Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Si
Liverpool ni timu dhaifu sana kwa kweli pamoja na ubovu wa manchester united hawana tofauti sana

Mchawi wa EPL ni Pep tu kwa Sasa, manchester city bila Pep ni wepesi sana


Mzee kloop kajichokea km alivyosema anaweza tena kiutani utani akamuachia Pep akabeba Epl
Sio kweli. Timu inaongoza ligi ngumu hivi unasemaje imechoka? Kwa taarifa yako timu ndogo zina nguvu sana sasa hivi, huwezi kuzifunga hizi timu ndogo kirahisi lazima utoke jasho.
 
Nimesema dhaifu kwa kuziweka mizania moja na manchester city mkuu

Lkn niamini mimi liverpool kwenye mbio za ubingwa ni mdhaifu

Ni rahisi kuchukua ubingwa mkiwa mnakimbizana na liverpool kuliko lile timu la Pep
Si

Sio kweli. Timu inaongoza ligi ngumu hivi unasemaje imechoka? Kwa taarifa yako timu ndogo zina nguvu sana sasa hivi, huwezi kuzifunga hizi timu ndogo kirahisi lazima utoke jasho.
 
Anthony leo kapambana sana sana, lakini toa ANTHONY weka RASHFORD akawaue hawa.
 
Amebadilika kiakili uyo antony

Kilichobaki ni kujituma uwanjani na kufanya matendo sahihi kwa wakati sahihi
 
Nawahurumia tu liverpool hiyo weekend

Nampenda kocha wa liverpool ni very humble ila when it comes to Manchester United vs liverpool ni story tofauti

We will beat both Liverpool and arsenal
 
Messi akiona hivi atamind sana ataona kum unfollow Garnacho bado haijatosha.

Di Maria ataona kama amedharaulika kwenye ule ushauri wake

1712263548965.png
 
Hawa vijana wa chelsea nilianza kuwachukia rasmi msimu wa 2005/2006 km sikosei

Walitukanyaga goal wakatangaza ubingwa

Mrusi ndio alikuwa ameichukua timu

Chelsea ilikuwa na watu kweli kweli kina Galas,crespo,robben

Mzee Alex ferg ilibidi achukue likizo ya gafla
 
Back
Top Bottom