Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kipara ngoto
IMG-20231213-WA0000.jpg
 
Tuendelee kusubiri??

Jim Ratcliffe akiiweza Manchester United basi ajengewe Li-sanamu Li-kubwa..

Ten Hag akubali yaishe tu..

Pamoja na majeruhi
Pamoja na uwezo mdogo wa wachezaji,,
Yeye pia uwezo ni mdogo..
Yule Jamaa aliesema msimu uliopita kawekwa mjini na Rashford na Casemiro muda ukifika atapewa heshima yake..
 
Halafu kwa kutuma picha Sasa kwny majukwaa ya wenzao...wakiongozwa na Security guard Flano🤠🤠
🤣🤣🤣Tulia wewe, kukandwa ni zamu kwa zamu, zamu yetu tayari imeshapita, inayofata ni zamu ya vijana wa Eddie Howe kuvuta masikio ya Arsenyau.
 
Ukweli ni kuwa hivi vijechezaji

Amad
Forson
Pestri

Ni vichezaji level ya championship sioni vikileta mchango wowote ktk timu viuzwe hata kwa hasara

Antony
Lindolf
Maguire
Eriksen
Ambrabat
Martial
Rashford
McTonmy

Hawa ni kuondolewa hata kwa hasara kwenye timu

Onana
Bruno
Hojlund
Dalot
Casemiro
Gernacho
Maino
Butcher


Rashford on/off
Wavumiliwe ivyo ivyo

Maino naye ameanza kukabia macho,anakimbia kifaza hana hata msimu mmoja
 
Tulia wewe, kukandwa ni zamu kwa zamu, zamu yetu tayari imeshapita, inayofata ni zamu ya vijana wa Eddie Howe kuvuta masikio ya Arsenyau.
MANYUMBU mmeshikishwa ukuta mnadhani na Gunners itakuwa hivyo??tena walituletea utemi sana mechi ya kwanza hawa Newcastle,leo tunawanyoa vuzi kwa chupa Kenge hawa
 
Binadamu tumeumbwa kusahau. TUNAKUMBUSHANA TU JAMANI

FT: MUFC 1-2 FULHAM

FT: ARSENAL 4-1 NEWCASTLE UTD

😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂
😀😀
msifanye hivyo.msifanye hivyo,mtawafanya wahame hili jukwaa

kuna mmoja alijifanya kuhamia nyukesto,naye tumemfikia

tunamsubiri ahame tena
 
Back
Top Bottom