Bachelor OG
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 1,196
- 1,463
Shukrani saana but app tofauti na snap chat?easy kabisa ni snapchat unaenda unaeka picha then juu unaeka audio
Shukrani saana but app tofauti na snap chat?easy kabisa ni snapchat unaenda unaeka picha then juu unaeka audio
Next season wasipofanya usajili wa maana tutakuwa relegated.Itachukua mda sana kwa hii timu kubadilika sababu sir Jim ratclife(ineos), sio wakumwamini Kama atakuwa anafanya kazi na hao glazzers wakiwa mabosi wake it's a shame kwakweli tutazidi kuwaharibua makocha cv zao mpaka lini!
Umeongea mengi. Nimekuelewa kwenye vibunda vinaingia.Nakumbuka kipindi huyu Jasusi alivyoteuliwa kuwa Kocha wa Man-U aliamini sana katika mbinu zake za kumiliki mpira, mechi ya kwanza na ya pili alipigwa consecutively. Lakini pamoja na kupigwa, mpira uliokuwa unachezwa ulikuwa mzuri sana. Sasa baada ya kuona anafungwa akaamua kuachana na Possessing Football aka-switch Kwa kucheza vyovyote ili kupata matokeo.
Baadhi ya watu wakaamini ataendelea kufanya mapinduzi ya kimpira na kurudi kwenye playing stile ya kumiliki mpira baada ya kuendelea na kufanya usajili. Mpaka sasa katumia zaidi ya pound 400 Million bila matumaini yoyote yale.
Timu inacheza kama vile hakuna management yoyote Ile na kama hawana mazoezi kabisa. Kamnunua Onana ili kuondana na playing stile ya kumiliki, lakini mpaka sasa wachezaji hawawezi kupasiana hata pasi tano (wamejaa uoga sana). Onana sometimes analaumiwa bule tu kwani sio shoot stoper, yule angefaa sana kama angekua Man-City au Barcelona.
Kuna jamaa humu huwa namfatilia anaitwa"Masingeli" tangu mwanzo alifanya uchambuzi muruaa kuhusu huyu Ten 7, lakini watu walikua wanamkejeli sana. Kuna swali aliuliza kwamba "huyu Kocha anachezesha timu kwa stile gani" (is it Possessing Football?, Total football or Defensive Football?). So Mpira Kwa sasa haueleweki kabisa na Masingeli kwa sasa anaonekana mshindi ingawaje anawadanganya wenzake eti Arsenal ni timu nzuri, na ikitokea Arsenal imefungwa huwa anakimbilia Mapangoni.
Timu ya Man U imekosa muunganiko kuanzia kwa kipa, mabeki, middle mpaka forward, eti kwa sasa kanategemewa katoto (Maino)ndo kaunganishe timu daaaaaaah. Kwa sasa ni like a mid-table team ,haichukui kombe na wala haishuki daraja and there is no proper planning and management ni kanyaga twende tu ilimladi wao Vibunda vinaingia tu (Commercial Club). Kwamba tuchukue kombe ama tusichukua ilimladi tuna mashabiki wengi sana duniani.
Sijajua Doto12 Kawaida unazungumzia inafananaje, lla Fergie amekuwa na aina Nyingi sana za Wachezaji ila alichokuwa anazingatia ni Character na Mentality ya Mchezaji.Tafuta kwa nn ferguson alikuwa na wachezaji wa kawaida sana?
Mnazunguka mno. Kazi ya Erik wote mmeiona. Mmeridhika? Kama ndiyo, acha kijana (😄😄😄) apige kazi. Kama siyo, piga chini.BREAKING: Erik ten Hag will effectively be on trial over the next month as #mufc's new technical director Jason Wilcox conducts an audit of the manager’s credentials and dressing room relations before the club makes a final decision on Ten Hag's future. [
@TelegraphDucker
]
Nakuelewa vzr hapo El Tiger nilimaanisha Peter.. Peter ni genius sana yule mtu.Sijajua Doto12 Kawaida unazungumzia inafananaje, lla Fergie amekuwa na aina Nyingi sana za Wachezaji ila alichokuwa anazingatia ni Character na Mentality ya Mchezaji.
Umemzungumzia D.Gill ila huyu alipikwa na Peter Kenyon, Wakati Roman anainunua Chelsea moja ya Majina ya kwanza kuingia kwenye Timu ni Kenyon.
Mourinho alipata Timu nzuri sana akiwa na Kenyon hapa ndo KUKAZALIWA CHELSEA FANS WA KIBONGO!
Uongozi Mzuri wa kimichezo lazima utengeneze timu nzuri.
CITY Mafanikio yao yapo zaidi kwenye Timu ya Nyuma ya Pazia {PEP Kazi yake inakuwa Rahisi}. Kwa Kuanzia Berrada, Ashworth, Wilcox, Ward ni Hatua nzuri.
Naomba kwanza msaada wa kutajiwa walio nyuma ya mafanikio ya real madrid.Mourinho alipata Timu nzuri sana akiwa na Kenyon hapa ndo KUKAZALIWA CHELSEA FANS WA KIBONGO!
Uongozi Mzuri wa kimichezo lazima utengeneze timu nzuri.
CITY Mafanikio yao yapo zaidi kwenye Timu ya Nyuma ya Pazia {PEP Kazi yake inakuwa Rahisi}. Kwa Kuanzia Berrada, Ashworth, Wilcox, Ward ni Hatua nzuri.
Ndugu tuna Share maumivu kakaYaani nakujitahidi kwangu kote kutokuangalia mechi zake,lakin bado wananiumiza hata kwenye kuangalia matokeo tu! Kwakweli sheikh jasmine alitakiwa kuwa mmiliki wa hii timu
, mimi toka ile mechi ya mtoano 𝐂𝐚𝐫𝐚𝐛𝐚𝐨 𝐂𝐮𝐩 dhidi ya 𝐍𝐄𝐖𝐂𝐀𝐒𝐓𝐋𝐄 𝐔𝐍𝐈𝐓𝐄𝐃 tena ya 𝐯𝐢𝐭𝐨𝐭𝐨 𝐯𝐲𝐚 𝐀𝐜𝐚𝐝𝐞𝐦𝐲 kututoa nishai watu wazima Pale pale Nyumbani 𝐎𝐋𝐃 𝐓𝐑𝐀𝐅𝐅𝐎𝐑𝐃 tena kwa Goli 𝟎 - 𝟑 nikawa nimesalimu amri.
.



MADRID Mkuu Bado ni timu ya Wanachama na wanakuwa na Mgawanyiko nadhani kulingana na Michango Tofuati mpaka unakutana na wale wa Juu kabisa SOCIO ambao huchagua RAISI {Nipo Tayari sahihishwa, hii ndo namna natambua siku zote}Naomba kwanza msaada wa kutajiwa walio nyuma ya mafanikio ya real madrid.
baadae niulize swali jengine
Ni kama nilivyosema sisi tunajua OT is a one united...MADRID Mkuu Bado ni timu ya Wanachama na wanakuwa na Mgawanyiko nadhani kulingana na Michango Tofuati mpaka unakutana na wale wa Juu kabisa SOCIO ambao huchagua RAISI {Nipo Tayari sahihishwa, hii ndo namna natambua siku zote}
Si kila Raisi anafanya Poa, PEREZ alikujaga na Mfumo wa Galactico's mwanzo Ila haukuwa na Matunda Sana. Walikuja mpa timu RAMON CALDERON Akafeligi sana wakati ule Kila Mwaka aliajiri Mwalimu Mpya kasajiligi wachezaji wa kawaida Mno.
PEREZ Alichukua tena timu lakini akaamini watu Wengi wa Mpira Nafasi za Juu karudisha wachezaji wa zamani Recruitment ana JUNI CALAFAT na PAULO XAVIER Majina Wameleta Madrid kipindi cha karibuni Mengi ni HIT. ARSENAL Wamemchukua PAULO XAVIER Mwaka Jana ile Msimu ya Sikukuu.
Halafu Weghorst alisaidia sana Radhford kuclick vizuri kuanzia ile January.Jaribu waza UTD front 3 ina CR7, WAZZA, TEVEZ, Defenders RIO, VIDIC, EVRA Wote ni World Class Players. Hakuna hata Mmoja amesajiliwa hapo Akiwa Star, Wote wamesajiliwa kama Potentials na kuja kuwa Star/Super Stars wakiwa na UTD.
Alianza Peter Kenyon baadae D.Gill kaondoka na Fergie {Hawa walikuwa wanajua Nini Maana ya Mchezaji kuvaa Jezi ya UTD}. Glazzer wameleta Bankers Pale Bila watu wa Michezo. HAKUNA MWALIMU ANAWEZA FANIKIWA NA MFUMO NA KUNDI HILI LA WACHEZAJI.
Mourinho anakwambia alikuwa hataki baadhi ya Wachezaji Miaka 5/6 Ilopita Mpaka leo wapo ni Picha halisi ya Utendaji Mbovu wa Kimichezo. Wachezaji wamekuwa na Nguvu ambayo haindani na Uwezo wao Uwanjani.
Weghorst & FRED hawakuwa na Uwezo wa Kutisha lakini Walikuwa wanajitoa kuwakilisha Jezi unaona kabisa wanajaribu changamoto ni Uwezo.
Tunahitaji Madirisha kama Matatu kuwa na Timu ya Kushindania Ligi, Yanaweza Pungua kama Maendeleo ya Baadhi ya watoto Academy wataingia Fresh kwenye timu.
Project ya Ten Hag bado ni changa sana kuitupa.Nakumbuka kipindi huyu Jasusi alivyoteuliwa kuwa Kocha wa Man-U aliamini sana katika mbinu zake za kumiliki mpira, mechi ya kwanza na ya pili alipigwa consecutively. Lakini pamoja na kupigwa, mpira uliokuwa unachezwa ulikuwa mzuri sana. Sasa baada ya kuona anafungwa akaamua kuachana na Possessing Football aka-switch Kwa kucheza vyovyote ili kupata matokeo.
Baadhi ya watu wakaamini ataendelea kufanya mapinduzi ya kimpira na kurudi kwenye playing stile ya kumiliki mpira baada ya kuendelea na kufanya usajili. Mpaka sasa katumia zaidi ya pound 400 Million bila matumaini yoyote yale.
Timu inacheza kama vile hakuna management yoyote Ile na kama hawana mazoezi kabisa. Kamnunua Onana ili kuondana na playing stile ya kumiliki, lakini mpaka sasa wachezaji hawawezi kupasiana hata pasi tano (wamejaa uoga sana). Onana sometimes analaumiwa bule tu kwani sio shoot stoper, yule angefaa sana kama angekua Man-City au Barcelona.
Kuna jamaa humu huwa namfatilia anaitwa"Masingeli" tangu mwanzo alifanya uchambuzi muruaa kuhusu huyu Ten 7, lakini watu walikua wanamkejeli sana. Kuna swali aliuliza kwamba "huyu Kocha anachezesha timu kwa stile gani" (is it Possessing Football?, Total football or Defensive Football?). So Mpira Kwa sasa haueleweki kabisa na Masingeli kwa sasa anaonekana mshindi ingawaje anawadanganya wenzake eti Arsenal ni timu nzuri, na ikitokea Arsenal imefungwa huwa anakimbilia Mapangoni.
Timu ya Man U imekosa muunganiko kuanzia kwa kipa, mabeki, middle mpaka forward, eti kwa sasa kanategemewa katoto (Maino)ndo kaunganishe timu daaaaaaah. Kwa sasa ni like a mid-table team ,haichukui kombe na wala haishuki daraja and there is no proper planning and management ni kanyaga twende tu ilimladi wao Vibunda vinaingia tu (Commercial Club). Kwamba tuchukue kombe ama tusichukua ilimladi tuna mashabiki wengi sana duniani.
Man United ina pressure kubwa angepossess akafungwa mechi nne mfululizo asingefika hata October.Nakumbuka kipindi huyu Jasusi alivyoteuliwa kuwa Kocha wa Man-U aliamini sana katika mbinu zake za kumiliki mpira, mechi ya kwanza na ya pili alipigwa consecutively. Lakini pamoja na kupigwa, mpira uliokuwa unachezwa ulikuwa mzuri sana. Sasa baada ya kuona anafungwa akaamua kuachana na Possessing Football aka-switch Kwa kucheza vyovyote ili kupata matokeo.
Baadhi ya watu wakaamini ataendelea kufanya mapinduzi ya kimpira na kurudi kwenye playing stile ya kumiliki mpira baada ya kuendelea na kufanya usajili. Mpaka sasa katumia zaidi ya pound 400 Million bila matumaini yoyote yale.
Timu inacheza kama vile hakuna management yoyote Ile na kama hawana mazoezi kabisa. Kamnunua Onana ili kuondana na playing stile ya kumiliki, lakini mpaka sasa wachezaji hawawezi kupasiana hata pasi tano (wamejaa uoga sana). Onana sometimes analaumiwa bule tu kwani sio shoot stoper, yule angefaa sana kama angekua Man-City au Barcelona.
Kuna jamaa humu huwa namfatilia anaitwa"Masingeli" tangu mwanzo alifanya uchambuzi muruaa kuhusu huyu Ten 7, lakini watu walikua wanamkejeli sana. Kuna swali aliuliza kwamba "huyu Kocha anachezesha timu kwa stile gani" (is it Possessing Football?, Total football or Defensive Football?). So Mpira Kwa sasa haueleweki kabisa na Masingeli kwa sasa anaonekana mshindi ingawaje anawadanganya wenzake eti Arsenal ni timu nzuri, na ikitokea Arsenal imefungwa huwa anakimbilia Mapangoni.
Timu ya Man U imekosa muunganiko kuanzia kwa kipa, mabeki, middle mpaka forward, eti kwa sasa kanategemewa katoto (Maino)ndo kaunganishe timu daaaaaaah. Kwa sasa ni like a mid-table team ,haichukui kombe na wala haishuki daraja and there is no proper planning and management ni kanyaga twende tu ilimladi wao Vibunda vinaingia tu (Commercial Club). Kwamba tuchukue kombe ama tusichukua ilimladi tuna mashabiki wengi sana duniani.
Frolentino Perez angalia kipindi Madrid ikiongpzwa na Ramon Calderon na baadae Vicente Beluda champions League ilitolewa 16 na 8 na Olympic Lyon mara mbili mfululizo na ilikuwa na wachezaji wa hovyo wengi sana.Naomba kwanza msaada wa kutajiwa walio nyuma ya mafanikio ya real madrid.
baadae niulize swali jengine
Pole sana Mkuu hii timu inatuumiza sana.Ndugu tuna Share maumivu kaka, mimi toka ile mechi ya mtoano 𝐂𝐚𝐫𝐚𝐛𝐚𝐨 𝐂𝐮𝐩 dhidi ya 𝐍𝐄𝐖𝐂𝐀𝐒𝐓𝐋𝐄 𝐔𝐍𝐈𝐓𝐄𝐃 tena ya 𝐯𝐢𝐭𝐨𝐭𝐨 𝐯𝐲𝐚 𝐀𝐜𝐚𝐝𝐞𝐦𝐲 kututoa nishai watu wazima Pale pale Nyumbani 𝐎𝐋𝐃 𝐓𝐑𝐀𝐅𝐅𝐎𝐑𝐃 tena kwa Goli 𝟎 - 𝟑 nikawa nimesalimu amri.
Nikaacha na kuhangaisha macho yangu na mwanga wa TV kutizama upuuzi wa wale watoto wa Carrington na Kocha wao, ila cha ajabu Mechi zikiisha nikija kutizama matokeo Duuuh!..! huwa ninapata Maumivu ni kama nilienda kushuhudia kabumbu wakati linachezwa kusema kweli hii Timu huwa inaniuma zaidi ya nikiwa nimekosa Pesa ya Kodi.
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |
View attachment 2972018