Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

VIJANA wakijiandaa na mtanange wa kesho

5C9F159777424575BBD71D5249001709.ashx

918A7C90656848018CE17BA3F22A42DB.ashx

01AB3C2E865A40269A438BE8E490FBCA.ashx

28B2E9A70F40479F9F25658B67885D3A.ashx

5695DBCA8B50470AA6C18510C051D7ED.ashx
 
Wasitake kutuzengua. Man United walikuwa wanafukuza makocha kama timu nyingine tu kabla ya Ferguson. Kuwa wavumilivu wa makocha ni rahisi kusema kama timu ina mafanikio. Huyo SAF mwenyewe alivumiliwa mwanzoni mwa tenure yake Old Trafford kwa sababu alionyesha dalili ya mafanikio (he finished second on his first full season) alionyesha kuibadilisha timu for the better kwa kuondoa wachezaji wazee na walevi na unprofessional na akaleta overall professionalism na wachezaji vijana. Kuvumilia makocha ni sawa lakini kila timu ina bottom line yake. At United the bottom line is that the style of football shall not be compremised, hata Ferguson mwenyewe alishawahi kusema kocha atakayemfuata lazima aendeleze traditions ya kucheza mpira wakuvitia na mashambulizi. Sasa can they honestly say kwamba huyu Moyes wao ameendeleza hiyo tradition? Hata kama wachezaji alionao sio anaowataka mbona mwenzake Martinez ameweza kuwafanya Everton kucheza mpira wa kuvutia zaidi na wachezaji aliokua nao yeye mwaka jana?

Kitu kingine ambacho kinaniudhi mimi ni Moyes kujaribu kutulazimisha mashabiki tuamini kwamba wachezaji tulionao ni vilaza. Jamani timu hii hii iliyoipelekesha Madrid mwaka jana watu wakawa wanazungumzia future nzuri tuliyonayo na vijana wetu leo hii wote ni vilaza? Kwenye timu ya mwaka jana iliocheza na Madrid labda unaweza kusema Vidic ndo kazeeka (bado ni mdogo kwa John Terry kumbuka) leo hii galfa ni wabovu? Kwahiyo ndani ya mwaka mmoja wachezaji wa Everton wamekuwa wazuri zaidi ya United afu waUnited wamekuwa vilaza zaidi ya Everton? Kwa mfano jana alivyosema kuwa eti hata Ferguson menyewe asingeweza kuipata top-four na timu hii, kama so matusi hayo na kutuona sisi mataahira ni nini?

Huyu jamaa kanidangaya sana msimu mzima. Tunafungwa mechi moja au mbili muhimu mfululizo afu tunashinda moja au mbili against timu za kawaida afu eti ohh "we are turning a corner" ikija timu kamili tunachapwa tena! Akawandangaye hao hao wanaokubali kuendelea kudanganywa as for me Moyes OUT! Unless he wins the Champions League. Yaani kweli sisi tumekuwa watu wakushangilia ushindi dhidi ya West Ham na Aston Villa kama vile ndo tumeshinda Premiership?

Anyways I'm getting to worked up now, ngoja Bayern waje waprove point yangu.


Nakubaliana nawe 100% mkuu.
 
Inauma sana kuona huyu Mono bado yuko OT, bahati mbaya ushabiki wangu hauna maamuzi vinginevyo ningemuanzishia Petition ya kumtimua!
 
Jamani kesho naweza nikawa bize na mambo mengine... ngoja niwape POLE kabisa kwa kipondo mtakachokipata toka kwa vijana wa Guardiola!
 
.....Dahhhh, hahahahaha....hivi kumbe ni kweli #HATUSHIKIKI imeondolewa kwenye title ya thread hii?
hahahahahahahaaaaaaa.......Hii ni historia nyingine aliyoiweka David Moyes wallah,....hehhehehh...

Cc; Wacha1, pierre. fm, Wandugu Masanja, Balantanda, Mentor, et al....
Next? #MoyesOut?
 
Last edited by a moderator:
hahahah..Ukiwa na MAHABA na team, sometimes ni kitu kibaya sana, Yaani kuna mashabiki humu, Wanawaza kubeba ubingwa wa UCL this season, Eti the only way moyes anaweza akabak OT ni kuwin the Champions League....!!!!! seriously??????
 
Kila la heri Man United hii leo kwenye zoezi la kuitafuta nafasi kwenda kunyakua kombe la Uef,chini ya jua kila kitu kinawezekana tu ni hao hao Bavarians tuliowahi kuwatoa kwao kwa mshangao mkubwa wakiwa wanaongoza mbili bila!
Go go goo gooo goooo
Man United, nafasi kubwa wanayo kutwaa kombe hili pia ni wawakilishi pekee wenye historia ya maajabu.
 
Kwakuwa leo ni siku kuu ya wajinga duniani,Manure mkifungwa basi mjue Bayern walikuwa wanawatania tu na wala si kweli!

"Nlikuwepo":bolt:
 
Kwakuwa leo ni siku kuu ya wajinga duniani,Manure mkifungwa basi mjue Bayern walikuwa wanawatania tu na wala si kweli!

"Nlikuwepo":bolt:

Anaepoteza nguvu na mda wake kuhusisha tukio lolote na siku ya wajinga nae ni mjinga
 
wakuu mida yetu leo sio kama ya siku zote, leo game inawahi ni saa nne kasorobo(2145hrs) na sio tano kasorobo kama ilivyozoeleka.
 
...soon tutawaletea kikosi kamili kitakachoiua munchen pale old traford(theatre of dreams)
..possibly kule mbele, kagawa kushoto.rooney na mata katikati, valencia kulia leo mbona watalia hapo mtoto Januzaaaj hajaingia bado.
 
wakuu mida yetu leo sio kama ya siku zote, leo game inawahi ni saa nne kasorobo(2145hrs) na sio tano kasorobo kama ilivyozoeleka.

Mkuu nashukuru kwa taarifa...sikufahamu hili.
 
Man utd nawapa pole mapema leo mtafungwa tano bila yani man utd 0-5 bayern . Man hii ya sasa kumfunga bayern ya sasa ni sawa na kujifariji chadema watachukua nchi
 
Man utd nawapa pole mapema leo mtafungwa tano bila yani man utd 0-5 bayern . Man hii ya sasa kumfunga bayern ya sasa ni sawa na kujifariji chadema watachukua nchi

Bayern lazima apakatwe Leo.. Kwa mlio kariri ni kwamba not everyday is Sunday..! Naona kama kuna hat trick ya Rooney..!
 
Back
Top Bottom