Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

GGMU...
IMG-20240425-WA0002.jpg
 
Tunaomba mechi dhidi ya Real Madrid, nadhani ndio timu pekee itakayoweza kuisimamisha manchester united ya bwana COX.

Nasema uongo ndugu zangu?
Ila kiukweli UTD Academy ina watoto wanakuja fresh sana. Huyu Ethan Wheatley anaeza Shangaza ana Frame ya CF 6.3" kwa Miaka 18!! UTD wanaeza Okoa Pesa Mingi sana Pitia Academy.

Nilikuwa nawaza zaidi AMASS, BRAGIMOV, LACEY na FORSON ila kuna kikundi kinakuja kwa kasi na kinaeza Pita baadhi ya Majina tuliyozani kabla, WHEATLEY, NOLAN, ELYH, JACKSON.

Nina QUOTE zako kadhaa juu kuhusu kipi kati ya MWALIMU/STYLE na Uongozwaji wa MADRID hujatia Neno.
 
Back
Top Bottom