Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sijajua unazungumzia ARTETA kwenye lipi ila hapo nimezungumzia PEP Kumcopy Bielsa. Nimeshakuonyesha Juu hapo ARTETA akiwa na BACK 5 dhidi ya CITY.
3 3 3 1 Ya Bielsa unaizungumzia hajaitumia sana baada ya Msimu wa kwanza na Leeds {Tafuta TAKE US HOME: LEEDS} Yeye alikuwa ndo anataabika nayo akaanza tumia 4~1~4~1
View attachment 2927055
PEP Hakuna alichoongeza zaidi ya kutumia Wachezaji wenye Ubora kwenye 3~2~4~1. Hii ni Game ya Mwisho kabisa ya Msimu wanapanda 2020, PEP Mara ya kwanza anapanga timu namna hiyo ni Game na Chelsea Stamford Bridge 2023 na anamtumia B.Silva na Rodri na ndo anaenda nao Game ngumu zote mpaka anachukua Treble.

Fergie alimnunua Heinze kama CB akija yeye na kina Rooney na Pique, Bielsa alienda na Argentina Olimpiki na akawa anamtumia Heinze kama LCB, Mascherano anailinda Mabeki watatu wakishambuliwa anarudi yeye halafu anamwancha Fundi LUCHO katikati Shape inabadilika na kuwa 4~1~4~1, TEVEZ mbele anabaki mwenyewe, Mpaka wanakuwa Mabigwa wa GOLD!

HEINZE kuja kuanza UTD akawa ndo LB chaguo la kwanza, japokuwa tulikuwaga na Rio na Oshea kama Pacha na yeye alisajiliwa kama CB , Matumizi yake kwa Bielsa Olimpiki yakaongeza Faida namna ameenda tumika UTD, Shida alipokuja pata ACL kurudi UTD wamesajili Evra na Nemanja.

LEEDS Captain wao Pontus Jansson alihama waliposhindwa Panda ligi kuu akaenda Brentford {Hiyo Documentary TAKE US HOME kama Umeiona Poa kama Hujaiona we Mtu Boli Ukipata Muda ifurahie} Wanamchukua BEN WHITE na anakuja mfanya Bielsa kuboresha 3~2~4~1 ambao PEP anatamba nao leo. BIELSA huko kwao wanamwita El Loco "Mwendawazimu" Sio kwa Bahati Mbaya Yule ni zaidi ya "GENIUS" Kwa Hiyo kina PEP kumuiga Isikushtue.
Elewa kitu

Wewe unataja formation

Mimi nakuonyesha mechi ambayo City alishacheza NDANI AKIWA NA MABEKI 5 NA AKACHEZA BACK 5.

Bielsq kacheza 4 1 4 1 games zote alizochezq 3 3 3 1 alipasuka same na Pep.

Nionyeshe mechi ambayo Arsenal kawaweka mabeki 5 kama mimi nilivyowaonyesha mabeki na mechi.

Arsenal tumecheza back 3. Elewa
 
Hivi Khamisi kwa nini huwa unapenda Kuongopa!?
Arteta Yupi alikwenda "Toe to Toe" na Pep? Imemchukua Arteta Misimu 5 kupata Matokeo Mbele ya Pep katika EPL mechi takribani 8 kafungwa zote hana hata Suluhu.

Mechi Arteta anamfunga Pep hakuna hata Mchezaji Mmoja aliyeanza wakati anacheza Mechi ya kwanza na kufungwa 3-0 nje ya SAKA. ETH ana mapungufu ila Msimu wa kwanza tu alipata Matokeo kwa Hao "Giants" wawili wa Ligi kwa kipindi hiki.
View attachment 2924969
Mechi hii ni Msimu wa 3 wa Arteta anacheza na "BACK 5" Mechi nzima ana Shambulizi 1 na hana ON-TARGET hata Moja! Wewe na Castr mlishakataaga mwalimu wenu hajawahi tumia Mabeki 5, sasa hapa alitumia wangapi?

Hoja yako kwamba wewe Ulisema ETH sio Mwalimu, Itazame Ajax tangu ameiacha hali yake na imeshaweka walimu wangapi, Hawezi kuwa Daraja la PEP ama Klopp, ila kwa Muundo sahihi toka Juu anaweza badili kitu UTD {Mpaka sas UTD ina wachezaji wa Tangu Fergiee} Arteta ameshasajili wachezaji zaidi ya 25.

UTD ilipofika Matatizo ni mengi sana kuanzia Juu. De Zerbi, TT, Poch ulikuwa unawajaza sifa wote humu ila Mpira uwanjani unasema tofauti. Tuna shida ya Kufunga tangu OGS, Tizama GD hapo msimu umeisha bado ilikuwa ni 0!
Ni kitambo kidogo ila mimi nafikiri hivi:

Hiyo formation imekaa kama majina ya wote wanaofahamika kama defenders wamewekwa nyuma, midfielders kati na striker kawekwa mbele ionekane kama 5-4-1. Ila Kolasinac asingecheza hapo alikuwa kama Wingback zaidi na Smith-Rowe asingecheza hapo, alikuwa kama #10 zaidi kwetu.

Huenda ilikuwa back 4 ya Cedric, Chambers, Holding na Tierney au back 3 ya Chambers, Holding na Tierney, huku Cedric na Kolasinac wakiwa wingbacks maana Cedric alikuwaga kama wingback kwetu pia. Katikati angekaa Xhaka na Odegaard, wakisaidiwa na Cedric na Kolasinac , huku Smith-Rowe na Saka wakicheza mbele na Auba au nyuma yake kidogo.
 
Ni kitambo kidogo ila mimi nafikiri hivi:

Hiyo formation imekaa kama majina ya wote wanaofahamika kama defenders wamewekwa nyuma, midfielders kati na striker kawekwa mbele ionekane kama 5-4-1. Ila Kolasinac asingecheza hapo alikuwa kama Wingback zaidi na Smith-Rowe asingecheza hapo, alikuwa kama #10 zaidi kwetu.

Huenda ilikuwa back 4 ya Cedric, Chambers, Holding na Tierney au back 3 ya Chambers, Holding na Tierney, huku Cedric na Kolasinac wakiwa wingbacks maana Cedric alikuwaga kama wingback kwetu pia. Katikati angekaa Xhaka na Odegaard, wakisaidiwa na Cedric na Kolasinac , huku Smith-Rowe na Saka wakicheza mbele na Auba au nyuma yake kidogo.
Sasa mkuu hiyo unayoiita back 3 na wing back wawili kwenye kuzuia si ndiyo inageuka na kuwa mnazuia kwa mabeki watano (back 5)? Kitu ambacho anakiongelea El Tiger kwamba Arteta alikua anatumia back 5.

Au wewe ukisikia back 5 unaielewa vipi?
 
Sasa mkuu hiyo unayoiita back 3 na wing back wawili kwenye kuzuia si ndiyo inageuka na kuwa mnazuia kwa mabeki watano (back 5)? Kitu ambacho anakiongelea El Tiger kwamba Arteta alikua anatumia back 5.

Au wewe ukisikia back 5 unaielewa vipi?

Ukiwa unashambuliwa na ukalazimika kurudisha wachezaji nyuma, unaweza jikuta hata na back 7. Formation ninayofikiri wanaongelea kina Castr na Hamis ni ile general organization ya wachezaji wako, mfano kujaza kati na midfielders wanne au watano au kujaza nyuma na mabeki watano au kujaza mbele na washambuliaji watano...

Ukiangalia aina ya wachezaji unaoamua kuwapanga, utapata idea ni namna gani timu itacheza. Ndiyo maana nikasema kwa team hiyo yetu, Kolasinac angecheza kama wingback na huenda Cedric pia. Smith-Rowe asingejibana kule #11 sana, yeye ni #10, #8 type zaidi. Kwa team hiyo, uwezekano ni mkubwa zaidi kukutana na 3-4-3 au 4-3-3 kuliko 5-4-1. Theory ya kina Castr kuwa Arteta hakutumia back 5 inaweza kuwa na mashiko.
 
Nimekuelewa. Pia nimefanya kiutafiti changu mwenyewe kigogo ili kulinganisha usemacho na wengine wanasemaje (youtube 😃😃) na kuona mnafanana kimtazamo.

Key player wenu asiyekuwepo ambaye anawapa zaidi ya mbadala wake hapo naona ni Martinez. Sijui nimuweke na Mount pia ila hao wengine siwezi kuwahesabia kama kukosekana kwao kumewaharibia, huenda hata ndiyo wamesaidia 1😄😄.

Umezungumzia kiungo ya wazee na kweli statisitics zinasema Casemiro ndiye anaongoza kwa kuchengwa. Bruno yupo juu hapa pia. Nadhani mmeshinda 8/10 ya mechi zenu kama sikosei, hicho ndicho Ten Hag anachotaka.

Hii transition style yenu inatumia low defensive line na high attacking line, midfield ipo katikati na inaacha gap kati ya mid na attack na pia kati ya mid na attack na hizo spaces zinatumika na kila timu kuwaadhibu. Ila, mnaongoza, pamoja na Liverpool kwa kuhamisha mpira kutoka nyumbu hadi mbele na kupelekea kufunga magoli ya hivyo. Pass 5 kutoka kwa beki mpaka kwa striker.

Mkipata Defensive midfielder mmoja mzuri na box to box mmoja mzuri, au hata box to box wawili wazuri wenye pumzi, mbio na uwezo wa kukaba, mtakuwa mmetatua zaidi ya 70% ya tatizo.
Hii umechambua....👊🖐🙏
 
Nionyeshe mechi ambayo Arsenal kawaweka mabeki 5 kama mimi nilivyowaonyesha mabeki na mech
screencapture-fotmob-matches-manchester-city-vs-arsenal-2rhvvi-2024-03-05-10_38_27.png

Hapa ni PEP dhidi ya ARTETA 4 3 3 dhidi ya 5 4 1,
Nilijua tunapiga stori za Mpira ila kumbe unafanya kubishana, Kuna nilichokiandika kuangalia Unafahamu kitu husika ama umeamua tu UBISHI, umekuja na Jibu la kuonyesha Unabishana! {Bielsa na PEP wamepoteza Games zote za 3 CB's!!}
Kwa team hiyo, uwezekano ni mkubwa zaidi kukutana na 3-4-3 au 4-3-3 kuliko 5-4-1
screencapture-fotmob-matches-sheffield-united-vs-arsenal-2tp2sc-2024-03-07-19_18_35.png


HENRY hapa ni ARTETA dhidi ya CHRIS, 3~4~3 Dhidi ya 3~5~2.
Hakuna asiyefahamu kuhusiana na haya Masuala ya Mifumo! Hiki kinazungumzwa HENRY14 kilitokea baada ya kusemwa kwamba Msimu wa Pili tu ARTETA alikuwa ameshapata Mfumo wake wa kucheza. {Hapo juu Tierney na Cedric wana Ubora Upi kati ya Kushambulia ama kuzuia, Ili Pima Mwenyewe}

Leo Hii mfumo rasmi wa ARTETA ni 4~3~3 ila inakuwa na Miundo Mingi sana kuanzia Build Up! Kupata timu nzuri inahitaji Watu sahihi nyuma ya Pazia {Arteta OUT Mpaka Piers Morgan alikuwamo leo Hii ni hadithi tofauti}

Imetumika nguvu kubwa {Tuna safari ila sio ndefu, Leo Hii ARTETA akiondoka mna sehemu ya kuanzia, Sisi ngoja tufanye GALACTICO'S Ya Uongozi kwanza}
 
View attachment 2927319
Hapa ni PEP dhidi ya ARTETA 4 3 3 dhidi ya 5 4 1,
Nilijua tunapiga stori za Mpira ila kumbe unafanya kubishana, Kuna nilichokiandika kuangalia Unafahamu kitu husika ama umeamua tu UBISHI, umekuja na Jibu la kuonyesha Unabishana! {Bielsa na PEP wamepoteza Games zote za 3 CB's!!}

View attachment 2927405

HENRY hapa ni ARTETA dhidi ya CHRIS, 3~4~3 Dhidi ya 3~5~2.
Hakuna asiyefahamu kuhusiana na haya Masuala ya Mifumo! Hiki kinazungumzwa HENRY14 kilitokea baada ya kusemwa kwamba Msimu wa Pili tu ARTETA alikuwa ameshapata Mfumo wake wa kucheza. {Hapo juu Tierney na Cedric wana Ubora Upi kati ya Kushambulia ama kuzuia, Ili Pima Mwenyewe}

Leo Hii mfumo rasmi wa ARTETA ni 4~3~3 ila inakuwa na Miundo Mingi sana kuanzia Build Up! Kupata timu nzuri inahitaji Watu sahihi nyuma ya Pazia {Arteta OUT Mpaka Piers Morgan alikuwamo leo Hii ni hadithi tofauti}

Imetumika nguvu kubwa {Tuna safari ila sio ndefu, Leo Hii ARTETA akiondoka mna sehemu ya kuanzia, Sisi ngoja tufanye GALACTICO'S Ya Uongozi kwanza}
Hii game yeah Arsenal tulicheza 5 4 1.

My bad.

Ila huu haukua mfumo rasmi wa Arsenal.

Kitu Arteta alisema wakati anafika ni kwamba anatarget tucheze 4 3 3 ila hakuna watu sahihi. Time Arteta anasema hivyo Eddie Howe alishaswitch to 4 3 3 na watu walewale.

Arsenal tumeanza kua strong baada ya 4 2 3 1.

Games za Bielsa za 3 3 3 1 hazikumpa matokeo, same na Pep ( kama Pep alipata basi haizidi game 1)

Mimi simuoni kocha wenu ni mbovu kisa mfumo ni mbovu kwakua hawezi kutumia watu alionao. Wakina Mustafi chini ya Arteta walifanya Arsenal iconcede goli chache, na tumecheza sana back 3 ili kua compact kipindi hicho.
 
Mbona inagoma kujisajili na kulog in au mpaka mwanzo wa msimu?
Kwa wiki hii hawa ndiyo wachezaji wanaoongoza kununuliwa.
Bila kusahau mchezaji hupanda au kushuka thamani kulingana na anavyonunuliwa sana au kuuzwa sana.

Mfano: sasa hivi thamani ya Ronaldo ni £12.5m ila baada ya GW4 anaweza kupanda hadi £12.6m kwasababu ananunuliwa na watu wengi.View attachment 1930148
 
Interview ya Ole imetukumbusha tena recruitment department yetu ilivyo ya hovyo.

Imetukumbusha kile kile alichokieleza Van Gaal na Jose, natumai na Ten Hag atatueleza kile kile akiondoka.
UTD ina shida kubwa sana Katika Uongozi, Jaribu fikiria Rangnick alisainishwa NDA Wakati anaondoka UTD kuashiria hatakiwi sema chochote kuhusu UTD Hadharani, Rangnick alikuwa anafahamu shida ni mzoefu kwenye Masuala ya Uongozi wa Kimichezo, Ndiye aliyesema tunahitaji "Open Heart Surgery" akasema tunahitaji zaidi ya sajili 10 na alikuwa sahihi.

Ukisajili kundi lote hilo lazima uuze kundi la namna hiyo Pia, Mourinho akasema wakati wa kauli ile ya "Football Heritage" Wamtajie mchezaji wa UTD anaefanya vyema, Wengine hawachezi kabisa baada ya kutoka UTD, Hatuwezi hata Uza Magarasa!

Tizama CITY anao wangapi ARSENAL, CHELSEA, BARCA, BAYERN, et.al Tena anauza bila hata kuwaza na anapata Wabadala wako Poa tu. {Miaka ya Nyuma UTD tunauza Wachezaji BARCA, MADRID, leo hii kuna wachezaji pale hata Champioships hawatakiwi,

ETH siku zote tunasema hakwepi sehemu ya Lawama lakini kwa kuanzia Hatuna UONGOZI na Umekwamisha Mambo mengi sana kwa kuzingatia tu Upande wa Biashara.
 
Ni wale wale tena barobaro boys wanashuka tena leo kuonesha ngarambe safi kabisa vijana wa Sir Jim hawa leo Everton wataumia vibaya sana tena sana.
kosi letu ili hapa twende nalo.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha

My prediction

Manchester United 3 vs Everton 1
1709984168282.jpg
 
Ni wale wale tena barobaro boys wanashuka tena leo kuonesha ngarambe safi kabisa vijana wa Sir Jim hawa leo Everton wataumia vibaya sana tena sana.
kosi letu ili hapa twende nalo.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha

My prediction

Manchester United 3 vs Everton 1View attachment 2929371
Nasikia mpaka muda huu Everton wanashauriana waingize au wasiingize timu uwanjani, kweli nimeamini Man Utd leo wanahasira kama vile mbogo alietoka kujeruhiwa na simba.
Bwanyenye Sir Jim Ratcliffe ameawaambia kabisa viongozi wa FA kama Everton leo akipigwa chini ya goli 3 basi hizo points3 wapewe wao.
 
Back
Top Bottom