
Ten Hag akubali yaishe tu..
🤣🤣🤣Tulia wewe, kukandwa ni zamu kwa zamu, zamu yetu tayari imeshapita, inayofata ni zamu ya vijana wa Eddie Howe kuvuta masikio ya Arsenyau.Halafu kwa kutuma picha Sasa kwny majukwaa ya wenzao...wakiongozwa na Security guard Flano🤠🤠
mufc have conceded 435 shots in the Premier League this season. Only Sheffield United have conceded more.
Ze-dudu yupo wapiiiMANYUMBU mmeshikishwa ukuta mnadhani na Gunners itakuwa hivyo??tena walituletea utemi sana mechi ya kwanza hawa Newcastle,leo tunawanyoa vuzi kwa chupa Kenge hawaTulia wewe, kukandwa ni zamu kwa zamu, zamu yetu tayari imeshapita, inayofata ni zamu ya vijana wa Eddie Howe kuvuta masikio ya Arsenyau.
Timu haina mbinu hiyo.Pamoja na wachezaji kucheza vibaya
Nimeanza kupata wasiwasi sana dhidi ya mbinu za mwalimu wetu timu inafungika kirahisi sana
😀😀Binadamu tumeumbwa kusahau. TUNAKUMBUSHANA TU JAMANI
FT: MUFC 1-2 FULHAM
FT: ARSENAL 4-1 NEWCASTLE UTD
😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂
duh GD ya 0.......sijui imefikaje hapo. hiyo nafasi haiwafai hata kidogoNaskia nyumbu na nyie mnagombania ubingwa
View attachment 2915398
🤣🤣🤣 eti lawalawaally pipi leo umelambwa na watoto wa london kumbe pipi yenyewe lawalawa
Yaani Hawa akishaumia Martinez tu...tyri kinawaka...bdo tunafanya Dua Rashidi Makame naye aende hospitali hata mwezi mmoja tuone hzi mbio zao zitaishia wapi🤠🤠...Ubaya Ubaya tuWale wenye GD ya 0 tukutane hapa tujuane
Nawaona wakirudi GD ya -5 na kuachia nafasi ya 6 kwa wanaojielewa. Nitafurahi huyu nyumbu akishika angalau nafasi ya 13.Yaani Hawa akishaumia Martinez tu...tyri kinawaka...bdo tunafanya Dua Rashidi Makame naye aende hospitali hata mwezi mmoja tuone hzi mbio zao zitaishia wapi🤠🤠...Ubaya Ubaya tu