SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 2,603
- 4,028
Ukimsaidi mkeo kumtukana EX-wake jua na wewe utakuja tukanwa naye...
Nipo na Manara bcoz ndivyo alivyo....
Nipo na Manara bcoz ndivyo alivyo....
Huyu ni wale wanaume wanao zira kila siku kama mayatima au watoto wa kamboSi uliona aliyoyapitia? Kwani hujasoma biblia? Dhambi ya uzinzi inakupa haki ya kuachana na mke au mumeo
Kashaliwa kichwaCalm down....
Upo tajiri?Kudhalilika aje kwani si alikua mkewe wa ndoa ajabu nini hapo?
Na ukiona kaanzisha ugomvi popote jua yuko na kamapani nyuma hivyo anajua ngumi hawezi pigwa .Zungu miyeyusho sana afu mkorofi mno aliwahi kugombana na wahudumu wa VIBE LOUNGE & VELVET NIGHT CLUB Sinza Africa sana pale siku ile nilicheka sana😃😀😀😀
Tayar umeshajiridhisha mzeeBasi hapo nimemdharau
Unafikiria vibaya…. Huwa tunaenjoy kufanya hivyo as long as tumeridhika.Manara ashamvua huyo zai kyupi na kukuona kabisa uvungu mwekundu Kwa ndani na uchafu uliomo
Hapo Zai ashalamba Koni ya Manara
Zai ashakunama dog style Kwa Manara
Kwa kifupi zai ni takataka mbele ya Manara
Najivunia kuwa mwanaume
Diamond kweli ana busara kuliko manara, Ndio maana Manara akizingua wanawake zake kumpigia simu Diamond kuomba ushauri au kumtaka amshauri kaka yake 😂😂😂😂😂Umemaliza...kwanza dimond ana busara kuliko Manara
Very komfyuzingi.... 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Diamond kweli ana busara kuliko manara, Ndio maana Manara akizingua wanawake zake kumpigia simu Diamond kuomba ushauri au kumtaka amshauri kaka yake 😂😂😂😂😂
Imagine mtu anaomba ushauri wa mahusiano kwa Diamond 🤣
Manara anamuona shetani live kivipi? I mean nani ni shetani hapo?NDOA sio SHOWOFF...
Sasa Manara anamuona Shetani live 😂😂
Watu wanapiga Hela Kwa kujichetua mitandaoni balaaHuko mitandaoni kona za Instagram kumechafuka habari kubwa ni kumuhusu Manara....
Kwa sasa wadau wanasema lile jina lake la semaji halimfai bali aitwe Sengenyaji kwa sbb ya tabia zake za kusengenya watu mpaka wa karibu yake na wanaomuweka mjini....
Manara inasemekana voice notes zake zimemfikia mmbea wa Taifa Mange Kimambi na kuziachia huko kunako App
Kwamba Manara anamsema Tajiri wake GSM,mdogo wa gsm Salah,wake wa gsm,All Kiba, Irene uwoya ...nk
Sasa Manara bana hiyo kesi ya aliedukua hizo voice note anasema ni mtalaka wake wa juzi Zaiylisa...na mtalaka wake kamchambaa kamwambia angekua anataka kumdhalilisha mbona hizo voice note ni cha mtoto? Maana ana makubwa zaidi ya hizo..
View attachment 3321691View attachment 3321692View attachment 3321693View attachment 3321694View attachment 3321695View attachment 3321696View attachment 3321697View attachment 3321698
Kilichonishangaza kumbe hata mashabiki wa Yanga kuna wengine hawampendi baba wa watu kama huyu anajiitaga last born wa Yanga Kevoo na yy anacomment eti amefurahi
View attachment 3321700
Cha kumshauri huyu baba umri umeenda aache drama za mitandoni...akae atulie shida kuna watu wana mpaga bichwa...ila atakuja adhalilishwe zaidi...ndo shida ya kuoa wadada wa mjini...
Yaan wakubali kudhalilika vile kwa Mil 2!!! Wewe watu wanapiga hela ndefu, kama tu ile video ya Uwoya pesa iliyoingia Mange akaweza kununua ile G Wagon je aliyepeleka video alilipwa ngapi?Mange kimambi ni takataka Kama livyo ccm
Aslay alilecord clip akamuuzia mange kwa mil 2
Gigy money vile vile aliuza kwa mil 2
Kuna upumbavu mkubwa kwa hawa wanaitwa wambea .