nje wiki 12
Rasmus nje wiki 6
Nakubaliana na hoja yako mkuu.Kwa Upande wangu Hizi Taarifa za Majeraha ni kama Nimependa Muda Zimejitokeza.
Pre-Season, Mwaka Jana Mainoo aliumia kwa Mechi aina hizi, Mbadala akaletwa Mwishoni tena kwa Mkopo Amrabat! INEOS Imeweka Uongozi kwa kufikia sasa Unajitahidi.
UTD inamhitaji sana De Ligt Sababu ndo kwanza ana Miaka 24, Ameanza ng'aa tangu ana miaka 17! Uzoefu wa timu ya Kumiliki Mpira {Ajax}, Kuzuia {Juventus} na Kushambulia {Bayern} Kifupi amekomaa. Atakuwa ni Kiongozi mzuri sana kwa YORO ili asiingie kwenye timu na Pressure. Haya Majeraha yanatoa taswira inabidi uwe na Kikosi kipana chenye Ubora.
Sure, nilisema hapa kipindi cha nyuma makosa makubwa sana kwa Erik ten Hag msimu uliopita hakutumia silaha mbili kuanzia raundi ya 2 yaani Sofyan na Amad.AMAD anamuaibisha ERIK
Fanya uchunguzi wako vizuri kuhusu national team ya Morocco. Noussair Mazraoui ni kama alivyo Matthijs de Ligt weakness zao kubwa they're susceptible to injuries ila wakiwa fit ni wachezaji wazuri sana.Mzroui hawezi kutupa hizo option maana atakuwa kitandani akiuguza majeraha. Na defensively hawezi kufikia uwezo wa Bissaka.
Morocco national team anawekwa benchi na Yahya Attiyat Allah upande wa kushoto na kulia anawekwa benchi na Hakimi.
Kama mchezaji anawekwa benchi na mchezaji anayecheza Wydad tu huko EPL ataweza ?
Sofyan Amrabat huyu huyu ambae msimu uliopita alikuwa mzito sana na anapoteza mipira kirahisi?Noussair Mazraoui, Matthitjs de Ligt & Sofyan Amrabat. Hapa at least timu itakuwa ime-balance. Ujio wa Sofyan inabidi uwe separately from original plan bila kujali kitakachotokea kwa Ugarte.
Sofyan ni aina ya mchezaji anatumika ku-cover mchezaji wa kikosi cha kwanza. Unafikiri mchezo kama ule wa fainali ya FA dhidi ya City nani angecheza baada ya kuumia Casemiro?Sofyan Amrabat huyu huyu ambae msimu uliopita alikuwa mzito sana na anapoteza mipira kirahisi?