Manara limemkuta jambo

Manara limemkuta jambo

Mi nilishasema huyu jamaa hafai kuwa rafiki, Manara ni mtu flan mnafiki sana akiwa rafiki yako leo kesho mkipishana nae kidogo ujue atakushambulia kupitia mambo yako binafsi, hayo alimfanyia hata Mo dewj baada ya kufukuzwa simba alimsimanga sana Mo sasa ukiona mtu anatabia hizo kaa nae mbali

Ndo maana kwenye hili namkubali sana Hersi , Hersi amekataa kabisa ushkaji na Manara mapema tu maana anajua ni mnafki, Manara anajitahidi kujisogeza kwa Hersi ila kadri anavyojisogeza ndo Hersi anazidi kukaa nae mbali.

Kina Gsm wanaomkumbatia kaanza kuwavua nguo.
Ukiwa na mdomo mdomo kama manara maisha yako yataishia pabaya sana kila siku utakua mtu wa kuomba radhi na watu hawatakuamini tena.
 
Hatuwezi kutoka kwenye focus kizembe hivi.

Padre kushambuliwa ni moja ya jaribio baya ambalo wasiojulikana wamelifanya.

Circumstances zake zitakuwa ni kubwa sana.

Na haya majaribio ya kitoto ya kuhamisha mjadala kutaka kuwatoa watu kwenye focus wasiweze kujadili huu ukatili hayawezi kuteka attention ya watu rational wanaojua thamani ya uhai wa mtu.
 
Mi nilishasema huyu jamaa hafai kuwa rafiki, Manara ni mtu flan mnafiki sana akiwa rafiki yako leo kesho mkipishana nae kidogo ujue atakushambulia kupitia mambo yako binafsi, hayo alimfanyia hata Mo dewj baada ya kufukuzwa simba alimsimanga sana Mo sasa ukiona mtu anatabia hizo kaa nae mbali

Ndo maana kwenye hili namkubali sana Hersi , Hersi amekataa kabisa ushkaji na Manara mapema tu maana anajua ni mnafki, Manara anajitahidi kujisogeza kwa Hersi ila kadri anavyojisogeza ndo Hersi anazidi kukaa nae mbali.

Kina Gsm wanaomkumbatia kaanza kuwavua nguo.
Ukiwa na mdomo mdomo kama manara maisha yako yataishia pabaya sana kila siku utakua mtu wa kuomba radhi na watu hawatakuamini tena.
Kashaomba radhi tayari ndo ujue ni mnafiki..muongo..mchonganishi na msengenyaji...
Yani huyu sio wa kumkumbatia..
Na wanaompenda manara kwa tabia zake ujue ni watu wenye roho mbaya na wenye wivu...
 
Hatuwezi kutoka kwenye focus kizembe hivi.

Padre kushambuliwa ni moja ya jaribio baya ambalo wasiojulikana wamelifanya.

Circumstances zake zitakuwa ni kubwa sana.

Na haya majaribio ya kitoto ya kuhamisha mjadala kutaka kuwatoa watu kwenye focus wasiweze kujadili huu ukatili hayawezi kuteka attention ya watu rational wanaojua thamani ya uhai wa mtu.
Mjadala wa Manara hauwezi kuharibu movement za tukio la Padre msomi Kitima...huku tuna refresh tuu akili zilizochoka na maisha....sio kila kitu ni kutoa focus...
 
Screenshot_20250501-130248_Instagram.jpg
 
Hatuwezi kutoka kwenye focus kizembe hivi.

Padre kushambuliwa ni moja ya jaribio baya ambalo wasiojulikana wamelifanya.

Circumstances zake zitakuwa ni kubwa sana.

Na haya majaribio ya kitoto ya kuhamisha mjadala kutaka kuwatoa watu kwenye focus wasiweze kujadili huu ukatili hayawezi kuteka attention ya watu rational wanaojua thamani ya uhai wa mtu.
Umepotea njia
 
Nahisi leo Kabwili huko aliko anakenua had gego la mwisho, hawa ndo walie muharibia career yake pale jangwani, bado yule mashavu mbonyeo nae kitamkuta kitu.

Ila Takadini ni mnafiki jamani, hadi boss wake, afu anamuonea wivu uwoya, kupewa 💲50k, mbona yeye alipelekwa dubengaa? Lol, nataka kuona mlemavu wa mashavu ata react vipi shem wake kunangwaa vilee.

Majiraniii hukuuuu. 😂😂😂😂😂😂
 
Yani Kwa kifupi
Mwanamke anadhalilika zaidi alipigwa pumb.u kuliko mwanaume
Zai kanyonya libolo la Manara
Zai kaliinamia dog style libolo la Manara
Zai kaonwa uvungu wa maku na Manara
Huku Manara
Zai kapimwa oil na Manara
Akimwaga kojo zito Kwa zai
Manara akikoroma kibabe

Hapo nani kadhalilika?
Wote inategemea upo na nafasi gani kwy jamii...ahahahahha
 
Nahisi leo Kabwili huko aliko anakenua had gego la mwisho, hawa ndo walie muharibia career yake pale jangwani, bado yule mashavu mbonyeo nae kitamkuta kitu.

Ila Takadini ni mnafiki jamani, hadi boss wake, afu anamuonea wivu uwoya, kupewa 💲50k, mbona yeye alipelekwa dubengaa? Lol, nataka kuona mlemavu wa mashavu ata react vipi shem wake kunangwaa vilee.

Majiraniii hukuuuu. 😂😂😂😂😂😂
Tupe mambo cocastikiii....hebu tulegezee code
 
Kashaomba radhi tayari ndo ujue ni mnafiki..muongo..mchonganishi na msengenyaji...
Yani huyu sio wa kumkumbatia..
Na wanaompenda manara kwa tabia zake ujue ni watu wenye roho mbaya na wenye wivu...
Manara ana hulka ya unafiki ,ukiona kakuomba radhi ujue kuna faida anataka kutoka kwako , pengine huwa unampampa msaada ndo hilo litamfanya akuombe radhi.

Ila hulka yake ya unafki hawezi kuiacha akipata sehemu yenye faida ataenda kutoa siri zako huko tena, hawa wanafki kama manara zamani walikua wanakatwa shingo maana ni adui mbaya sana
 
Back
Top Bottom