Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Itachukua mda sana kwa hii timu kubadilika sababu sir Jim ratclife(ineos), sio wakumwamini Kama atakuwa anafanya kazi na hao glazzers wakiwa mabosi wake it's a shame kwakweli tutazidi kuwaharibua makocha cv zao mpaka lini!
Kupata mabadiliko ilikua sharti timu apewe Mwarabu, ila kwa hawa wahuni tutaendelea kuteseka mpaka siku Yesu anarudi.
 
Ila nyie....

😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
 
Ila nyie....

Maandiko yanasema "Wanaume tunakula kwa jasho na Arsemwali anazaa kwa uchungu kila inapofika mwisho wa msimu"
Kimasihara masihara Utd anamaliza msimu akiwa na furaha ya kubeba kombe halafu Arsenyau wanamaliza msimu mikono mitupu na kudanganyana Phase 5 ndio phase ya makombe.
1713774647225.jpg
 
Maandiko yanasema "Wanaume tunakula kwa jasho na Arsemwali anazaa kwa uchungu kila inapofika mwisho wa msimu"
Kimasihara masihara Utd anamaliza msimu akiwa na furaha ya kubeba kombe halafu Arsenyau wanamaliza msimu mikono mitupu na kudanganyana Phase 5 ndio phase ya makombe. View attachment 2970829
Daah. Yaani kweli nyie sijui muwekwe kundi gani. Mpo mpo tu mnaishi kwa miujiza na mnaotea vijifanikio 😀 😀
 
Back
Top Bottom