programmer95 ghorofani unafugia nywele tu huna kitu kama nduguyo BASHITEWakiwasifia ni manabii wa ukweli, wakiwakosoa ni wanabii wa uongo, huyo ndugu yenu angekuwa chaguo la Mungu angeshinda kwa 100%
Aisee unaangaikaaaHabari wakuu,
Tunaomba Serikali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.
Kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.
Juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebehi Mh rais. Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.
Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
[emoji106] ila wanaotumia neno la Mungu kwenye mambo ya kijinga wananichefua nafsi yangu ila bac tuMleta hoja usijidanganye na kuwadanganya wengine kuwa tawala zote zatoka kwa Mungu! Sio kweli hata kidogo kutokana na ushahidi huu wa herode na waisrael enzi za utumwa alivyokuwa anashindana na Mungu kuhusu kuwaachia waisrael ili waende nchi ya ahadi. Herode alikuwa mfalme na hakuwa chaguo la Mungu. Na mifano ipo mingi tu. Hivyo usimtumie Mungu kujustify na kuhalalisha dhuluma juu ya watu wa Mungu.
Kwa taarifa yako hata wanasiasa ni manabii na wanahubiria wafuasi wao habari za uongo nao uwakatae pia.
Hivi Kakobe ana kazi gani hapa TZ? Uchungaji nayo ni kazi? Tumekumbushwa mitandanoni kwamba hata Yesu alikuwa seremala, Kakobe je?Hivi Kakobe anatapeli nini?
Hata neno hilo la Mungu limeutaja ujinga mara nyingi tu lakini halichefui nafsi![emoji106] ila wanaotumia neno la Mungu kwenye mambo ya kijinga wananichefua nafsi yangu ila bac tu
Kwani uaskofu na uchungaji kwako sio kazi? Au maana ya kazi imekutoka au huijui?Hivi Kakobe ana kazi gani hapa TZ? Uchungaji nao ni kazi? Tumekumbushwa nitandanoni kwamba hata Yesu alikuwa seremala, Kakobe je?
soma hapa:
KESI YA ASKOFU KAKOBE KUSIKILIZWA MWAKANI - Fukuto la Jamii
KAKOBE AKWAA KISIKI MAHAKAMANI - Fukuto la Jamii
Mahakama yaamuru wadhamini Kanisa la Kakobe washtakiwe
usitake kubishana na wanywa viroba makarai ya mboweUnaniita malaya halafu unaomba tuheshimiane! Utakuwa na tatizo la uelewa.
Nijibu! Una elimu gani!! Au umekesha kwa Kakobe, Kibweteere wa TZ.
Mmmmh! Ukiona hayo ya Kakobe na wewe, ujue vimekaza hadi kanisani.Kwani uaskofu na uchungaji kwako sio kazi? Au maana ya kazi imekutoka au huijui?
Nawajua mkuu lakini naogopa kuwaachia. Baadaye wanajiamini kwamba wana uelewa. Si unaona wanapeana 'likes'?usitake kubishana na wanywa viroba makarai ya mbowe
Katika nchi ambayo waganga matapeli kama babu wa loliondo wanaeuhusiwa?Habari wakuu,
Tunaomba Serikali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.
Kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.
Juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebehi Mh rais. Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.
Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Sio mamlaka zote utoka kwa Mungu soma vizuri biblia uelewe.Habari wakuu,
Tunaomba Serikali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.
Kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.
Juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebehi Mh rais. Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.
Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Hivi umeshakagua kichwa chako kujua ndani yake kuna nini!kakobe kosa lake ni kupotosha umma na kujaribu kuingiza interest zake za kisiasa kweny mambo ya mungu