tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Wakuu naona Manara hajakatia tamaa bado suala la ndoa, amedai watoto wazuri wanazaliwa kila siku anaachaje kuoa kwa mfano
Watoto wazuri wanaumbwa kwa ajili ya matoleo ya kila vizazi.Wakuu naona Manara hajakatia tamaa bado suala la ndoa, amedai watoto wazuri wanazaliwa kila siku anaachaje kuoa kwa mfano
View attachment 3504339
Umemjibu vizuri mtu mzima hovyo, watoto wazaliwe leo kwaajili yake?Watoto wazuri wanaumbwa kwa ajili ya matoleo ya kila vizazi.
Haiwezekani mtoto mzuri azaliwe leo uje kumuoa wewe Manara!
Tafuta wa makamo yako atakutuliza, lakini kuendelea kuwaza na kuparamia vitoto size ya mjukuu wako, vitaendelea kukudhalilisha bila kujali una ukwasi kiasi gani.
Naona hauwezi kujifunza kutokana na makosa.