Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hongereni.

Na bado kuna community shield. Mkimtwanga tena dada yenu itakuwa poa pia ili mpunguze machungu ya kumaliza wa 8 msimu huu. Uzuri kwenu ni mmepata nafasi ya kuingia Ulaya. Mtalazimika kufanya maboresho makubwa na kutuletea ushindani kidogo.
Mkuu kwanza naomba ufute hio kauli ya kumaliza nafasi ya 8, ukishinda tu FA kama haupo kwenye top4 na sio miongoni mwa timu zilizoshuka daraja, basi automatically unahesabika umemaliza ligi kwenye nafasi ya 5, kama unabisha waulize chelsea msimu ujao kwenye mashindao ya ulaya watashiriki mashindano yapi?
 
Mkuu kwanza naomba ufute hio kauli ya kumaliza nafasi ya 8, ukishinda tu FA kama haupo kwenye top4 na sio miongoni mwa timu zilizoshuka daraja, basi automatically unahesabika umemaliza ligi kwenye nafasi ya 5, kama unabisha waulize chelsea msimu ujao kwenye mashindao ya ulaya watashiriki mashindano yapi?
Waambie kabisa hao jamaa kwamba Man U ni top five.
 
Mkuu kwanza naomba ufute hio kauli ya kumaliza nafasi ya 8, ukishinda tu FA kama haupo kwenye top4 na sio miongoni mwa timu zilizoshuka daraja, basi automatically unahesabika umemaliza ligi kwenye nafasi ya 5, kama unabisha waulize chelsea msimu ujao kwenye mashindao ya ulaya watashiriki mashindano yapi?

Nyie mmemaliza nafasi ya 8. Kushinda kwenu kombe kumewapeleka Europa. Sasa mmeona umuhimu wa kushinda FA ili kuingia Ulaya? Unakumbuka ile UEFA Cup Winners cup yetu ya 93/94 ambayo sasa imekuwa sehemu ya Europa League? Kuingia kwake ndiyo namna hii sasa. Enjoy kuingia ulaya ila pia itakusahaulisha kuwa mmemaliza nafasi ya 8. Uzuri zaidi mmewatupia chelkenge conference na wale mijusi milia hawana chao popote ulaya. Mmempunguzia makombe kipara na kumpa huzuni chawa wake, Pain killer aka Herzog
 
Nyie mmemaliza nafasi ya 8. Kushinda kwenu kombe kumewapeleka Europa. Sasa mmeona umuhimu wa kushinda FA ili kuingia Ulaya? Unakumbuka ile UEFA Cup Winners cup yetu ya 93/94 ambayo sasa imekuwa sehemu ya Europa League? Kuingia kwake ndiyo namna hii sasa. Enjoy kuingia ulaya ila pia itakusahaulisha kuwa mmemaliza nafasi ya 8. Uzuri zaidi mmewatupia chelkenge conference na wale mijusi milia hawana chao popote ulaya. Mmempunguzia makombe kipara na kumpa huzuni chawa wake, Pain killer aka Herzog
London is red
Man Utd tumeenda kubeba kombe nyumbani kwa kina Trophyless.
Hii ni dharau kubwa sana Ten Hag ameifanya chumbani kwa Arteta.
1716667637768.jpg
 
London is red
Man Utd tumeenda kubeba kombe nyumbani kwa kina Trophyless.
Hii ni dharau kubwa sana Ten Hag ameifanya chumbani kwa Arteta. View attachment 2999429
Jipongezeni na jitahidini sasa kuturingishia na kujifananisha na sisi ila haitawasaidia. Bado mtabaki kuwa kama wadogo zetu wa kike msiotuzidi chochote na sisi tunafurahia tu ushindi wenu bila kinyongo
 
Nyie mmemaliza nafasi ya 8. Kushinda kwenu kombe kumewapeleka Europa. Sasa mmeona umuhimu wa kushinda FA ili kuingia Ulaya? Unakumbuka ile UEFA Cup Winners cup yetu ya 93/94 ambayo sasa imekuwa sehemu ya Europa League? Kuingia kwake ndiyo namna hii sasa. Enjoy kuingia ulaya ila pia itakusahaulisha kuwa mmemaliza nafasi ya 8. Uzuri zaidi mmewatupia chelkenge conference na wale mijusi milia hawana chao popote ulaya. Mmempunguzia makombe kipara na kumpa huzuni chawa wake, Pain killer aka Herzog
halafu hilo kombe la kipuuzi lilofutwa la UEFA Cup Winners msilazimishe kuliita ni Europa League.
Hilo kombe management's ilikaa na kuona ni upuuzi unaodhalilisha taswira nzima ya soka la Ulaya, wakaamua kulifuta na kufuta historia yote ya hilo kombe.
Kwa nini nyinyi mashabiki wa Arsenyau peke yenu ndio mnang'ang'ania sana lionekane ndio michuano ya sasa hivi ya Europa? wakati timu kama Chelsea kashinda mara 2, Man Utd, Mancity, Everton wote wametwaa hilo kombe lakini huwakuti wakilizungumzia wala kujinasibisha nalo, ila nyinyi Arsenyau kila siku lazima mliongelee ili muonekane na nyinyi pia ni miongoni mwa timu iliyowahi kushinda kombe la Ulaya?
Mbona Mancity kabla ya kubeba Uefa msimu uliopita alikua anajihesabia kua hana kombe lolote la Ulaya ingawa alishawahi kushinda hilo kombe la UEFA Cup Winners msimu wa 1969/1970?
Acheni kuforce mambo ili muonekane tu na nyie mna kombe la ulaya, hata mashabiki wa Everton sijawahi wasikia wakilazimisha hivyo kama wanavyolazimisha Arsenyau
1716669825621.jpg
 
𝐄𝐫𝐢𝐤 𝐭𝐞𝐧 𝐇𝐚𝐠 has won more major trophies than 𝐌𝐢𝐤𝐞𝐥 𝐀𝐫𝐭𝐞𝐭𝐚 since he took over Man United.

But that’s 𝐍𝐎𝐍𝐄 of our 𝐁𝐔𝐒𝐈𝐍𝐄𝐒𝐒

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
View attachment 2999507
 

Attachments

  • IMG_20240525_234231_122.jpg
    IMG_20240525_234231_122.jpg
    152.5 KB · Views: 7
𝐄𝐫𝐢𝐤 𝐭𝐞𝐧 𝐇𝐚𝐠 wins the 𝐅𝐀 𝐂𝐮𝐩 a day after reports suggest he's about to 𝐋𝐨𝐬𝐞 his job


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
View attachment 2999506
 

Attachments

  • IMG_20240525_234537_147.jpg
    IMG_20240525_234537_147.jpg
    72.3 KB · Views: 7
𝐏𝐞𝐩 𝐆𝐮𝐚𝐫𝐝𝐢𝐨𝐥𝐚: “𝐋𝐢𝐬𝐚𝐧𝐝𝐫𝐨 𝐌𝐚𝐫𝐭𝐢́𝐧𝐞𝐳 is top 5 centre-backs in the world”.

“He made the difference on this game by playing passes through our defence”.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20240525_234113_535.jpg
 
𝐓𝐞𝐧 𝐇𝐚𝐠: “𝐓𝐰𝐨 𝐭𝐫𝐨𝐩𝐡𝐢𝐞𝐬 in 𝐭𝐰𝐨 𝐬𝐞𝐚𝐬𝐨𝐧𝐬 and 𝐭𝐡𝐫𝐞𝐞 𝐟𝐢𝐧𝐚𝐥𝐬… not bad”.

“If they don’t 𝐰𝐚𝐧𝐭 me anymore, I’ll go somewhere else and 𝐰𝐢𝐧 𝐭𝐫𝐨𝐩𝐡𝐢𝐞𝐬. 𝐓𝐇𝐀𝐓'𝐒 𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐈 𝐃𝐎”.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20240525_233918_197.jpg
 
𝐓𝐞𝐧 𝐇𝐚𝐠: “I prepare my team, develop it. It's a project. When I arrived, I can say that it was a mess”.

“Today, we we're better. We're not where we want to be yet”.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20240525_233903_508.jpg
 
Scott 𝐌𝐜𝐓𝐨𝐦𝐢𝐧𝐚𝐲, Rasmus 𝐇𝐨𝐣𝐥𝐮𝐧𝐝 and Harry 𝐌𝐚𝐠𝐮𝐢𝐫𝐞 at the 𝐅𝐀 𝐂𝐮𝐩 𝐟𝐢𝐧𝐚𝐥 after party.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20240525_233751_393.jpg
 
𝐓𝐡𝐞 𝐅𝐔𝐓𝐔𝐑𝐄 𝐢𝐬 𝐁𝐑𝐈𝐆𝐇𝐓

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20240525_233704_332.jpg
 
𝐌𝐎𝐍𝐒𝐓𝐄𝐑𝐂𝐋𝐀𝐒𝐒.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20240525_233653_165.jpg
 
David 𝐁𝐞𝐜𝐤𝐡𝐚𝐦 on Instagram.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20240525_233621_213.jpg
 
Been at the club since he was 7 years of age, went from the academy to the first team.

And this is what it meant for him to win the FA Cup in a difficult season for his club.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20240525_233524_755.jpg
View attachment 2999516
 
𝐂𝐇𝐀𝐌𝐏𝐈𝐎𝐍𝐍𝐍𝐍𝐍𝐍𝐍𝐒!

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20240525_233345_549.jpg
 
Back
Top Bottom