Sijajua unazungumzia ARTETA kwenye lipi ila hapo nimezungumzia PEP Kumcopy Bielsa. Nimeshakuonyesha Juu hapo ARTETA akiwa na BACK 5 dhidi ya CITY.
3 3 3 1 Ya Bielsa unaizungumzia hajaitumia sana baada ya Msimu wa kwanza na Leeds {Tafuta
TAKE US HOME: LEEDS} Yeye alikuwa ndo anataabika nayo akaanza tumia 4~1~4~1
View attachment 2927055
PEP Hakuna alichoongeza zaidi ya kutumia Wachezaji wenye Ubora kwenye 3~2~4~1. Hii ni Game ya Mwisho kabisa ya Msimu wanapanda 2020, PEP Mara ya kwanza anapanga timu namna hiyo ni Game na Chelsea Stamford Bridge 2023 na anamtumia B.Silva na Rodri na ndo anaenda nao Game ngumu zote mpaka anachukua Treble.
Fergie alimnunua
Heinze kama CB akija yeye na kina Rooney na Pique, Bielsa alienda na Argentina Olimpiki na akawa anamtumia Heinze kama
LCB, Mascherano anailinda Mabeki watatu wakishambuliwa anarudi yeye halafu anamwancha
Fundi LUCHO katikati Shape inabadilika na kuwa 4~1~4~1,
TEVEZ mbele anabaki mwenyewe, Mpaka wanakuwa Mabigwa wa GOLD!
HEINZE kuja kuanza UTD akawa ndo LB chaguo la kwanza, japokuwa tulikuwaga na Rio na Oshea kama Pacha na yeye alisajiliwa kama CB , Matumizi yake kwa Bielsa Olimpiki yakaongeza Faida namna ameenda tumika UTD, Shida alipokuja pata ACL kurudi UTD wamesajili Evra na Nemanja.
LEEDS Captain wao
Pontus Jansson alihama waliposhindwa Panda ligi kuu akaenda Brentford {Hiyo Documentary TAKE US HOME kama Umeiona Poa kama Hujaiona we Mtu Boli Ukipata Muda ifurahie} Wanamchukua
BEN WHITE na anakuja mfanya Bielsa kuboresha 3~2~4~1 ambao PEP anatamba nao leo. BIELSA huko kwao wanamwita
El Loco "Mwendawazimu" Sio kwa Bahati Mbaya Yule ni zaidi ya
"GENIUS" Kwa Hiyo kina PEP kumuiga Isikushtue.