Manara limemkuta jambo

Manara limemkuta jambo

Nawe kama una akili timamu unaruhusu vipi kuachia mambo yako kwa Watu wa type ya Manara au Mwijaku?.
 
Huyu ni wale wanaume wanao zira kila siku kama mayatima au watoto wa kambo

Mwisho wa siku mke wake akachoka sasa

Na siraha yake kubwa ni matusi huyu akioa kwenu anaweza tukana hadi wakwe

Ni ushamba unamsumbua huyu hana tofaut na manara au zai kila kitu cha kifamilia kinapelekwa mitandaon

Ndoa husuluhishwa kanisan kwenye mahakama za ndoa za kanisa siyo mitandaon
Umeoa Beira Boy ?
 
Pamoja na yote, wabaya wa bugatti wanamezea mate panapotoka ridhiki yake. Watu wana roho mbaya sana ktk vitu siwezi fanya ni kuivuruga ridhiki ya mtu.
 
Sijawahi ona machawa wakimsogelea Don rostam aziz
Huyu kauzu kwanza utamuingiaje
Na mambo ya kimberley n kutafutiana wanawake

Ova
 
Manara ashamvua huyo zai kyupi na kukuona kabisa uvungu mwekundu Kwa ndani na uchafu uliomo
Hapo Zai ashalamba Koni ya Manara
Zai ashakunama dog style Kwa Manara
Kwa kifupi zai ni takataka mbele ya Manara
Najivunia kuwa mwanaume
Vipi zai hajapukunyua kunyanzi za kende? Unajivunia kuitwa mwanaume? Takataka kwa mujibu wa nani? Grow up
 
Yaan wakubali kudhalilika vile kwa Mil 2!!! Wewe watu wanapiga hela ndefu, kama tu ile video ya Uwoya pesa iliyoingia Mange akaweza kununua ile G Wagon je aliyepeleka video alilipwa ngapi?
Balaa
 
Ila jamani yale mazungumzo ni ya kawaida ya watu wamekaa zao home wanapiga soga aliyerekodi na kuvujisha amekosea sana,
Simkubali Manara ila kwa hili namtetea kiduuuuchu maana kusema watu WOTE hua tunasemana wenyewe tunaita 'kudoboa' ila alichonikera ni kumuongelea kwa chuki Mfalme Alikiba hakuona yaliyomtokea Master Jay 🤣🤣 maskini ka Ruby ndio akakaadharau eti "nikulipe uje kwenye event yangu wewe kama nani" Uwoya nae akaitwa 'takataka' 🥺😃
Kasema wasanii wote hawana hela huyo Mondi anamkopa hadi laki 5, kiufupi kwa Tz hakuna msanii bilionea njaa tupu, lol

Hao wake za maboss mbona tu kawasifia, mke wa Gsm kasema ana roho nzuri sana na mkarimu sofa za Mil 24 kamuuzia kwa Mil 7, mke wa Salaa kasema kafanya sajeri Marekani kafanana na JLo wa ukweli kabisa, mtoto kanyooka, kuna mtu alisema Salaa katoka na Tessy aliiyeyushia ila Uwoya alitoka na Salaa na baadae Tessy akamnyakua ndio ugomvi mkubwa wa Uwoya na Tessy,

All in all, Manara apunguze mdomo akae kimya huku anawaomba msamaha alowakosea kimya kimya.
Wote tunasengenya ila ukishatoka eneo hilo ukamfikia mwenyewe..wewe kubali tuu kunangwaaa...
 
Back
Top Bottom