Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,674
- 39,090
Mimi nilikuwa najiuliza huyu baba kwa nini kila Mwanamke anaye achana nae anamuacha kwa dharau mno kama sio mtu anaye jishuhulisha vizuri kitandani leo nimepata jawabu kifupi,Mzee kitandani hayupo vizuri 😁Tena mnoo, jitu kutwaa kusumbua wachezaji wamkazee, mara walifokoe na Dole kunako ndo aamshe mlingoti.
Kabwiliiii popote ulipoo njoo uone mambo yameanza kujipaa, nlisema mie iko siku watalipia. Bado yule shost mlemavu wa mashavu. 😂😂😂😂😂