Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,649
- 5,074
Nyimbu kazi mnayo.
Kupata mabadiliko ilikua sharti timu apewe Mwarabu, ila kwa hawa wahuni tutaendelea kuteseka mpaka siku Yesu anarudi.Itachukua mda sana kwa hii timu kubadilika sababu sir Jim ratclife(ineos), sio wakumwamini Kama atakuwa anafanya kazi na hao glazzers wakiwa mabosi wake it's a shame kwakweli tutazidi kuwaharibua makocha cv zao mpaka lini!
Kaishia kupiga pichaSafari ya miezi 11 kwa baiskeli kutoka Mongolia mpaka london.
Kwa mujibu wa andy mitten
View attachment 2970133
Watu wanawachukulia poa sana hao madogo nendeni mkawaulize wolves robo fainali walifanywa niniPamoja na ubovu wa timu yetu ila hawa madogo wakiingia ligi kuu watasumbua sana.
Mkuu umetumia app gan kutengeneza hii video?Tapeli walter white
Ila nyie....
![]()


Maandiko yanasema "Wanaume tunakula kwa jasho na Arsemwali anazaa kwa uchungu kila inapofika mwisho wa msimu"easy kabisa ni snapchat unaenda unaeka picha then juu unaeka audioMkuu umetumia app gan kutengeneza hii video?
Nashida na app ambayo inaweka picha moja na audio
Daah. Yaani kweli nyie sijui muwekwe kundi gani. Mpo mpo tu mnaishi kwa miujiza na mnaotea vijifanikio 😀 😀Maandiko yanasema "Wanaume tunakula kwa jasho na Arsemwali anazaa kwa uchungu kila inapofika mwisho wa msimu"
Kimasihara masihara Utd anamaliza msimu akiwa na furaha ya kubeba kombe halafu Arsenyau wanamaliza msimu mikono mitupu na kudanganyana Phase 5 ndio phase ya makombe. View attachment 2970829
Daah. Yaani kweli nyie sijui muwekwe kundi gani. Mpo mpo tu mnaishi kwa miujiza na mnaotea vijifanikio 😀 😀Maandiko yanasema "Wanaume tunakula kwa jasho na Arsemwali anazaa kwa uchungu kila inapofika mwisho wa msimu"
Kimasihara masihara Utd anamaliza msimu akiwa na furaha ya kubeba kombe halafu Arsenyau wanamaliza msimu mikono mitupu na kudanganyana Phase 5 ndio phase ya makombe. View attachment 2970829