Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi Khamisi kwa nini huwa unapenda Kuongopa!?
Arteta Yupi alikwenda "Toe to Toe" na Pep? Imemchukua Arteta Misimu 5 kupata Matokeo Mbele ya Pep katika EPL mechi takribani 8 kafungwa zote hana hata Suluhu.

Mechi Arteta anamfunga Pep hakuna hata Mchezaji Mmoja aliyeanza wakati anacheza Mechi ya kwanza na kufungwa 3-0. ETH ana mapungufu ila Msimu wa kwanza tu alipata Matokeo kwa Hao "Giants" wawili wa Ligi kwa kipindi hiki.
View attachment 2924969
Mechi hii ni Msimu wa 3 wa Arteta anacheza na "BACK 5" Mechi nzima ana Shambulizi 1 na hana ON-TARGET hata Moja! Wewe na Castr mlishakataaga mwalimu wenu hajawahi tumia Mabeki 5, sasa hapa alitumia wangapi?

Hoja yako kwamba wewe Ulisema ETH sio Mwalimu, Itazame Ajax tangu ameiacha hali yake na imeshaweka walimu wangapi, Hawezi kuwa Daraja la PEP ama Klopp, ila kwa Muundo sahihi toka Juu anaweza badili kitu UTD {Mpaka sas UTD ina wachezaji wa Tangu Fergiee} Arteta ameshasajili wachezaji zaidi ya 25.

UTD ilipofika Matatizo ni mengi sana kuanzia Juu. De Zerbi, TT, Poch ulikuwa unawajaza sifa wote humu ila Mpira uwanjani unasema tofauti. Tuna shida ya Kufunga tangu OGS, Tizama GD hapo msimu umeisha bado ilikuwa ni 0!
Nadhani hamis anachosema ni Arteta alisajiliwa 20 Dec 2019, hivyo huu ni msimu wake wa 5 (19-20, 20-21, 21-22, 22-23, 23-24). Mimi napenda kusema ni msimu wa 4 kwa sababu wa kwanza alikuja December na huu bado haujaisha 😀.

Hayo matokeo ya hapo nakumbuka ndiyo wakati Arsenal fans karibia wote kwenye jukwaa letu tulikuwa tunataka Arteta aachishwe kazi ila nadhani Hamis peke yake ndiye alikuwa anamtetea. Tulikuwa tumeanza kujipata licha ya matokeo mabovu mfululizo. Tulikufa 2-0 kwa Brentford, 2-0 kwa Chelsea, 5-0 kwa City.

Tukawa chini kabisa hatuna point, hatuna goli, tumeshapigwa 9. Ila tulianza kunyanyuka na mwishowe tuliboronga tukaingia Europa. Kabla ya hapo tulimaliza wa 8 mara mbili, yaani ule nusu msimu, na msimu mzima wa kwanza wa Mikel. Baada ya hapo kuna mechi angalau moja ambayo tumempiga City msako (Hamis alikuwa anauita huu msako 'utatoa hotoi'), Partey alitawala dimba, ila tulipoteza mechi dakika za mwisho kabisa.

Tulizingua tukafungwa nyingine ila hapo tulikuwa tumeanza kukataa kuwa wateja kwa City. Kwamba tutawachezea mtindo wetu hata tukifungwa. Nadhani hii ndiyo 'toe to toe' anayoongelea Hamis na kweli tumeanza kuona mwanga baada ya muda mrefu. Shida hii tumeipata kwa United kiasi fulani, Liverpool na hata Chelsea na Tottenham ambao walitunyang'anya ufalme wa London kwa muda ila tumepambana kurejesha utawala wetu na tukikaa vizuri tutaumiliki mazima tena.

Arteta alipewa kazi ya kurejesha Arsenal katika kupambania ubingwa. So far ameweza kufika hapo. Sasa kazi yake ni kushinda mataji. Mtihani huu bado hatujui kama atauweza ila ameonyesha kuwa anauwezo huo.

Tukija kwa Ten Hag, kweli amepata matokeo na giants na msimu wa kwanza alishika nafasi ya 3. Hamis huwa anasema pamoja na kupata matokeo, aliita style ya Ten Hag 'pira janja janja' ambao hauwezi kuwasaidia mara nyingi na kwamba anavyoendelea nao, matokeo yatazidi kuwa mabaya kwake kadri ligi inavyomzoea.

Ukiangalia mwenendo wenu wa sasa, maneno ya Hamis yanaonekana kutimia.

Binafsi naamini baba ubaya ni bonge la kocha ila kuna vijimambo vidogo vidogo vikiclick ataleta usumumbufu mkubwa sana.
 
Hivi Khamisi kwa nini huwa unapenda Kuongopa!?
Arteta Yupi alikwenda "Toe to Toe" na Pep? Imemchukua Arteta Misimu 5 kupata Matokeo Mbele ya Pep katika EPL mechi takribani 8 kafungwa zote hana hata Suluhu.

Mechi Arteta anamfunga Pep hakuna hata Mchezaji Mmoja aliyeanza wakati anacheza Mechi ya kwanza na kufungwa 3-0. ETH ana mapungufu ila Msimu wa kwanza tu alipata Matokeo kwa Hao "Giants" wawili wa Ligi kwa kipindi hiki.
View attachment 2924969
Mechi hii ni Msimu wa 3 wa Arteta anacheza na "BACK 5" Mechi nzima ana Shambulizi 1 na hana ON-TARGET hata Moja! Wewe na Castr mlishakataaga mwalimu wenu hajawahi tumia Mabeki 5, sasa hapa alitumia wangapi?

Hoja yako kwamba wewe Ulisema ETH sio Mwalimu, Itazame Ajax tangu ameiacha hali yake na imeshaweka walimu wangapi, Hawezi kuwa Daraja la PEP ama Klopp, ila kwa Muundo sahihi toka Juu anaweza badili kitu UTD {Mpaka sas UTD ina wachezaji wa Tangu Fergiee} Arteta ameshasajili wachezaji zaidi ya 25.

UTD ilipofika Matatizo ni mengi sana kuanzia Juu. De Zerbi, TT, Poch ulikuwa unawajaza sifa wote humu ila Mpira uwanjani unasema tofauti. Tuna shida ya Kufunga tangu OGS, Tizama GD hapo msimu umeisha bado ilikuwa ni 0!
Umetumia muda gani kujificha na kupata data 😅😅😅

Am joking.

Ngoja nikuulize kitu.

City ya sasa inacheza na mabeki 5?

Kama hoja ya Ajax kua mbovu baada ya Erik kuondoka na unaitumia kuhalalisha kusema Erik ni kocha ndiyo tuseme Lampard ni kocha mzuri? Gerrard ni kocha mzuri?

Matatizo ya Ajax ni zaidi ya kocha. Kaangalie wachezaji wake first XI wangapi hawapo. Also jitahidi kuangalia ugumu wa ligi.
Pochettino was above average France ila EPL?

And yes nasema Arteta hajawahi kuchezesha mabeki 5.
 
Umetumia muda gani kujificha na kupata data

Am joking.

Ngoja nikuulize kitu.

City ya sasa inacheza na mabeki 5?

Kama hoja ya Ajax kua mbovu baada ya Erik kuondoka na unaitumia kuhalalisha kusema Erik ni kocha ndiyo tuseme Lampard ni kocha mzuri? Gerrard ni kocha mzuri?

Matatizo ya Ajax ni zaidi ya kocha. Kaangalie wachezaji wake first XI wangapi hawapo. Also jitahidi kuangalia ugumu wa ligi.
Pochettino was above average France ila EPL?

And yes nasema Arteta hajawahi kuchezesha mabeki 5.
Huyo jamaa muache abwabwaje ,

Hao ni fans wanaotembea na matokeo tu basi wanaamini kazi imeisha


Arteta msimu wake wa pili ,tayari alikuwa na playing style inayoeleweka

Round ya 2 naweka mechi hapa alikuwa tayari anatumia 4-3-3 ,na alipocheza vs Liverpool na Mancity alifungwa ndio

Lakin ni mechi ambazo hakukaa nyuma alibishana nao ,Moja wapo ile mancity pale Emirates anapelekewa moto ,Refa anakuja kutoa Red card

Vs Liverpool, Arsenal alifungwa 2-0 lakini alienda toe to toe na Liverpool .


Baada ya hizo mechi ,nikasema msimu ujao tunagombea ubingwa ,wanaokumbuka wanakumbuka vzr sana,na kweli ndio kilichotokea
 
Kenge nyie

Arsenal's goal difference is higher than Manchester United's points tally in the PL.
Snapinsta.app_431694949_1417725455783914_3102311172234361841_n_1080.jpg
 
Huyo jamaa muache abwabwaje ,

Hao ni fans wanaotembea na matokeo tu basi wanaamini kazi imeisha


Arteta msimu wake wa pili ,tayari alikuwa na playing style inayoeleweka

Round ya 2 naweka mechi hapa alikuwa tayari anatumia 4-3-3 ,na alipocheza vs Liverpool na Mancity alifungwa ndio

Lakin ni mechi ambazo hakukaa nyuma alibishana nao ,Moja wapo ile mancity pale Emirates anapelekewa moto ,Refa anakuja kutoa Red card

Vs Liverpool, Arsenal alifungwa 2-0 lakini alienda toe to toe na Liverpool .


Baada ya hizo mechi ,nikasema msimu ujao tunagombea ubingwa ,wanaokumbuka wanakumbuka vzr sana,na kweli ndio kilichotokea
Ulisema hivyo ndiyo. Sisi #artetaout na wale wachokozi akina Flano na wenzake waliona kama unatania.
 
Mbona mnalamisha mashabiki wa United wawe na mawazo sawa na huyo Hamis Matunguri ,?
Hapana siyo hivyo. Ni kweli alisema tutapaambania ubingwa na ikawa hivyo.

Alisema nyie na pira janja janja lenu mtapelekewa moto sana msimu huu na imekuwa hivyo.

Mkimsikia Hamis anasema mnaelekea kushuka daraja, msikilizeni na mchukuwe hatua fasta fasta.

Jamaa ndiye Nostradamus wenu. Ole wenu msisikilize anachowaambia.
 
Manchester United have identified Crystal Palace sporting director Dougie Freedman as their TOP target for head of recruitment! Palace braced for an official approach from United this week. #MUFC
@MiguelDelaney
View attachment 2925288
Mmenotice Erik ana trend ya kuchukua executives kutoka timu zingine ila badala yake hali hua mbaya zaidi?

Alilalamika juu ya majeruhi msimu uliopita na akasema mbona Arsenal haina majeruhi? Mkamchukua Daktari wa Arsenal, matokeo? CEO?

Same kwa wachezaji.
 
Erik 7 hag kila mechi anasema ameridhishwa na performance,Tena anasema ilikuwa kidogo tupate sare au kushinda kabisa


Akishinda anasema TUTAMFUNGA YEYOTE


Nyie mashabiki mnalalamika nini ?
 
City ya sasa inacheza na mabeki 5?

And yes nasema Arteta hajawahi kuchezesha mabeki 5

Arteta msimu wake wa pili ,tayari alikuwa na playing style inayoeleweka

Round ya 2 naweka mechi hapa alikuwa tayari anatumia 4-3-3 ,na alipocheza vs Liverpool na Mancity alifungwa ndio
Khamisi Mechi nimeweka hapo Juu ilikuwa ni Mechi ya 3 tu ya Msimu na ulikuwa ni Mwaka wa 3 Wa Arteta, Timu Imepanga mabeki 5 na mfumo ni 5~4~1. {Style ya Kucheza ndo Hiyo ama Ipi?}

Castr City hachezi na Mabeki 5 kwa kutetea Hoja ya Arteta, na kimakaratasi timu yake huwa inacheza 3~2~4~1, Huu mfumo ni rahisi kubadilika kuwa 4~4~2 ama 4~1~4~1 akiwa anazuia.

Ben White anaweza kuwa moja ya watu walofanya Mapinduzi kimya kimya kwenye Hili miaka ya Karibuni, Huu mfumo PEP amecopy Leeds ya Bielsa 3~3~1~3 Alichobadilisha PEP ni kwamba CITY yake Haifanyi Press kama ya Bielsa na Wachezaji wake wana Ubora mkubwa hawana Mwendo, Transition timu zinasumbua CITY mana wanakuwa wachache na ndo ilipelekea LEEDS Kufunga nyingi na kufungwa nyingi. {City ana Stones Badala ya Ben White na PEP aliamua Mchukua Philipps ila ameishia kuwa FLOP.
 
Khamisi Mechi nimeweka hapo Juu ilikuwa ni Mechi ya 3 tu ya Msimu na ulikuwa ni Mwaka wa 3 Wa Arteta, Timu Imepanga mabeki 5 na mfumo ni 5~4~1. {Style ya Kucheza ndo Hiyo ama Ipi?}

Castr City hachezi na Mabeki 5 kwa kutetea Hoja ya Arteta, na kimakaratasi timu yake huwa inacheza 3~2~4~1, Huu mfumo ni rahisi kubadilika kuwa 4~4~2 ama 4~1~4~1 akiwa anazuia.

Ben White anaweza kuwa moja ya watu walofanya Mapinduzi kimya kimya kwenye Hili miaka ya Karibuni, Huu mfumo PEP amecopy Leeds ya Bielsa 3~3~1~3 Alichobadilisha PEP ni kwamba CITY yake Haifanyi Press kama ya Bielsa na Wachezaji wake wana Ubora mkubwa hawana Mwendo, Transition timu zinasumbua CITY mana wanakuwa wachache na ndo ilipelekea LEEDS Kufunga nyingi na kufungwa nyingi. {City ana Stones Badala ya Ben White na PEP aliamua Mchukua Philipps ila ameishia kuwa FLOP.
Arsenal ilikuwa haitumii back 5 bhana ,Arteta alikuwa anatumia back 3 awali kabisa ,na alisema wazi wazi anataka kucheza 4-3-3 ya double 8 ila Hana hao wachezaji

Let’s add some context:

This was an example of an Arsenal lineup at that time

Arteta had spent a grand total of £75m, on Gabriel, Partey and Mari (£6m)

ETH has spent over £400m and the squad is going backwards.

20240305_175414.jpg
 
Khamisi Mechi nimeweka hapo Juu ilikuwa ni Mechi ya 3 tu ya Msimu na ulikuwa ni Mwaka wa 3 Wa Arteta, Timu Imepanga mabeki 5 na mfumo ni 5~4~1. {Style ya Kucheza ndo Hiyo ama Ipi?}

Castr City hachezi na Mabeki 5 kwa kutetea Hoja ya Arteta, na kimakaratasi timu yake huwa inacheza 3~2~4~1, Huu mfumo ni rahisi kubadilika kuwa 4~4~2 ama 4~1~4~1 akiwa anazuia.

Ben White anaweza kuwa moja ya watu walofanya Mapinduzi kimya kimya kwenye Hili miaka ya Karibuni, Huu mfumo PEP amecopy Leeds ya Bielsa 3~3~1~3 Alichobadilisha PEP ni kwamba CITY yake Haifanyi Press kama ya Bielsa na Wachezaji wake wana Ubora mkubwa hawana Mwendo, Transition timu zinasumbua CITY mana wanakuwa wachache na ndo ilipelekea LEEDS Kufunga nyingi na kufungwa nyingi. {City ana Stones Badala ya Ben White na PEP aliamua Mchukua Philipps ila ameishia kuwa FLOP.
No Bielsa alikua na 3 3 3 1

Pep aliiga kama ilivyo akapasuka

Kamodify kua hivyo.

Hesabu hapo City alikua na mabeki wangapi uwanjani.

Nionyeshe wachezaji wa Arteta waliokaa kama hivyo.

Screenshot_2024-03-05-21-54-49-124_com.mobilefootie.wc2010.jpg
 
Back
Top Bottom