Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama umeona kombe lako lipo namba ngapi litaje
35bd8314-4807-4afb-9399-d17cbfe79877.jpeg
 
Ukweli lazima usemwe.

Majeruhi yalitumaliza sana hasa sehemu ya walinzi wa kati.

Nina uhakika kama Varane,Matinez wangekuwa fit hakika top 4 ingetuhusu.

Tulipata shida sana upande wa walinzi wa kushoto Shaw na dogo mdachi jina limenitoka walikuwa majeruhi kwa kipindi kirefu sana.

Upande wa mshambuliaji wa kati Anthony msimu huu sijui kama alifikisha mechi 3.Muda wote alikuwa majeruhi.

Siamini katika kimtimua Mwl,kwasababu za kutofanya vizuri zipo wazi kabisa.

Msimu ujao tutatakiwa kusajili Mshambuliaji wa kati,kiungo mkabaji [Mlinzi],Walinzi wawili wa kati,Mlinzi kushoto na kulia.
 
Mdau hauna baya, sio kama hamis77
HENRY14 ni mtu wa maana kabisa, huyu jamaa soccer kwake anaichukulia kama burudani na sio uadui.
Ndio maana ukienda kwenye jukwaa la Liverpool anakubalika, chelsea anakubalika kwenye hili jukwaa letu ndio anajihisi kabisa yupo nyumbani, hata kwenye jukwaa lao hauwezi kumkuta anagombana au kutakanana na mashabiki wenzake wa Arsenyau.
Mashabiki wa Arsenyo wangekua kama huyu jamaa hata kesi za kujitoa uhai na rufaa za kwenda Milembe zingepungua sana nchini
1714323297486.jpg
 
Back
Top Bottom