Manara limemkuta jambo

Manara limemkuta jambo

Kabisa....Ni kama ana shida ambayo hata yeye mwenyewe haijui...
Huwa nashangaa hata watu wa karibu yake wanaishi naye vipi...
Kwanza ule mdomo....kuongea ongea ovyo Mwanaume na umri ule hapana aisee..
Wanampaga bichwaa....hawamwambii ukweli
 
UNaogopa ban!? Wewe mgeni humu

Wewe kinyago huna tusi jipya la kutukana la kunikimbiza jukwaani. Huna.
Nyie mabwabwa shobo zikiwapanda Huwa mnajua kila mtu yupo interested na uchafu wenu
 
Miaka 50 na Mwijaku 40 hawajielewi kabisa .Mtu angetulia hata kuona watoto wake wakubwa na wanafuatilia mitandao ila anafanya mambo ya hovyo kila siku ..Manara ana matatizo ni vile watu waungwana anaweza kusingizia ile hali yake ..Yule ni mtu mzima hata Diamond utoto unapungua mpaka miaka 50 atakuwa safi ,Manara mkubwa ila hajielwi yaani ..Hiyo dini kasoma bure , eti wanampa nafasi na uongozi huko misikitini .

Na Mwijaku hao ni waislamu wanafiki .
Kwenye swala la dini ya kiislam achana na Mwijaku kabisa. Jamaa amekariri quran Kwa ustadi na kuimba qaswida balaa.

Nyau de adriz
 
Mwanamke mkipata mtoto fahamu kuwa atakaa mbali na wewe for a while Ila she will back to you
Aaahhhh ahahahahah mkuu, kuna dalili naziona na kuangukiwa na kila kadhaa za upendo sio muda ,ni mimi tu nazuia hii mvua ya makopa isinishukie kwasasa
Watoto ni bond kubwa Sana Mkuu huto Manara hao wake zake wanamchuchua kwakuwa hakuzaa nao
Ahahahaha.
DOkta umejua kuirudisha koment yako kwenye mada husika usi compromize uzi wa watu 🤣.
Big up!!
 
Back
Top Bottom