Kwa hio wewe ni nani wakutuaminisha kua huyu ni nabii wa uongo au huyu ni wa kweli?!!
Lkn nakwambia hakuna mtumishi wa Mungu wa kweli aliyeyaona maovu hata yawe ya serikali na akayakalia kimya,soma kisa cha nabii samweli alipokua akizikosoa serkali za wafalme.
Ujue hakuna nabii wa uongo anaependa kufa kwa kusema kweli.kweli na isemwe maana humweka mtu huru.
Lkn nakwambia hakuna mtumishi wa Mungu wa kweli aliyeyaona maovu hata yawe ya serikali na akayakalia kimya,soma kisa cha nabii samweli alipokua akizikosoa serkali za wafalme.
Ujue hakuna nabii wa uongo anaependa kufa kwa kusema kweli.kweli na isemwe maana humweka mtu huru.