King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,980
- 4,942
Kabisa MkuuNext season wasipofanya usajili wa maana tutakuwa relegated.
Kabisa MkuuNext season wasipofanya usajili wa maana tutakuwa relegated.
Mkuu inasikitisha sanaKupata mabadiliko ilikua sharti timu apewe Mwarabu, ila kwa hawa wahuni tutaendelea kuteseka mpaka siku Yesu anarudi.
Changamoto kubwa UTD tayari ipo katika Soko la Hisa la NYSE. Kuweka sheria labda timu ingechukuliwa na Mtu mmoja kama Kina King faisal na Flano wanavyopendekeza. Timu angemiliki Mtu mmoja ingekuwa rahisi.Ila huko baadae tutaweka kipengele katk mkataba kwamba ukizingua kama alivyofanya glazers tunakuondoa kwa sheria
Hawa watoto wa glazzers wakiongozwa na Avram ndio wanaiteketeza kabisa mkuuChangamoto kubwa UTD tayari ipo katika Soko la Hisa la NYSE. Kuweka sheria labda timu ingechukuliwa na Mtu mmoja kama Kina King faisal na Flano wanavyopendekeza. Timu angemiliki Mtu mmoja ingekuwa rahisi.
Kwa sasa twende nao tu hivyo hivyo Muhimu wafanye Machaguzi Bora yatayoleta Performance nzuri Uwanjani. Mara nyingi Mashabiki Mapato yanatugusa ila sio sana kama Matokeo Mabovu.
Glazzer kuanzia Anainunua UTD Fergie alishamkataa na alishatakaga achia timu Mara kadhaa sababu yake ila Yule Mama Cathy kuna attempts kadhaa alimzuia. Timu imedondokea kwa watoto ndo imekuwa changamoto haswa.
Onana anatusave sanaMatokeo ya leo ya Chelsea ndio yalipaswa kuwa matokeo zoefu ya manchester united kwenye mechi zake.
Tunaruhusu sana kupigiwa mashuti golini kwetu
Bahati nzuri leo mko na Sheffield, mjipigie kadri mtakavyo.Wiki hii italeta presha mpya kwa meneja wa hii club Erik ten Hag, huku jukumu lake kama meneja wa klabu halijahakikishiwa kuendelea hadi msimu ujao. Tangu INEOS ilipopata umiliki wao wa hisa chache wa klabu imekuwa wazi kuwa Ten Hag alikuwa akichunguzwa kwa matokeo, uchezaji na ujumuisho wa timu.
Kumekuwa na matukio makubwa - kwa kawaida malengo makubwa ya timu ingawa, badala ya utawala kamili wa mchezo. Kwa hivyo uongozi wa United unafikiria kama yeye ndiye mtu wa kuwaongoza mbele. Iwapo United watapata draw leo na Tenhug akaomba kazi hiyo, je ataipata? Hicho ndicho United wanajaribu kuamua. Bado inaweza kuwa kwamba anabaki kuwa mgombea bora wa kazi hiyo. Hakuna wasimamizi wengi wenye uzoefu wa soka la kisasa wanaopatikana sokoni.
Wewe ndio unamzarau Sheffield, ila kwa hii Man Utd yetu hio mechi na Sheffield inaweza kua kama fainali na wanaweza wakatugonga vilevile kama sio kutoa draw.Bahati nzuri leo mko na Sheffield, mjipigie kadri mtakavyo.



Usiwe na shaka hapo bro.Wewe ndio unamzarau Sheffield, ila kwa hii Man Utd yetu hio mechi na Sheffield inaweza kua kama fainali na wanaweza wakatugonga vilevile kama sio kutoa draw.
Hii timu yetu dakika 90 zote inazocheza mashabiki hua roho mkononi, mpaka tusikie kipenga cha mwisho kinapulizwa ndio tunashusha pumzi kama tumeambulia points3
View attachment 2972827
3-0 juzi nilishangaa sanaWewe ndio unamzarau Sheffield, ila kwa hii Man Utd yetu hio mechi na Sheffield inaweza kua kama fainali na wanaweza wakatugonga vilevile kama sio kutoa draw.
Hii timu yetu dakika 90 zote inazocheza mashabiki hua roho mkononi, mpaka tusikie kipenga cha mwisho kinapulizwa ndio tunashusha pumzi kama tumeambulia points3
View attachment 2972827
🤣Nilikuwa sina mpango wa kwenda kuchek gemu ila kikosi cha Leo nimeona kipo vizuri...
Casemiro kaludi kula mkoba Antony na Ercksen wameanza...
Mpemba leo hayupo 🤝
Nadhani kuna burudani leo naweza pata
GGMU
Japokuwa list ya majeruhi ni ndefu lakini kwa namna yoyote McTOMINAY ambaye ni mfungaji wetu bora anatakiwa aanze. Sijui ni kitu gani kinamuweka benchi AMAD, mara zote anazoingia unaona kabisa uwezo wake. Muambieni huyo mjinga ETH na leo amtoe tena MAINOO auone mziki.Umeongea mengi. Nimekuelewa kwenye vibunda vinaingia.
Mzee FF alisema man united inakiwa kukufsnyiwa over...... na kuondoa wavhezaji wote. Nkajisemea hajui mchawi ni tajiri...
Tangiabzamani nilihisi grazer wametumwa kuishusha united.
Eti martial alikuwa PELE wao. Niliishia kutukana. Niliijua united miaka mingi I know ups and downs za kutosha.
Ukitaka anza kutafuta sabab ya kuondoka David Gill....
Tafuta kwa nn ferguson alikuwa na wachezaji wa kawaida sana? Ten hag kabla hajaingia united alifanya assessment akakuta nidhamu ya wachezaji ndio shida na ni kweli...akapambania na mimi namlaumu kwa kumuacha Dalot..Rushford...
Kwangu mimi kwa sasa pale united niondolee wachezaji kama watano tu.
...
Hawa wenye colour waondoke.hata maguire anauwezo wa kupanda na kushuka.
- Rushford huyu anatembea uwanjani na hajali.
- Dalot anajituma ndio ila asiwe starter au aondoke
- Bissaka asiwe starter
- Mount aondoke.. sio aggressive kwa age yake alipaswa kuwa mkali na bora angebaki Fred
- Antony abaki ila awe subbed huyu anafaa unapotaka kubadili mfumo
- Martial aondoke
- Luke Shaw huyu aondoke..huwa namuamini mallasia kuliko yye mzigo
waliobaki wanajituma. Kwa muda timu ikiwa inajijenga misimu mitatu inatosha kujenga upya.
mactonomay ni kiungo safi sana
maguire anafaa kusaidiana na bek
Unavyokuwaga na kiherehere Cha kushangilia JF sasa utafikiri kuna bonge la mpira mnacheza kumbe pitikupitiku tuMaguireeeeeeeeeee
1-1
Wametupa ndio sio.Mason Mount missing from United’s traveling squad due to injury.
-----
Hongereni chelsea kwa kutuuzia mtumishi hewa.