Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 37,915
- 75,759
Elewa kituSijajua unazungumzia ARTETA kwenye lipi ila hapo nimezungumzia PEP Kumcopy Bielsa. Nimeshakuonyesha Juu hapo ARTETA akiwa na BACK 5 dhidi ya CITY.
3 3 3 1 Ya Bielsa unaizungumzia hajaitumia sana baada ya Msimu wa kwanza na Leeds {Tafuta TAKE US HOME: LEEDS} Yeye alikuwa ndo anataabika nayo akaanza tumia 4~1~4~1
View attachment 2927055
PEP Hakuna alichoongeza zaidi ya kutumia Wachezaji wenye Ubora kwenye 3~2~4~1. Hii ni Game ya Mwisho kabisa ya Msimu wanapanda 2020, PEP Mara ya kwanza anapanga timu namna hiyo ni Game na Chelsea Stamford Bridge 2023 na anamtumia B.Silva na Rodri na ndo anaenda nao Game ngumu zote mpaka anachukua Treble.
Fergie alimnunua Heinze kama CB akija yeye na kina Rooney na Pique, Bielsa alienda na Argentina Olimpiki na akawa anamtumia Heinze kama LCB, Mascherano anailinda Mabeki watatu wakishambuliwa anarudi yeye halafu anamwancha Fundi LUCHO katikati Shape inabadilika na kuwa 4~1~4~1, TEVEZ mbele anabaki mwenyewe, Mpaka wanakuwa Mabigwa wa GOLD!
HEINZE kuja kuanza UTD akawa ndo LB chaguo la kwanza, japokuwa tulikuwaga na Rio na Oshea kama Pacha na yeye alisajiliwa kama CB , Matumizi yake kwa Bielsa Olimpiki yakaongeza Faida namna ameenda tumika UTD, Shida alipokuja pata ACL kurudi UTD wamesajili Evra na Nemanja.
LEEDS Captain wao Pontus Jansson alihama waliposhindwa Panda ligi kuu akaenda Brentford {Hiyo Documentary TAKE US HOME kama Umeiona Poa kama Hujaiona we Mtu Boli Ukipata Muda ifurahie} Wanamchukua BEN WHITE na anakuja mfanya Bielsa kuboresha 3~2~4~1 ambao PEP anatamba nao leo. BIELSA huko kwao wanamwita El Loco "Mwendawazimu" Sio kwa Bahati Mbaya Yule ni zaidi ya "GENIUS" Kwa Hiyo kina PEP kumuiga Isikushtue.
Wewe unataja formation
Mimi nakuonyesha mechi ambayo City alishacheza NDANI AKIWA NA MABEKI 5 NA AKACHEZA BACK 5.
Bielsq kacheza 4 1 4 1 games zote alizochezq 3 3 3 1 alipasuka same na Pep.
Nionyeshe mechi ambayo Arsenal kawaweka mabeki 5 kama mimi nilivyowaonyesha mabeki na mechi.
Arsenal tumecheza back 3. Elewa
