Hivi Coventry ni timu ya kwenda nayo Hadi mikwaju ya penalty?


Pamoja na ubovu wa timu yetu ila hawa madogo wakiingia ligi kuu watasumbua sana.Unawaogopesha wenzioUzuri wa huyu kipa wa Coventry, ana historia ya kudaka penalty 2 kati ya 5 wakati wa matuta. Yani hata iweje huwa mbili ni lazima afiche.
Chini ya kipara si jambo la ajabuHivi Coventry ni timu ya kwenda nayo Hadi mikwaju ya penalty?
Panga la Shaba Leo kitu Cha moto
a k.a Panga la shabaChini ya kipara si jambo la ajabu
waingie mwaka gani,na wako point 9 nyuma ya Playoffs position? nyinyi kubalini ni wabovu tuuPamoja na ubovu wa timu yetu ila hawa madogo wakiingia ligi kuu watasumbua sana.
Yeah final, not this seasonLabda tushinde njaa,
Aiseee kama kufungwa kwetu ndio kutamtoa Masingeli vichakani bora tufungwe tu. View attachment 2970317
unafanyiwa comeback ya goli tatu na timu ya chuo 🤣🤣Labda tushinde njaa,
Aiseee kama kufungwa kwetu ndio kutamtoa Masingeli vichakani bora tufungwe tu. View attachment 2970317