Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni bahati ila kisoka bado sana sie

Hii ndio liverpool iliyomfanya pep apaki bus second half yote
Halafu kuna mamburula wanafurahia hapa..yule mbwa yuko mahali anakunywa whiskey kwa dharau sana anajua labda atakutana na sisi atatupiga goli 3, tena kwa kikosi B
Yule mbwa anamuogopa klopp kama ukoma, kwanza alivyosikia anaondoka alifurahi kinyama
 
20240317_213723.png
 
Hawa Manunu hawatachukua hili kombe... officially Man City anabaki na kombe lake...Bora Livakuku wamechinjwa...maana shingo zilishazidi vichwa Hawa kuku
Mkuu punguza roho mbaya kumbuka tupo kwenye mwezi mtukufu wa Ramadhani, mwezi wa kutakiana kheri huu.
ManCity ataconcentrate zaidi kwenye Epl na Uefa unaweza shangaa nusu fainali Chelsea akamtoa ManCity halafu fainali ikawa ni Nyumbu na zile kenge za darajani.
Pia hata hawa Coventry sio wa kuwachulia poa huenda wao ndio wakacheza fainali.
1710704579240.jpg
 
Mkuu punguza roho mbaya kumbuka tupo kwenye mwezi mtukufu wa Ramadhani, mwezi wa kutakiana kheri huu.
ManCity ataconcentrate zaidi kwenye Epl na Uefa unaweza shangaa nusu fainali Chelsea akamtoa ManCity halafu fainali ikawa ni Nyumbu na zile kenge za darajani.
Pia hata hawa Coventry sio wa kuwachulia poa huenda wao ndio wakacheza fainali. View attachment 2937607
Mi sina roho mbaya...nazungumza ukweli tu....halafu Bora City achukue hili kombe..baba Ubaya akiliotea kwakwli atatutolea maneno ya shombo sana....sijui sura zetu tutaziweka wapi🤠🤠
 
Back
Top Bottom