Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimekuelewa. Pia nimefanya kiutafiti changu mwenyewe kigogo ili kulinganisha usemacho na wengine wanasemaje (youtube 😃😃) na kuona mnafanana kimtazamo.

Key player wenu asiyekuwepo ambaye anawapa zaidi ya mbadala wake hapo naona ni Martinez. Sijui nimuweke na Mount pia ila hao wengine siwezi kuwahesabia kama kukosekana kwao kumewaharibia, huenda hata ndiyo wamesaidia 1😄😄.

Umezungumzia kiungo ya wazee na kweli statisitics zinasema Casemiro ndiye anaongoza kwa kuchengwa. Bruno yupo juu hapa pia. Nadhani mmeshinda 8/10 ya mechi zenu kama sikosei, hicho ndicho Ten Hag anachotaka.

Hii transition style yenu inatumia low defensive line na high attacking line, midfield ipo katikati na inaacha gap kati ya mid na attack na pia kati ya mid na attack na hizo spaces zinatumika na kila timu kuwaadhibu. Ila, mnaongoza, pamoja na Liverpool kwa kuhamisha mpira kutoka nyumbu hadi mbele na kupelekea kufunga magoli ya hivyo. Pass 5 kutoka kwa beki mpaka kwa striker.

Mkipata Defensive midfielder mmoja mzuri na box to box mmoja mzuri, au hata box to box wawili wazuri wenye pumzi, mbio na uwezo wa kukaba, mtakuwa mmetatua zaidi ya 70% ya tatizo.
Hii umechambua....👊🖐🙏
 
Nionyeshe mechi ambayo Arsenal kawaweka mabeki 5 kama mimi nilivyowaonyesha mabeki na mech
screencapture-fotmob-matches-manchester-city-vs-arsenal-2rhvvi-2024-03-05-10_38_27.png

Hapa ni PEP dhidi ya ARTETA 4 3 3 dhidi ya 5 4 1,
Nilijua tunapiga stori za Mpira ila kumbe unafanya kubishana, Kuna nilichokiandika kuangalia Unafahamu kitu husika ama umeamua tu UBISHI, umekuja na Jibu la kuonyesha Unabishana! {Bielsa na PEP wamepoteza Games zote za 3 CB's!!}
Kwa team hiyo, uwezekano ni mkubwa zaidi kukutana na 3-4-3 au 4-3-3 kuliko 5-4-1
screencapture-fotmob-matches-sheffield-united-vs-arsenal-2tp2sc-2024-03-07-19_18_35.png


HENRY hapa ni ARTETA dhidi ya CHRIS, 3~4~3 Dhidi ya 3~5~2.
Hakuna asiyefahamu kuhusiana na haya Masuala ya Mifumo! Hiki kinazungumzwa HENRY14 kilitokea baada ya kusemwa kwamba Msimu wa Pili tu ARTETA alikuwa ameshapata Mfumo wake wa kucheza. {Hapo juu Tierney na Cedric wana Ubora Upi kati ya Kushambulia ama kuzuia, Ili Pima Mwenyewe}

Leo Hii mfumo rasmi wa ARTETA ni 4~3~3 ila inakuwa na Miundo Mingi sana kuanzia Build Up! Kupata timu nzuri inahitaji Watu sahihi nyuma ya Pazia {Arteta OUT Mpaka Piers Morgan alikuwamo leo Hii ni hadithi tofauti}

Imetumika nguvu kubwa {Tuna safari ila sio ndefu, Leo Hii ARTETA akiondoka mna sehemu ya kuanzia, Sisi ngoja tufanye GALACTICO'S Ya Uongozi kwanza}
 
View attachment 2927319
Hapa ni PEP dhidi ya ARTETA 4 3 3 dhidi ya 5 4 1,
Nilijua tunapiga stori za Mpira ila kumbe unafanya kubishana, Kuna nilichokiandika kuangalia Unafahamu kitu husika ama umeamua tu UBISHI, umekuja na Jibu la kuonyesha Unabishana! {Bielsa na PEP wamepoteza Games zote za 3 CB's!!}

View attachment 2927405

HENRY hapa ni ARTETA dhidi ya CHRIS, 3~4~3 Dhidi ya 3~5~2.
Hakuna asiyefahamu kuhusiana na haya Masuala ya Mifumo! Hiki kinazungumzwa HENRY14 kilitokea baada ya kusemwa kwamba Msimu wa Pili tu ARTETA alikuwa ameshapata Mfumo wake wa kucheza. {Hapo juu Tierney na Cedric wana Ubora Upi kati ya Kushambulia ama kuzuia, Ili Pima Mwenyewe}

Leo Hii mfumo rasmi wa ARTETA ni 4~3~3 ila inakuwa na Miundo Mingi sana kuanzia Build Up! Kupata timu nzuri inahitaji Watu sahihi nyuma ya Pazia {Arteta OUT Mpaka Piers Morgan alikuwamo leo Hii ni hadithi tofauti}

Imetumika nguvu kubwa {Tuna safari ila sio ndefu, Leo Hii ARTETA akiondoka mna sehemu ya kuanzia, Sisi ngoja tufanye GALACTICO'S Ya Uongozi kwanza}
Hii game yeah Arsenal tulicheza 5 4 1.

My bad.

Ila huu haukua mfumo rasmi wa Arsenal.

Kitu Arteta alisema wakati anafika ni kwamba anatarget tucheze 4 3 3 ila hakuna watu sahihi. Time Arteta anasema hivyo Eddie Howe alishaswitch to 4 3 3 na watu walewale.

Arsenal tumeanza kua strong baada ya 4 2 3 1.

Games za Bielsa za 3 3 3 1 hazikumpa matokeo, same na Pep ( kama Pep alipata basi haizidi game 1)

Mimi simuoni kocha wenu ni mbovu kisa mfumo ni mbovu kwakua hawezi kutumia watu alionao. Wakina Mustafi chini ya Arteta walifanya Arsenal iconcede goli chache, na tumecheza sana back 3 ili kua compact kipindi hicho.
 
Mbona inagoma kujisajili na kulog in au mpaka mwanzo wa msimu?
Kwa wiki hii hawa ndiyo wachezaji wanaoongoza kununuliwa.
Bila kusahau mchezaji hupanda au kushuka thamani kulingana na anavyonunuliwa sana au kuuzwa sana.

Mfano: sasa hivi thamani ya Ronaldo ni £12.5m ila baada ya GW4 anaweza kupanda hadi £12.6m kwasababu ananunuliwa na watu wengi.View attachment 1930148
 
Interview ya Ole imetukumbusha tena recruitment department yetu ilivyo ya hovyo.

Imetukumbusha kile kile alichokieleza Van Gaal na Jose, natumai na Ten Hag atatueleza kile kile akiondoka.
UTD ina shida kubwa sana Katika Uongozi, Jaribu fikiria Rangnick alisainishwa NDA Wakati anaondoka UTD kuashiria hatakiwi sema chochote kuhusu UTD Hadharani, Rangnick alikuwa anafahamu shida ni mzoefu kwenye Masuala ya Uongozi wa Kimichezo, Ndiye aliyesema tunahitaji "Open Heart Surgery" akasema tunahitaji zaidi ya sajili 10 na alikuwa sahihi.

Ukisajili kundi lote hilo lazima uuze kundi la namna hiyo Pia, Mourinho akasema wakati wa kauli ile ya "Football Heritage" Wamtajie mchezaji wa UTD anaefanya vyema, Wengine hawachezi kabisa baada ya kutoka UTD, Hatuwezi hata Uza Magarasa!

Tizama CITY anao wangapi ARSENAL, CHELSEA, BARCA, BAYERN, et.al Tena anauza bila hata kuwaza na anapata Wabadala wako Poa tu. {Miaka ya Nyuma UTD tunauza Wachezaji BARCA, MADRID, leo hii kuna wachezaji pale hata Champioships hawatakiwi,

ETH siku zote tunasema hakwepi sehemu ya Lawama lakini kwa kuanzia Hatuna UONGOZI na Umekwamisha Mambo mengi sana kwa kuzingatia tu Upande wa Biashara.
 
Ni wale wale tena barobaro boys wanashuka tena leo kuonesha ngarambe safi kabisa vijana wa Sir Jim hawa leo Everton wataumia vibaya sana tena sana.
kosi letu ili hapa twende nalo.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha

My prediction

Manchester United 3 vs Everton 1
1709984168282.jpg
 
Ni wale wale tena barobaro boys wanashuka tena leo kuonesha ngarambe safi kabisa vijana wa Sir Jim hawa leo Everton wataumia vibaya sana tena sana.
kosi letu ili hapa twende nalo.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha

My prediction

Manchester United 3 vs Everton 1View attachment 2929371
Nasikia mpaka muda huu Everton wanashauriana waingize au wasiingize timu uwanjani, kweli nimeamini Man Utd leo wanahasira kama vile mbogo alietoka kujeruhiwa na simba.
Bwanyenye Sir Jim Ratcliffe ameawaambia kabisa viongozi wa FA kama Everton leo akipigwa chini ya goli 3 basi hizo points3 wapewe wao.
 
Back
Top Bottom