Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
niisikia fans wa ot waliwadisappoint kidogo wnenzao (huu ni mtizamo wangu)Hukusikia ilivyokuwa booed hiyo banner?!?
niisikia fans wa ot waliwadisappoint kidogo wnenzao (huu ni mtizamo wangu)Hukusikia ilivyokuwa booed hiyo banner?!?
niisikia fans wa ot waliwadisappoint kidogo wnenzao (huu ni mtizamo wangu)
thedon timu ya MU ndio timu pekee yenye uvumilivu kwa kocha hasa anaposhindwa kupata ushindi mfululizo. Nadhani Moyes kavunja rekodi nyingi sana pale OT kwa kupoteza.
Leo wameshinda kwa jitihada binafsi za wachezaji bila kufuata mfumo wa DM.
mi nadhani ile timu inayoenda mwaka wa tisa sasa bila hata kikombe cha maji ya kunywa iko na kocha huyohuyo muda wote wala hawafikirii kumtimua.
Sina la kusema- Arsenal leo hatukuwa na bahati- tuonane mwaka Ujao!
hongera sana jirani naona bavarians washapata salamu..
Yaani HUMILIATION mtakayoipata kwa BAYERN ile ya BARCELONA itakuwa cha Mtoto...yaani Midfield battle ya the likes of Fellain na Carrick Vs Martnez, Bastian au Alcantara (New Xavi)...SIPATI PICHA aiseee..anyways all the best watani zetu..
thedon timu ya MU ndio timu pekee yenye uvumilivu kwa kocha hasa anaposhindwa kupata ushindi mfululizo. Nadhani Moyes kavunja rekodi nyingi sana pale OT kwa kupoteza.
Leo wameshinda kwa jitihada binafsi za wachezaji bila kufuata mfumo wa DM.
Hawa match-going fans ndo wanampa Moyes jeuri ya kuona kila kitu ni sawa tu. Hata kama mtu hasupport hilo bango basi wangeonyesha kwa njia nyingine kwamba Moyes hakubaliki. Unless kama match-going fans wanaona kila kitu ni sawa na wanamtaka Moyes abaki meaning sisi wengine wote tuliobaki tunamsingizia. Kwa sasa nakadiria 75% ya mashabiki hawamtaki Moyes na nilitegema mashabiki wanaoenda OT wangesaidia kuwajulisha wahusika hivyo, maana wanavyozidi kushangilia na kuiimbia timu yule zezeta anachukulia kuwa mashabiki wanamsupport. Juzi tu hapa katoka kusema kuwa "the support for me is great and I get it from everywhere". It feel as if he is under some sort of illusion.
Another element inawezekana kuwa influence ya Furgerson ndo inambakisha jamaa. Glazers sio watu wa mpira naona kama vile wameamua kumiachia SAF maamuzi yote ya mpira. Ingekuwa Abromavich na jinsi alivyo mshabiki wa mpira huyu mjinga angekuwa katoka muda mrefu sana.
Kama nilivyosema awali MOYES OUT!*
(*unless he wins the Champions League)
Binafsi mi ni #teammoyesout hata akishinda Champions League mbona Chelsea walibeba ndoo na bado wakatimua Kocha....
Leo hii imefikia hatua mashabiki wa MUFC tunaomba timu ifungwe mfululizo ili Daudi afukuzwe mapema...
The only way we can take part kwny champions league 2014/2015 ni by winning champions league hii ya msimu huu..
Kwahiyo mi naomba tutandikwe tu EPL ila kwny CL wachezaji wajiongeze tubebe ndoo ili kocha wa maana atayekuja kumreplace Moyes akute tunashiriki CL