Man united ball possession - 27%Manchester City had the same number of shots as Manchester United had possession in the entire Manchester Derby.View attachment 2924413
Mweenye mkataba wa chini hapo ni miaka miwiliNyi washkaji tafuteni mwalimu na wachezaji wa maana msimu ujao tuonyeshane makali. View attachment 2924194
Mimi naona jamaa ni mtaka matokeo na mara nyingi anafanikiwa kuyapata. Jamaa alikuwa bingwa na Ajax, au siyo? Jamaa last season aliipandisha man utd mdogo mdogo kimasihara mpaka nafasi ya 3. Kwa sasa anaonekana anaelekea kuikosa top 4 kwa sababu ligi imekuwa ngumu kwake ama ligi iko vile vile ila yeye na ugeni wake kutoka Ajax msimu wa kwanza kuna timu zilikuwa bado hazijamjulia na zikakosa matokeo kwake.Hao wanaongea ili kumfichia aibu ETH ,ukweli huu ni msimu wa 4 wa Mikel Arteta ,ametumia misimu miwili from the scratch kuirejesha Arsenal Kwa bajeti finyu,
Mikel hadi anafika msimu wa 2 tayari alishakuwa anajulikana anacheza mfumo gani na anataka nini ,
7hag msimu wa 2 huu haijulikani manjesta wanatumia style gan ,
Wanasema apewe wachezaji anaowataka ,wanasahau alishapewa anaowataka
Hojlund
Malacia
Martinez
Anthony Santos makudubela
Weghorst
Casemiro
Varane kama sijakosea alimkuta
Bado alikuta timu ina nyota wengi tu wazuri
Mikel Arteta hadi kufika msimu wa 2 round ya 2 tayari timu ilikuwa ina control mechi vzr tu ,hapa chinini mechi 13 za round ya 2 ,amefungwa na mancity na Liverpool tu ,Tena hizo mechi zote 2 alienda nao toe to toe
Na ndio ilikuwa sign kuonesha msimu unaofata Atagombea ubingwa ,
Sasa 7HAG msimu wa pili huu hakuna progress, manjesta wanapiga marktime
Binafsi ilinichukua mechi 5 tu kujua manjesta hawana kocha, mm sio muumini wa matokeo tu,
Man u vs Arsenal,man u anashinda 3-1 pale OT ,Ndio mechi nilihitimisha ETH ni kocha wa ovyo na Anthony wamepigwa
Hii mechi man u walishinda 3-1 na Anthony alifunga goli
ila Kwa Kuwa mashabiki maandazi wanatembea na matokeo tu wakaona ETH ni bonge la kocha na Anthony ni new Arjen Rooben
Hiyo mechi manjesta walitoka na matokeo tu lakin walizidiwa kila kitu na Arsenal ambayo Kiungo alikuwa Albert Sambi Lokonga,
Kuna mechi nyingi manjesta wamepata matokeo last season vs mid table teams kama Leicester,Southmpton ,ambao wapo championship,ila kwakuwa mashabiki wanaridhika na matokeo basi hawakujua Nini kinawajia mbelen
Sijawahi kushtuka na downfall hii ya ETH , niliona mwanzoni, na nilipingwa sana humu sababu ya upofu wa matokeo tu
Naamini ETH hata akipewa ile prime Barcelona icheze na Luton ,Bado atapaki basi na kusubiri counter attack
Kama kweli ETH Hana wachezaji wazuri why hata akicheza na timu za mkiani anapaki basi na kusubiri counter attack ? NI SWALI AMBALO jibu lake unapata ETH ni mid coach
Hivi unahitaji world class players u control mechi vs mid table teams?
Binafsi nikiona anacheza counter attack vs top 6 Wala sishangai ,but vs mid table teams hapo ndipo niliweka alama za ???? Kuhusu uwezo wake
INEOS hata wamletee wachezaji wazuri Bado ataendelea na kupaki basi hata Kwa Burney .
Angalia press zake anasema kabisa timu imecheza kama anavyotaka na amekuwa anasifu performance,kwahiyo sio kweli kwamba akiletewa wachezaji wengine atabadilika, ndio maana naamini akipewa hata ile prime Barcelona Bado atapaki basi vs Kina Luton, Burney na Sheffield View attachment 2924368
Zizzou mtamkataa, tuko hapa.Sir Jim amfungulie Ten Hag milango tu. Watuletee Zizzou pale unyumbuni tuanze kufurahia football.
Objective football.Huyu mpuuzi huwa anafundisha nini mazoezini??
View attachment 2917899
Kuna makosa ya kiufundi lakini pia kuna mapungufu makubwa sana ya wachezaji kwenye maeneo mengi muhimu
Naona Ten Hag anazidi kuzeeka yeye tu na wakati yeye ndio mdogo 😂Era must come to endView attachment 2924455
Mikel hadi anafika msimu wa 2 tayari alishakuwa anajulikana anacheza mfumo gani na anataka nini
Hivi Khamisi kwa nini huwa unapenda Kuongopa!?Mikel Arteta hadi kufika msimu wa 2 round ya 2 tayari timu ilikuwa ina control mechi vzr tu ,hapa chini![]()
ni mechi 13 za round ya 2 ,amefungwa na mancity na Liverpool tu ,Tena hizo mechi zote 2 alienda nao toe to toe![]()
Nadhani hamis anachosema ni Arteta alisajiliwa 20 Dec 2019, hivyo huu ni msimu wake wa 5 (19-20, 20-21, 21-22, 22-23, 23-24). Mimi napenda kusema ni msimu wa 4 kwa sababu wa kwanza alikuja December na huu bado haujaisha 😀.Hivi Khamisi kwa nini huwa unapenda Kuongopa!?
Arteta Yupi alikwenda "Toe to Toe" na Pep? Imemchukua Arteta Misimu 5 kupata Matokeo Mbele ya Pep katika EPL mechi takribani 8 kafungwa zote hana hata Suluhu.
Mechi Arteta anamfunga Pep hakuna hata Mchezaji Mmoja aliyeanza wakati anacheza Mechi ya kwanza na kufungwa 3-0. ETH ana mapungufu ila Msimu wa kwanza tu alipata Matokeo kwa Hao "Giants" wawili wa Ligi kwa kipindi hiki.
View attachment 2924969
Mechi hii ni Msimu wa 3 wa Arteta anacheza na "BACK 5" Mechi nzima ana Shambulizi 1 na hana ON-TARGET hata Moja! Wewe na Castr mlishakataaga mwalimu wenu hajawahi tumia Mabeki 5, sasa hapa alitumia wangapi?
Hoja yako kwamba wewe Ulisema ETH sio Mwalimu, Itazame Ajax tangu ameiacha hali yake na imeshaweka walimu wangapi, Hawezi kuwa Daraja la PEP ama Klopp, ila kwa Muundo sahihi toka Juu anaweza badili kitu UTD {Mpaka sas UTD ina wachezaji wa Tangu Fergiee} Arteta ameshasajili wachezaji zaidi ya 25.
UTD ilipofika Matatizo ni mengi sana kuanzia Juu. De Zerbi, TT, Poch ulikuwa unawajaza sifa wote humu ila Mpira uwanjani unasema tofauti. Tuna shida ya Kufunga tangu OGS, Tizama GD hapo msimu umeisha bado ilikuwa ni 0!
Umetumia muda gani kujificha na kupata data 😅😅😅Hivi Khamisi kwa nini huwa unapenda Kuongopa!?
Arteta Yupi alikwenda "Toe to Toe" na Pep? Imemchukua Arteta Misimu 5 kupata Matokeo Mbele ya Pep katika EPL mechi takribani 8 kafungwa zote hana hata Suluhu.
Mechi Arteta anamfunga Pep hakuna hata Mchezaji Mmoja aliyeanza wakati anacheza Mechi ya kwanza na kufungwa 3-0. ETH ana mapungufu ila Msimu wa kwanza tu alipata Matokeo kwa Hao "Giants" wawili wa Ligi kwa kipindi hiki.
View attachment 2924969
Mechi hii ni Msimu wa 3 wa Arteta anacheza na "BACK 5" Mechi nzima ana Shambulizi 1 na hana ON-TARGET hata Moja! Wewe na Castr mlishakataaga mwalimu wenu hajawahi tumia Mabeki 5, sasa hapa alitumia wangapi?
Hoja yako kwamba wewe Ulisema ETH sio Mwalimu, Itazame Ajax tangu ameiacha hali yake na imeshaweka walimu wangapi, Hawezi kuwa Daraja la PEP ama Klopp, ila kwa Muundo sahihi toka Juu anaweza badili kitu UTD {Mpaka sas UTD ina wachezaji wa Tangu Fergiee} Arteta ameshasajili wachezaji zaidi ya 25.
UTD ilipofika Matatizo ni mengi sana kuanzia Juu. De Zerbi, TT, Poch ulikuwa unawajaza sifa wote humu ila Mpira uwanjani unasema tofauti. Tuna shida ya Kufunga tangu OGS, Tizama GD hapo msimu umeisha bado ilikuwa ni 0!
Huyo jamaa muache abwabwaje ,Umetumia muda gani kujificha na kupata data
Am joking.
Ngoja nikuulize kitu.
City ya sasa inacheza na mabeki 5?
Kama hoja ya Ajax kua mbovu baada ya Erik kuondoka na unaitumia kuhalalisha kusema Erik ni kocha ndiyo tuseme Lampard ni kocha mzuri? Gerrard ni kocha mzuri?
Matatizo ya Ajax ni zaidi ya kocha. Kaangalie wachezaji wake first XI wangapi hawapo. Also jitahidi kuangalia ugumu wa ligi.
Pochettino was above average France ila EPL?
And yes nasema Arteta hajawahi kuchezesha mabeki 5.