Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

| #mufc have tasked Jason Wilcox with providing a detailed assessment of Ten Hag’s strengths + weaknesses and relationship with the squad to better determine whether his approach can fit the overarching style of play and philosophy they intend to pursue. [
@TelegraphDucker
]
 
Itachukua mda sana kwa hii timu kubadilika sababu sir Jim ratclife(ineos), sio wakumwamini Kama atakuwa anafanya kazi na hao glazzers wakiwa mabosi wake it's a shame kwakweli tutazidi kuwaharibua makocha cv zao mpaka lini!
Next season wasipofanya usajili wa maana tutakuwa relegated.
 
Jaribu waza UTD front 3 ina CR7, WAZZA, TEVEZ, Defenders RIO, VIDIC, EVRA Wote ni World Class Players. Hakuna hata Mmoja amesajiliwa hapo Akiwa Star, Wote wamesajiliwa kama Potentials na kuja kuwa Star/Super Stars wakiwa na UTD.

Alianza Peter Kenyon baadae D.Gill kaondoka na Fergie {Hawa walikuwa wanajua Nini Maana ya Mchezaji kuvaa Jezi ya UTD}. Glazzer wameleta Bankers Pale Bila watu wa Michezo. HAKUNA MWALIMU ANAWEZA FANIKIWA NA MFUMO NA KUNDI HILI LA WACHEZAJI.

Mourinho anakwambia alikuwa hataki baadhi ya Wachezaji Miaka 5/6 Ilopita Mpaka leo wapo ni Picha halisi ya Utendaji Mbovu wa Kimichezo. Wachezaji wamekuwa na Nguvu ambayo haindani na Uwezo wao Uwanjani.

Weghorst & FRED
hawakuwa na Uwezo wa Kutisha lakini Walikuwa wanajitoa kuwakilisha Jezi unaona kabisa wanajaribu changamoto ni Uwezo.
Tunahitaji Madirisha kama Matatu kuwa na Timu ya Kushindania Ligi, Yanaweza Pungua kama Maendeleo ya Baadhi ya watoto Academy wataingia Fresh kwenye timu.
 
Nakumbuka kipindi huyu Jasusi alivyoteuliwa kuwa Kocha wa Man-U aliamini sana katika mbinu zake za kumiliki mpira, mechi ya kwanza na ya pili alipigwa consecutively. Lakini pamoja na kupigwa, mpira uliokuwa unachezwa ulikuwa mzuri sana. Sasa baada ya kuona anafungwa akaamua kuachana na Possessing Football aka-switch Kwa kucheza vyovyote ili kupata matokeo.

Baadhi ya watu wakaamini ataendelea kufanya mapinduzi ya kimpira na kurudi kwenye playing stile ya kumiliki mpira baada ya kuendelea na kufanya usajili. Mpaka sasa katumia zaidi ya pound 400 Million bila matumaini yoyote yale.

Timu inacheza kama vile hakuna management yoyote Ile na kama hawana mazoezi kabisa. Kamnunua Onana ili kuondana na playing stile ya kumiliki, lakini mpaka sasa wachezaji hawawezi kupasiana hata pasi tano (wamejaa uoga sana). Onana sometimes analaumiwa bule tu kwani sio shoot stoper, yule angefaa sana kama angekua Man-City au Barcelona.

Kuna jamaa humu huwa namfatilia anaitwa"Masingeli" tangu mwanzo alifanya uchambuzi muruaa kuhusu huyu Ten 7, lakini watu walikua wanamkejeli sana. Kuna swali aliuliza kwamba "huyu Kocha anachezesha timu kwa stile gani" (is it Possessing Football?, Total football or Defensive Football?). So Mpira Kwa sasa haueleweki kabisa na Masingeli kwa sasa anaonekana mshindi ingawaje anawadanganya wenzake eti Arsenal ni timu nzuri, na ikitokea Arsenal imefungwa huwa anakimbilia Mapangoni.

Timu ya Man U imekosa muunganiko kuanzia kwa kipa, mabeki, middle mpaka forward, eti kwa sasa kanategemewa katoto (Maino)ndo kaunganishe timu daaaaaaah. Kwa sasa ni like a mid-table team ,haichukui kombe na wala haishuki daraja and there is no proper planning and management ni kanyaga twende tu ilimladi wao Vibunda vinaingia tu (Commercial Club). Kwamba tuchukue kombe ama tusichukua ilimladi tuna mashabiki wengi sana duniani.
 
Nakumbuka kipindi huyu Jasusi alivyoteuliwa kuwa Kocha wa Man-U aliamini sana katika mbinu zake za kumiliki mpira, mechi ya kwanza na ya pili alipigwa consecutively. Lakini pamoja na kupigwa, mpira uliokuwa unachezwa ulikuwa mzuri sana. Sasa baada ya kuona anafungwa akaamua kuachana na Possessing Football aka-switch Kwa kucheza vyovyote ili kupata matokeo.

Baadhi ya watu wakaamini ataendelea kufanya mapinduzi ya kimpira na kurudi kwenye playing stile ya kumiliki mpira baada ya kuendelea na kufanya usajili. Mpaka sasa katumia zaidi ya pound 400 Million bila matumaini yoyote yale.

Timu inacheza kama vile hakuna management yoyote Ile na kama hawana mazoezi kabisa. Kamnunua Onana ili kuondana na playing stile ya kumiliki, lakini mpaka sasa wachezaji hawawezi kupasiana hata pasi tano (wamejaa uoga sana). Onana sometimes analaumiwa bule tu kwani sio shoot stoper, yule angefaa sana kama angekua Man-City au Barcelona.

Kuna jamaa humu huwa namfatilia anaitwa"Masingeli" tangu mwanzo alifanya uchambuzi muruaa kuhusu huyu Ten 7, lakini watu walikua wanamkejeli sana. Kuna swali aliuliza kwamba "huyu Kocha anachezesha timu kwa stile gani" (is it Possessing Football?, Total football or Defensive Football?). So Mpira Kwa sasa haueleweki kabisa na Masingeli kwa sasa anaonekana mshindi ingawaje anawadanganya wenzake eti Arsenal ni timu nzuri, na ikitokea Arsenal imefungwa huwa anakimbilia Mapangoni.

Timu ya Man U imekosa muunganiko kuanzia kwa kipa, mabeki, middle mpaka forward, eti kwa sasa kanategemewa katoto (Maino)ndo kaunganishe timu daaaaaaah. Kwa sasa ni like a mid-table team ,haichukui kombe na wala haishuki daraja and there is no proper planning and management ni kanyaga twende tu ilimladi wao Vibunda vinaingia tu (Commercial Club). Kwamba tuchukue kombe ama tusichukua ilimladi tuna mashabiki wengi sana duniani.
Umeongea mengi. Nimekuelewa kwenye vibunda vinaingia.

Mzee FF alisema man united inakiwa kukufsnyiwa over...... na kuondoa wavhezaji wote. Nkajisemea hajui mchawi ni tajiri...

Tangiabzamani nilihisi grazer wametumwa kuishusha united.

Eti martial alikuwa PELE wao. Niliishia kutukana. Niliijua united miaka mingi I know ups and downs za kutosha.

Ukitaka anza kutafuta sabab ya kuondoka David Gill....

Tafuta kwa nn ferguson alikuwa na wachezaji wa kawaida sana? Ten hag kabla hajaingia united alifanya assessment akakuta nidhamu ya wachezaji ndio shida na ni kweli...akapambania na mimi namlaumu kwa kumuacha Dalot..Rushford...

Kwangu mimi kwa sasa pale united niondolee wachezaji kama watano tu.
...
  1. Rushford huyu anatembea uwanjani na hajali.
  2. Dalot anajituma ndio ila asiwe starter au aondoke
  3. Bissaka asiwe starter
  4. Mount aondoke.. sio aggressive kwa age yake alipaswa kuwa mkali na bora angebaki Fred
  5. Antony abaki ila awe subbed huyu anafaa unapotaka kubadili mfumo
  6. Martial aondoke
  7. Luke Shaw huyu aondoke..huwa namuamini mallasia kuliko yye mzigo
Hawa wenye colour waondoke.hata maguire anauwezo wa kupanda na kushuka.

waliobaki wanajituma. Kwa muda timu ikiwa inajijenga misimu mitatu inatosha kujenga upya.

mactonomay ni kiungo safi sana
maguire anafaa kusaidiana na bek
 
Tafuta kwa nn ferguson alikuwa na wachezaji wa kawaida sana?
Sijajua Doto12 Kawaida unazungumzia inafananaje, lla Fergie amekuwa na aina Nyingi sana za Wachezaji ila alichokuwa anazingatia ni Character na Mentality ya Mchezaji.
Umemzungumzia D.Gill ila huyu alipikwa na Peter Kenyon, Wakati Roman anainunua Chelsea moja ya Majina ya kwanza kuingia kwenye Timu ni Kenyon.

Mourinho alipata Timu nzuri sana akiwa na Kenyon hapa ndo KUKAZALIWA CHELSEA FANS WA KIBONGO!
Uongozi Mzuri wa kimichezo lazima utengeneze timu nzuri.
CITY Mafanikio yao yapo zaidi kwenye Timu ya Nyuma ya Pazia {PEP Kazi yake inakuwa Rahisi}. Kwa Kuanzia Berrada, Ashworth, Wilcox, Ward ni Hatua nzuri.
 
BREAKING: Erik ten Hag will effectively be on trial over the next month as #mufc's new technical director Jason Wilcox conducts an audit of the manager’s credentials and dressing room relations before the club makes a final decision on Ten Hag's future. [
@TelegraphDucker
]
Mnazunguka mno. Kazi ya Erik wote mmeiona. Mmeridhika? Kama ndiyo, acha kijana (😄😄😄) apige kazi. Kama siyo, piga chini.
 
Sijajua Doto12 Kawaida unazungumzia inafananaje, lla Fergie amekuwa na aina Nyingi sana za Wachezaji ila alichokuwa anazingatia ni Character na Mentality ya Mchezaji.
Umemzungumzia D.Gill ila huyu alipikwa na Peter Kenyon, Wakati Roman anainunua Chelsea moja ya Majina ya kwanza kuingia kwenye Timu ni Kenyon.

Mourinho alipata Timu nzuri sana akiwa na Kenyon hapa ndo KUKAZALIWA CHELSEA FANS WA KIBONGO!
Uongozi Mzuri wa kimichezo lazima utengeneze timu nzuri.
CITY Mafanikio yao yapo zaidi kwenye Timu ya Nyuma ya Pazia {PEP Kazi yake inakuwa Rahisi}. Kwa Kuanzia Berrada, Ashworth, Wilcox, Ward ni Hatua nzuri.
Nakuelewa vzr hapo El Tiger nilimaanisha Peter.. Peter ni genius sana yule mtu.

Nakumbuka Peter timu alizohamia ziliwika sana.

Pep kwa.wasiomjua haendi timu yenye matatizo anachagua. Bayern na baadae City.
 
Mourinho alipata Timu nzuri sana akiwa na Kenyon hapa ndo KUKAZALIWA CHELSEA FANS WA KIBONGO!
Uongozi Mzuri wa kimichezo lazima utengeneze timu nzuri.
CITY Mafanikio yao yapo zaidi kwenye Timu ya Nyuma ya Pazia {PEP Kazi yake inakuwa Rahisi}. Kwa Kuanzia Berrada, Ashworth, Wilcox, Ward ni Hatua nzuri.
Naomba kwanza msaada wa kutajiwa walio nyuma ya mafanikio ya real madrid.
baadae niulize swali jengine
 
Yaani nakujitahidi kwangu kote kutokuangalia mechi zake,lakin bado wananiumiza hata kwenye kuangalia matokeo tu! Kwakweli sheikh jasmine alitakiwa kuwa mmiliki wa hii timu
Ndugu tuna Share maumivu kaka , mimi toka ile mechi ya mtoano 𝐂𝐚𝐫𝐚𝐛𝐚𝐨 𝐂𝐮𝐩 dhidi ya 𝐍𝐄𝐖𝐂𝐀𝐒𝐓𝐋𝐄 𝐔𝐍𝐈𝐓𝐄𝐃 tena ya 𝐯𝐢𝐭𝐨𝐭𝐨 𝐯𝐲𝐚 𝐀𝐜𝐚𝐝𝐞𝐦𝐲 kututoa nishai watu wazima Pale pale Nyumbani 𝐎𝐋𝐃 𝐓𝐑𝐀𝐅𝐅𝐎𝐑𝐃 tena kwa Goli 𝟎 - 𝟑 nikawa nimesalimu amri.
Nikaacha na kuhangaisha macho yangu na mwanga wa TV kutizama upuuzi wa wale watoto wa Carrington na Kocha wao, ila cha ajabu Mechi zikiisha nikija kutizama matokeo Duuuh!..! huwa ninapata Maumivu ni kama nilienda kushuhudia kabumbu wakati linachezwa kusema kweli hii Timu huwa inaniuma zaidi ya nikiwa nimekosa Pesa ya Kodi .

#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
View attachment 2972018
 
Naomba kwanza msaada wa kutajiwa walio nyuma ya mafanikio ya real madrid.
baadae niulize swali jengine
MADRID Mkuu Bado ni timu ya Wanachama na wanakuwa na Mgawanyiko nadhani kulingana na Michango Tofuati mpaka unakutana na wale wa Juu kabisa SOCIO ambao huchagua RAISI {Nipo Tayari sahihishwa, hii ndo namna natambua siku zote}

Si kila Raisi anafanya Poa, PEREZ alikujaga na Mfumo wa Galactico's mwanzo Ila haukuwa na Matunda Sana. Walikuja mpa timu RAMON CALDERON Akafeligi sana wakati ule Kila Mwaka aliajiri Mwalimu Mpya kasajiligi wachezaji wa kawaida Mno.

PEREZ Alichukua tena timu lakini akaamini watu Wengi wa Mpira Nafasi za Juu karudisha wachezaji wa zamani Recruitment ana JUNI CALAFAT na PAULO XAVIER Majina Wameleta Madrid kipindi cha karibuni Mengi ni HIT. ARSENAL Wamemchukua PAULO XAVIER Mwaka Jana ile Msimu ya Sikukuu.
 
MADRID Mkuu Bado ni timu ya Wanachama na wanakuwa na Mgawanyiko nadhani kulingana na Michango Tofuati mpaka unakutana na wale wa Juu kabisa SOCIO ambao huchagua RAISI {Nipo Tayari sahihishwa, hii ndo namna natambua siku zote}

Si kila Raisi anafanya Poa, PEREZ alikujaga na Mfumo wa Galactico's mwanzo Ila haukuwa na Matunda Sana. Walikuja mpa timu RAMON CALDERON Akafeligi sana wakati ule Kila Mwaka aliajiri Mwalimu Mpya kasajiligi wachezaji wa kawaida Mno.

PEREZ Alichukua tena timu lakini akaamini watu Wengi wa Mpira Nafasi za Juu karudisha wachezaji wa zamani Recruitment ana JUNI CALAFAT na PAULO XAVIER Majina Wameleta Madrid kipindi cha karibuni Mengi ni HIT. ARSENAL Wamemchukua PAULO XAVIER Mwaka Jana ile Msimu ya Sikukuu.
Ni kama nilivyosema sisi tunajua OT is a one united...

Lkn ikaja mara uwanja ni sisi wananchama mara huku mara kule. One united ililenga timu ya wanachana ambapo letu ni moja.

Nyimbo zetu zinahaasisha umoja. Kwankuwa ilishindikana kuwa one ikaja kuwa man mtu yyt anaweza akaichukua.

Ila huko baadae tutaweka kipengele katk mkataba kwamba ukizingua kama alivyofanya glazers tunakuondoa kwa sheria
 
Jaribu waza UTD front 3 ina CR7, WAZZA, TEVEZ, Defenders RIO, VIDIC, EVRA Wote ni World Class Players. Hakuna hata Mmoja amesajiliwa hapo Akiwa Star, Wote wamesajiliwa kama Potentials na kuja kuwa Star/Super Stars wakiwa na UTD.

Alianza Peter Kenyon baadae D.Gill kaondoka na Fergie {Hawa walikuwa wanajua Nini Maana ya Mchezaji kuvaa Jezi ya UTD}. Glazzer wameleta Bankers Pale Bila watu wa Michezo. HAKUNA MWALIMU ANAWEZA FANIKIWA NA MFUMO NA KUNDI HILI LA WACHEZAJI.

Mourinho anakwambia alikuwa hataki baadhi ya Wachezaji Miaka 5/6 Ilopita Mpaka leo wapo ni Picha halisi ya Utendaji Mbovu wa Kimichezo. Wachezaji wamekuwa na Nguvu ambayo haindani na Uwezo wao Uwanjani.

Weghorst & FRED
hawakuwa na Uwezo wa Kutisha lakini Walikuwa wanajitoa kuwakilisha Jezi unaona kabisa wanajaribu changamoto ni Uwezo.
Tunahitaji Madirisha kama Matatu kuwa na Timu ya Kushindania Ligi, Yanaweza Pungua kama Maendeleo ya Baadhi ya watoto Academy wataingia Fresh kwenye timu.
Halafu Weghorst alisaidia sana Radhford kuclick vizuri kuanzia ile January.

Mchezaji anaweza asifunge goli ila akawa na positive influence kwa wenzake.

Workrate ya Weghorst ilikuwa inazifungua timu nyingi na kumpa space ya kutosha Rashford.
 
Nakumbuka kipindi huyu Jasusi alivyoteuliwa kuwa Kocha wa Man-U aliamini sana katika mbinu zake za kumiliki mpira, mechi ya kwanza na ya pili alipigwa consecutively. Lakini pamoja na kupigwa, mpira uliokuwa unachezwa ulikuwa mzuri sana. Sasa baada ya kuona anafungwa akaamua kuachana na Possessing Football aka-switch Kwa kucheza vyovyote ili kupata matokeo.

Baadhi ya watu wakaamini ataendelea kufanya mapinduzi ya kimpira na kurudi kwenye playing stile ya kumiliki mpira baada ya kuendelea na kufanya usajili. Mpaka sasa katumia zaidi ya pound 400 Million bila matumaini yoyote yale.

Timu inacheza kama vile hakuna management yoyote Ile na kama hawana mazoezi kabisa. Kamnunua Onana ili kuondana na playing stile ya kumiliki, lakini mpaka sasa wachezaji hawawezi kupasiana hata pasi tano (wamejaa uoga sana). Onana sometimes analaumiwa bule tu kwani sio shoot stoper, yule angefaa sana kama angekua Man-City au Barcelona.

Kuna jamaa humu huwa namfatilia anaitwa"Masingeli" tangu mwanzo alifanya uchambuzi muruaa kuhusu huyu Ten 7, lakini watu walikua wanamkejeli sana. Kuna swali aliuliza kwamba "huyu Kocha anachezesha timu kwa stile gani" (is it Possessing Football?, Total football or Defensive Football?). So Mpira Kwa sasa haueleweki kabisa na Masingeli kwa sasa anaonekana mshindi ingawaje anawadanganya wenzake eti Arsenal ni timu nzuri, na ikitokea Arsenal imefungwa huwa anakimbilia Mapangoni.

Timu ya Man U imekosa muunganiko kuanzia kwa kipa, mabeki, middle mpaka forward, eti kwa sasa kanategemewa katoto (Maino)ndo kaunganishe timu daaaaaaah. Kwa sasa ni like a mid-table team ,haichukui kombe na wala haishuki daraja and there is no proper planning and management ni kanyaga twende tu ilimladi wao Vibunda vinaingia tu (Commercial Club). Kwamba tuchukue kombe ama tusichukua ilimladi tuna mashabiki wengi sana duniani.
Project ya Ten Hag bado ni changa sana kuitupa.

Tunajificha kwenye kivuli cha 400 € tunasahau kuwa wengi wa walisajiliwa hawakuwa chaguo lake la kwanza centerback wake tegemeo amepata injury na akiwa fit timu inaamka.

Ten Hag akifanya usajili vizuri kulingana na mahitaji yake atabeba kombe la epl kabla ya Arteta.
 
Nakumbuka kipindi huyu Jasusi alivyoteuliwa kuwa Kocha wa Man-U aliamini sana katika mbinu zake za kumiliki mpira, mechi ya kwanza na ya pili alipigwa consecutively. Lakini pamoja na kupigwa, mpira uliokuwa unachezwa ulikuwa mzuri sana. Sasa baada ya kuona anafungwa akaamua kuachana na Possessing Football aka-switch Kwa kucheza vyovyote ili kupata matokeo.

Baadhi ya watu wakaamini ataendelea kufanya mapinduzi ya kimpira na kurudi kwenye playing stile ya kumiliki mpira baada ya kuendelea na kufanya usajili. Mpaka sasa katumia zaidi ya pound 400 Million bila matumaini yoyote yale.

Timu inacheza kama vile hakuna management yoyote Ile na kama hawana mazoezi kabisa. Kamnunua Onana ili kuondana na playing stile ya kumiliki, lakini mpaka sasa wachezaji hawawezi kupasiana hata pasi tano (wamejaa uoga sana). Onana sometimes analaumiwa bule tu kwani sio shoot stoper, yule angefaa sana kama angekua Man-City au Barcelona.

Kuna jamaa humu huwa namfatilia anaitwa"Masingeli" tangu mwanzo alifanya uchambuzi muruaa kuhusu huyu Ten 7, lakini watu walikua wanamkejeli sana. Kuna swali aliuliza kwamba "huyu Kocha anachezesha timu kwa stile gani" (is it Possessing Football?, Total football or Defensive Football?). So Mpira Kwa sasa haueleweki kabisa na Masingeli kwa sasa anaonekana mshindi ingawaje anawadanganya wenzake eti Arsenal ni timu nzuri, na ikitokea Arsenal imefungwa huwa anakimbilia Mapangoni.

Timu ya Man U imekosa muunganiko kuanzia kwa kipa, mabeki, middle mpaka forward, eti kwa sasa kanategemewa katoto (Maino)ndo kaunganishe timu daaaaaaah. Kwa sasa ni like a mid-table team ,haichukui kombe na wala haishuki daraja and there is no proper planning and management ni kanyaga twende tu ilimladi wao Vibunda vinaingia tu (Commercial Club). Kwamba tuchukue kombe ama tusichukua ilimladi tuna mashabiki wengi sana duniani.
Man United ina pressure kubwa angepossess akafungwa mechi nne mfululizo asingefika hata October.

Naelewa maamuzi yake United inahitaji Pragmatic Manager
 
Naomba kwanza msaada wa kutajiwa walio nyuma ya mafanikio ya real madrid.
baadae niulize swali jengine
Frolentino Perez angalia kipindi Madrid ikiongpzwa na Ramon Calderon na baadae Vicente Beluda champions League ilitolewa 16 na 8 na Olympic Lyon mara mbili mfululizo na ilikuwa na wachezaji wa hovyo wengi sana.

Aliporudi Perez 2009 alitumia madirisha matatu ya usajili akisajili wachezaji 8 plus kila dirisha mpaka kuipata Madrid bora ya Mourinho, Carlo Anceloti na Zizou.

Misimu hii miwili tena anasuka kikosi bila shaka atabeba tena UCL mfululizo akikamilisha project yake.
 
Nimesikia tetesi za Roberto De Zerbi kuja United.

Mimi si muumini wa falsafa za RDZ na siamini kama RDZ atapata matokeo hata nusu ya ETH.

RDZ anastruggle sana against timu ambazo hazifanyi pressing na msimu huu timu nyingi haziwapress Brighton wanapoteana sana.

Kumfukuza Ten Hag ni kumuonea tu kama alivyoonewa, Van Gaal, Mou, Ole na sasa ni ETH.

kumwajiri RDZ in place of ETH ni kupotea zaidi.
 
Chelsea kweli wale jamaa ni Vichaa 🚮
Eti wanapeana moyo leo Watashinda watutoe kwenye nafasi ya 7.

Naona kwanza wangemalizana na Arsenal kwanza kabla ya kumuwaza Man United sisi ni Level nyingine 💪
 
Ndugu tuna Share maumivu kaka , mimi toka ile mechi ya mtoano 𝐂𝐚𝐫𝐚𝐛𝐚𝐨 𝐂𝐮𝐩 dhidi ya 𝐍𝐄𝐖𝐂𝐀𝐒𝐓𝐋𝐄 𝐔𝐍𝐈𝐓𝐄𝐃 tena ya 𝐯𝐢𝐭𝐨𝐭𝐨 𝐯𝐲𝐚 𝐀𝐜𝐚𝐝𝐞𝐦𝐲 kututoa nishai watu wazima Pale pale Nyumbani 𝐎𝐋𝐃 𝐓𝐑𝐀𝐅𝐅𝐎𝐑𝐃 tena kwa Goli 𝟎 - 𝟑 nikawa nimesalimu amri.
Nikaacha na kuhangaisha macho yangu na mwanga wa TV kutizama upuuzi wa wale watoto wa Carrington na Kocha wao, ila cha ajabu Mechi zikiisha nikija kutizama matokeo Duuuh!..! huwa ninapata Maumivu ni kama nilienda kushuhudia kabumbu wakati linachezwa kusema kweli hii Timu huwa inaniuma zaidi ya nikiwa nimekosa Pesa ya Kodi .

#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
View attachment 2972018
Pole sana Mkuu hii timu inatuumiza sana.
 
Back
Top Bottom