Ulisema hivyo ndiyo. Sisi #artetaout na wale wachokozi akina Flano na wenzake waliona kama unatania.Huyo jamaa muache abwabwaje ,
Hao ni fans wanaotembea na matokeo tu basi wanaamini kazi imeisha
Arteta msimu wake wa pili ,tayari alikuwa na playing style inayoeleweka
Round ya 2 naweka mechi hapa alikuwa tayari anatumia 4-3-3 ,na alipocheza vs Liverpool na Mancity alifungwa ndio
Lakin ni mechi ambazo hakukaa nyuma alibishana nao ,Moja wapo ile mancity pale Emirates anapelekewa moto ,Refa anakuja kutoa Red card
Vs Liverpool, Arsenal alifungwa 2-0 lakini alienda toe to toe na Liverpool .
Baada ya hizo mechi ,nikasema msimu ujao tunagombea ubingwa ,wanaokumbuka wanakumbuka vzr sana,na kweli ndio kilichotokea
Nasema uhalisiaMbona mnalamisha mashabiki wa United wawe na mawazo sawa na huyo Hamis Matunguri ,?
Hapana siyo hivyo. Ni kweli alisema tutapaambania ubingwa na ikawa hivyo.Mbona mnalamisha mashabiki wa United wawe na mawazo sawa na huyo Hamis Matunguri ,?
Naikumbuka hii post ila sikureact kwakua United wasumbufu
Mmenotice Erik ana trend ya kuchukua executives kutoka timu zingine ila badala yake hali hua mbaya zaidi?Manchester United have identified Crystal Palace sporting director Dougie Freedman as their TOP target for head of recruitment! Palace braced for an official approach from United this week. #MUFC
@MiguelDelaney
View attachment 2925288
City ya sasa inacheza na mabeki 5?
And yes nasema Arteta hajawahi kuchezesha mabeki 5
Khamisi Mechi nimeweka hapo Juu ilikuwa ni Mechi ya 3 tu ya Msimu na ulikuwa ni Mwaka wa 3 Wa Arteta, Timu Imepanga mabeki 5 na mfumo ni 5~4~1. {Style ya Kucheza ndo Hiyo ama Ipi?}Arteta msimu wake wa pili ,tayari alikuwa na playing style inayoeleweka
Round ya 2 naweka mechi hapa alikuwa tayari anatumia 4-3-3 ,na alipocheza vs Liverpool na Mancity alifungwa ndio
Arsenal ilikuwa haitumii back 5 bhana ,Arteta alikuwa anatumia back 3 awali kabisa ,na alisema wazi wazi anataka kucheza 4-3-3 ya double 8 ila Hana hao wachezajiKhamisi Mechi nimeweka hapo Juu ilikuwa ni Mechi ya 3 tu ya Msimu na ulikuwa ni Mwaka wa 3 Wa Arteta, Timu Imepanga mabeki 5 na mfumo ni 5~4~1. {Style ya Kucheza ndo Hiyo ama Ipi?}
Castr City hachezi na Mabeki 5 kwa kutetea Hoja ya Arteta, na kimakaratasi timu yake huwa inacheza 3~2~4~1, Huu mfumo ni rahisi kubadilika kuwa 4~4~2 ama 4~1~4~1 akiwa anazuia.
Ben White anaweza kuwa moja ya watu walofanya Mapinduzi kimya kimya kwenye Hili miaka ya Karibuni, Huu mfumo PEP amecopy Leeds ya Bielsa 3~3~1~3 Alichobadilisha PEP ni kwamba CITY yake Haifanyi Press kama ya Bielsa na Wachezaji wake wana Ubora mkubwa hawana Mwendo, Transition timu zinasumbua CITY mana wanakuwa wachache na ndo ilipelekea LEEDS Kufunga nyingi na kufungwa nyingi. {City ana Stones Badala ya Ben White na PEP aliamua Mchukua Philipps ila ameishia kuwa FLOP.
rudi twitter ndio kunakufaa zaidi, huku muachie ally pippi.The way United fans gaslight people you’d never believe Ten Hag was 13 years older than Arteta, 1 years older than Pep and 2 years younger than Klopp.
rudi twitter ndio kunakufaa zaidi, huku muachie ally pippi.




No Bielsa alikua na 3 3 3 1Khamisi Mechi nimeweka hapo Juu ilikuwa ni Mechi ya 3 tu ya Msimu na ulikuwa ni Mwaka wa 3 Wa Arteta, Timu Imepanga mabeki 5 na mfumo ni 5~4~1. {Style ya Kucheza ndo Hiyo ama Ipi?}
Castr City hachezi na Mabeki 5 kwa kutetea Hoja ya Arteta, na kimakaratasi timu yake huwa inacheza 3~2~4~1, Huu mfumo ni rahisi kubadilika kuwa 4~4~2 ama 4~1~4~1 akiwa anazuia.
Ben White anaweza kuwa moja ya watu walofanya Mapinduzi kimya kimya kwenye Hili miaka ya Karibuni, Huu mfumo PEP amecopy Leeds ya Bielsa 3~3~1~3 Alichobadilisha PEP ni kwamba CITY yake Haifanyi Press kama ya Bielsa na Wachezaji wake wana Ubora mkubwa hawana Mwendo, Transition timu zinasumbua CITY mana wanakuwa wachache na ndo ilipelekea LEEDS Kufunga nyingi na kufungwa nyingi. {City ana Stones Badala ya Ben White na PEP aliamua Mchukua Philipps ila ameishia kuwa FLOP.
Sema nafurahi sana nikiona Utd fans wanateseka na team yao, they deserve every inch of the struggle they're going through.


Masingeli banaaa sometimes unazi wako hua unakuponza sana halafu mwisho wa msimu wewe ndie unapitia kipindi kigumu kuliko shabiki yoyote wa soka humu jukwaani.


Napenda tu mteseke ,napenda ETH apewe miaka mitano zaidiMasingeli banaaa sometimes unazi wako hua unakuponza sana halafu mwisho wa msimu wewe ndie unapitia kipindi kigumu kuliko shabiki yoyote wa soka humu jukwaani.
Wakati unacheka na kufurahia Utd fans wanavyoteseka na timu yao msikilize Arsenyau mwenzio kuna muda akili hua zinamkaa sawa na kuona hali halisi ya mambo inavyokua mwisho wa msimuView attachment 2925791
Napenda tu mteseke ,napenda ETH apewe miaka mitano zaidiMasingeli banaaa sometimes unazi wako hua unakuponza sana halafu mwisho wa msimu wewe ndie unapitia kipindi kigumu kuliko shabiki yoyote wa soka humu jukwaani.
Wakati unacheka na kufurahia Utd fans wanavyoteseka na timu yao msikilize Arsenyau mwenzio kuna muda akili hua zinamkaa sawa na kuona hali halisi ya mambo inavyokua mwisho wa msimuView attachment 2925791