ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,554
- 7,992
Nipe matokeo wewe shogaUnavyokuwaga na kiherehere Cha kushangilia JF sasa utafikiri kuna bonge la mpira mnacheza kumbe pitikupitiku tu
Nipe matokeo wewe shogaUnavyokuwaga na kiherehere Cha kushangilia JF sasa utafikiri kuna bonge la mpira mnacheza kumbe pitikupitiku tu
Moja wa madogo walioniuma sana kuondoka Kwake ni zidane iqbal.Ila kiukweli UTD Academy ina watoto wanakuja fresh sana. Huyu Ethan Wheatley anaeza Shangaza ana Frame ya CF 6.3" kwa Miaka 18!! UTD wanaeza Okoa Pesa Mingi sana Pitia Academy.
Nilikuwa nawaza zaidi AMASS, BRAGIMOV, LACEY na FORSON ila kuna kikundi kinakuja kwa kasi na kinaeza Pita baadhi ya Majina tuliyozani kabla, WHEATLEY, NOLAN, ELYH, JACKSON.
Nina QUOTE zako kadhaa juu kuhusu kipi kati ya MWALIMU/STYLE na Uongozwaji wa MADRID hujatia Neno.
Ila sub za kocha wetu... 😂😂😂
Wajaa LAANA nyinyi MAKENGE,yaani Bunley timu ya pili kutoka mkiani ndio inawatoa jasho mnatoka sare OT,mnaliwa na WANGA nyinyiAnthonyyyyyyyyyyyyy
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji873]Biggest club in the world is playing today ni raha tupu wakubwa.View attachment 2975201