Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kenge nyie

Arsenal's goal difference is higher than Manchester United's points tally in the PL.
Snapinsta.app_431694949_1417725455783914_3102311172234361841_n_1080.jpg
 
Huyo jamaa muache abwabwaje ,

Hao ni fans wanaotembea na matokeo tu basi wanaamini kazi imeisha


Arteta msimu wake wa pili ,tayari alikuwa na playing style inayoeleweka

Round ya 2 naweka mechi hapa alikuwa tayari anatumia 4-3-3 ,na alipocheza vs Liverpool na Mancity alifungwa ndio

Lakin ni mechi ambazo hakukaa nyuma alibishana nao ,Moja wapo ile mancity pale Emirates anapelekewa moto ,Refa anakuja kutoa Red card

Vs Liverpool, Arsenal alifungwa 2-0 lakini alienda toe to toe na Liverpool .


Baada ya hizo mechi ,nikasema msimu ujao tunagombea ubingwa ,wanaokumbuka wanakumbuka vzr sana,na kweli ndio kilichotokea
Ulisema hivyo ndiyo. Sisi #artetaout na wale wachokozi akina Flano na wenzake waliona kama unatania.
 
Mbona mnalamisha mashabiki wa United wawe na mawazo sawa na huyo Hamis Matunguri ,?
Hapana siyo hivyo. Ni kweli alisema tutapaambania ubingwa na ikawa hivyo.

Alisema nyie na pira janja janja lenu mtapelekewa moto sana msimu huu na imekuwa hivyo.

Mkimsikia Hamis anasema mnaelekea kushuka daraja, msikilizeni na mchukuwe hatua fasta fasta.

Jamaa ndiye Nostradamus wenu. Ole wenu msisikilize anachowaambia.
 
Manchester United have identified Crystal Palace sporting director Dougie Freedman as their TOP target for head of recruitment! Palace braced for an official approach from United this week. #MUFC
@MiguelDelaney
View attachment 2925288
Mmenotice Erik ana trend ya kuchukua executives kutoka timu zingine ila badala yake hali hua mbaya zaidi?

Alilalamika juu ya majeruhi msimu uliopita na akasema mbona Arsenal haina majeruhi? Mkamchukua Daktari wa Arsenal, matokeo? CEO?

Same kwa wachezaji.
 
Erik 7 hag kila mechi anasema ameridhishwa na performance,Tena anasema ilikuwa kidogo tupate sare au kushinda kabisa


Akishinda anasema TUTAMFUNGA YEYOTE


Nyie mashabiki mnalalamika nini ?
 
City ya sasa inacheza na mabeki 5?

And yes nasema Arteta hajawahi kuchezesha mabeki 5

Arteta msimu wake wa pili ,tayari alikuwa na playing style inayoeleweka

Round ya 2 naweka mechi hapa alikuwa tayari anatumia 4-3-3 ,na alipocheza vs Liverpool na Mancity alifungwa ndio
Khamisi Mechi nimeweka hapo Juu ilikuwa ni Mechi ya 3 tu ya Msimu na ulikuwa ni Mwaka wa 3 Wa Arteta, Timu Imepanga mabeki 5 na mfumo ni 5~4~1. {Style ya Kucheza ndo Hiyo ama Ipi?}

Castr City hachezi na Mabeki 5 kwa kutetea Hoja ya Arteta, na kimakaratasi timu yake huwa inacheza 3~2~4~1, Huu mfumo ni rahisi kubadilika kuwa 4~4~2 ama 4~1~4~1 akiwa anazuia.

Ben White anaweza kuwa moja ya watu walofanya Mapinduzi kimya kimya kwenye Hili miaka ya Karibuni, Huu mfumo PEP amecopy Leeds ya Bielsa 3~3~1~3 Alichobadilisha PEP ni kwamba CITY yake Haifanyi Press kama ya Bielsa na Wachezaji wake wana Ubora mkubwa hawana Mwendo, Transition timu zinasumbua CITY mana wanakuwa wachache na ndo ilipelekea LEEDS Kufunga nyingi na kufungwa nyingi. {City ana Stones Badala ya Ben White na PEP aliamua Mchukua Philipps ila ameishia kuwa FLOP.
 
Khamisi Mechi nimeweka hapo Juu ilikuwa ni Mechi ya 3 tu ya Msimu na ulikuwa ni Mwaka wa 3 Wa Arteta, Timu Imepanga mabeki 5 na mfumo ni 5~4~1. {Style ya Kucheza ndo Hiyo ama Ipi?}

Castr City hachezi na Mabeki 5 kwa kutetea Hoja ya Arteta, na kimakaratasi timu yake huwa inacheza 3~2~4~1, Huu mfumo ni rahisi kubadilika kuwa 4~4~2 ama 4~1~4~1 akiwa anazuia.

Ben White anaweza kuwa moja ya watu walofanya Mapinduzi kimya kimya kwenye Hili miaka ya Karibuni, Huu mfumo PEP amecopy Leeds ya Bielsa 3~3~1~3 Alichobadilisha PEP ni kwamba CITY yake Haifanyi Press kama ya Bielsa na Wachezaji wake wana Ubora mkubwa hawana Mwendo, Transition timu zinasumbua CITY mana wanakuwa wachache na ndo ilipelekea LEEDS Kufunga nyingi na kufungwa nyingi. {City ana Stones Badala ya Ben White na PEP aliamua Mchukua Philipps ila ameishia kuwa FLOP.
Arsenal ilikuwa haitumii back 5 bhana ,Arteta alikuwa anatumia back 3 awali kabisa ,na alisema wazi wazi anataka kucheza 4-3-3 ya double 8 ila Hana hao wachezaji

Let’s add some context:

This was an example of an Arsenal lineup at that time

Arteta had spent a grand total of £75m, on Gabriel, Partey and Mari (£6m)

ETH has spent over £400m and the squad is going backwards.

20240305_175414.jpg
 
Khamisi Mechi nimeweka hapo Juu ilikuwa ni Mechi ya 3 tu ya Msimu na ulikuwa ni Mwaka wa 3 Wa Arteta, Timu Imepanga mabeki 5 na mfumo ni 5~4~1. {Style ya Kucheza ndo Hiyo ama Ipi?}

Castr City hachezi na Mabeki 5 kwa kutetea Hoja ya Arteta, na kimakaratasi timu yake huwa inacheza 3~2~4~1, Huu mfumo ni rahisi kubadilika kuwa 4~4~2 ama 4~1~4~1 akiwa anazuia.

Ben White anaweza kuwa moja ya watu walofanya Mapinduzi kimya kimya kwenye Hili miaka ya Karibuni, Huu mfumo PEP amecopy Leeds ya Bielsa 3~3~1~3 Alichobadilisha PEP ni kwamba CITY yake Haifanyi Press kama ya Bielsa na Wachezaji wake wana Ubora mkubwa hawana Mwendo, Transition timu zinasumbua CITY mana wanakuwa wachache na ndo ilipelekea LEEDS Kufunga nyingi na kufungwa nyingi. {City ana Stones Badala ya Ben White na PEP aliamua Mchukua Philipps ila ameishia kuwa FLOP.
No Bielsa alikua na 3 3 3 1

Pep aliiga kama ilivyo akapasuka

Kamodify kua hivyo.

Hesabu hapo City alikua na mabeki wangapi uwanjani.

Nionyeshe wachezaji wa Arteta waliokaa kama hivyo.

Screenshot_2024-03-05-21-54-49-124_com.mobilefootie.wc2010.jpg
 
Sema nafurahi sana nikiona Utd fans wanateseka na team yao, they deserve every inch of the struggle they're going through.
Masingeli banaaa sometimes unazi wako hua unakuponza sana halafu mwisho wa msimu wewe ndie unapitia kipindi kigumu kuliko shabiki yoyote wa soka humu jukwaani.
Wakati unacheka na kufurahia Utd fans wanavyoteseka na timu yao msikilize Arsenyau mwenzio kuna muda akili hua zinamkaa sawa na kuona hali halisi ya mambo inavyokua mwisho wa msimu
1708323319479.jpg
 
Masingeli banaaa sometimes unazi wako hua unakuponza sana halafu mwisho wa msimu wewe ndie unapitia kipindi kigumu kuliko shabiki yoyote wa soka humu jukwaani.
Wakati unacheka na kufurahia Utd fans wanavyoteseka na timu yao msikilize Arsenyau mwenzio kuna muda akili hua zinamkaa sawa na kuona hali halisi ya mambo inavyokua mwisho wa msimuView attachment 2925791
Napenda tu mteseke ,napenda ETH apewe miaka mitano zaidi


Napenda kuona mkicheza hata na kina Luton mnapelekewa moto


Everton keshokutwa watawapelekea moto sana


Ni Raha kama kufika kileleni kuona manjesta wanapigwa msako huku pembeni na maji makubwa ya Kilimanjaro na popcorn
 
Masingeli banaaa sometimes unazi wako hua unakuponza sana halafu mwisho wa msimu wewe ndie unapitia kipindi kigumu kuliko shabiki yoyote wa soka humu jukwaani.
Wakati unacheka na kufurahia Utd fans wanavyoteseka na timu yao msikilize Arsenyau mwenzio kuna muda akili hua zinamkaa sawa na kuona hali halisi ya mambo inavyokua mwisho wa msimuView attachment 2925791
Napenda tu mteseke ,napenda ETH apewe miaka mitano zaidi


Napenda kuona mkicheza hata na kina Luton mnapelekewa moto


Everton keshokutwa watawapelekea moto sana


Ni Raha kama kufika kileleni kuona manjesta wanapigwa msako huku pembeni na maji makubwa ya Kilimanjaro na popcorn pemben
 
Back
Top Bottom