min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,440
- 127,849
😆😆😆😆Mnajisikiaje hapo London wote trophyless na jirani yako halafu wewe unacheza conference 😄
😆😆😆😆Mnajisikiaje hapo London wote trophyless na jirani yako halafu wewe unacheza conference 😄
Tukutane msimu ujao mkuuVipi kazi ilikuwepo?
Kwahy ulikuwa unasubiri mshinde ndio uje kwenye comment yangu 😂 bahati yenu nzuriMnajisikiaje hapo London wote trophyless na jirani zako halafu wewe unacheza conference 😄
😁😁😁😁😁Tukutane msimu ujao mkuu
Naelewa mkuu maisha tunatofautiana 😎Mkuu unajua mimi nipo London toka juz nimesafiri live na wewe upo kidimbwi?🙄
Achana na maisha Manchester United tumeshinda 😁😁 leo nimekuweza maisha unasingizia tu , cha msingi tumenyanyua kwapa.Naelewa mkuu maisha tunatofautiana 😎
Hongereni.Trophyless fc
Sisi ndio mabigwa.El Capitano Bruno FernandesView attachment 2999317
Haha tukutane msimu ujao mkuuAchana na maisha Manchester United tumeshinda 😁😁 leo nimekuweza maisha unasingizia tu , cha msingi tumenyanyua kwapa.
Wewe ni timu gani kwanza😆😆 mkuu.Haha tukutane msimu ujao mkuu
Tuyaache hayo mkuu tufocus next seasonWewe ni timu gani kwanza😆😆 mkuu.
HelloLeo anakufa MTU Goli nyingi Man City ana hasira mbaya za kutaka kulibeba NDOO kiroho mbaya kwa HIO wadau wa Mwamtesa United KAENI mkao wa kipigo
Mdau hauna baya, sio kama hamis77


HENRY14 ni mtu wa maana kabisa, huyu jamaa soccer kwake anaichukulia kama burudani na sio uadui. 

