Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,099
Miundombinu ya hiki kituo imeharibika kiasi fulani na kutengeneza mashimo makubwa ambayo kwa kipindi hiki cha mvua yanahifadhi maji na kusababisha kero kwa wanaotumia kituo hicho.
Kwanza panapitika kwa shida, usipokuwa makini unaogeshwa maji machafu na daladala au bajaji.
Pia yale mashimo yamechimbika sana kiasi kwamba daladala zinapita kwa shida kwa kugonga chini.
Wahusika wakiangalie kituo hiki kwa roho za huruma waache kuwa wabinafsi.
Kwanza panapitika kwa shida, usipokuwa makini unaogeshwa maji machafu na daladala au bajaji.
Pia yale mashimo yamechimbika sana kiasi kwamba daladala zinapita kwa shida kwa kugonga chini.
Wahusika wakiangalie kituo hiki kwa roho za huruma waache kuwa wabinafsi.