Mamlaka za Uteuzi wa Viongozi zinadhihirisha wazi kuna tatizo kwenye utaratibu wa "Vetting"

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,379
8,123
Kwa muda wa miaka 3 ya utawala wa Rais Samia, kumekuwa na Teuzi na Tenguzi au kubadilishwa kwa nafasi za Kiutawala kwa wanaoteuliwa na wakati mwingine bila hata kuelezwa sababu.

Samia amekuwa akiteua na kutengua au kuwarejesha watu walioondolewa kazini kwa sababu mbalimbali. Na wapo ambao ameendelea kuwakumbatia licha ya kuwa na kashfa mbaya kiuongozi.

Baadhi ya Viongozi hao ni pamoja na Makonda, Chalamila, Biswalo Mganga, Kingai na wengine wengi.

Hapa tu inaonesha aidha kuna shida katika idara ya Usalama wa Taifa eneo la Mahusiano kwa Umma au Rais anapuuza makandokando yaliyopo nyuma ya anaowateua kwa maslahi yake binafsi.
 
Kwa muda wa miaka 3 ya utawala wa Rais Samia, kumekuwa na Teuzi na Tenguzi au kubadilishwa kwa nafasi za Kiutawala kwa wanaoteuliwa na wakati mwingine bila hata kuelezwa sababu.

Samia amekuwa akiteua na kutengua au kuwarejesha watu walioondolewa kazini kwa sababu mbalimbali. Na wapo ambao ameendelea kuwakumbatia licha ya kuwa na kashfa mbaya kiuongozi.

Baadhi ya Viongozi hao ni pamoja na Makonda, Chalamila, Biswalo Mganga, Kingai na wengine wengi.

Hapa tu inaonesha aidha kuna shida katika idara ya Usalama wa Taifa eneo la Mahusiano kwa Umma au Rais anapuuza makandokando yaliyopo nyuma ya anaowateua kwa maslahi yake binafsi.
Tatizo wewe unawaona TISS ni wasafi kama "Malaika"
 
Kwa muda wa miaka 3 ya utawala wa Rais Samia, kumekuwa na Teuzi na Tenguzi au kubadilishwa kwa nafasi za Kiutawala kwa wanaoteuliwa na wakati mwingine bila hata kuelezwa sababu.

Samia amekuwa akiteua na kutengua au kuwarejesha watu walioondolewa kazini kwa sababu mbalimbali. Na wapo ambao ameendelea kuwakumbatia licha ya kuwa na kashfa mbaya kiuongozi.

Baadhi ya Viongozi hao ni pamoja na Makonda, Chalamila, Biswalo Mganga, Kingai na wengine wengi.

Hapa tu inaonesha aidha kuna shida katika idara ya Usalama wa Taifa eneo la Mahusiano kwa Umma au Rais anapuuza makandokando yaliyopo nyuma ya anaowateua kwa maslahi yake binafsi.
Tatizo siyo vetting
Tatizo ni teuzi za kufafijiana.

Baada ya kufariki yule simba wa yuda, mama aliamuakuwarejesha wale waliotemwana mfumo.

Ameanza kuona matokeo yake ndo anakumbuka shuka kumekucha.
 
Kwa mazingira ya siasa zetu compatibility ya vetting haiko 100%. End result ya vetting itakupa mmoja kati ya kumi wakati huo wewe unawahitaji nane. Pia usisahau vetting inaweza kukupa wote kumi wako safi ila wakaja kuwehuka huko mbeleni halafu ukaja kulalamikia vetting which is also wrong. Ndiyo maana yanatokea ya kutokea.
 
Kwa muda wa miaka 3 ya utawala wa Rais Samia, kumekuwa na Teuzi na Tenguzi au kubadilishwa kwa nafasi za Kiutawala kwa wanaoteuliwa na wakati mwingine bila hata kuelezwa sababu.

Samia amekuwa akiteua na kutengua au kuwarejesha watu walioondolewa kazini kwa sababu mbalimbali. Na wapo ambao ameendelea kuwakumbatia licha ya kuwa na kashfa mbaya kiuongozi.

Baadhi ya Viongozi hao ni pamoja na Makonda, Chalamila, Biswalo Mganga, Kingai na wengine wengi.

Hapa tu inaonesha aidha kuna shida katika idara ya Usalama wa Taifa eneo la Mahusiano kwa Umma au Rais anapuuza makandokando yaliyopo nyuma ya anaowateua kwa maslahi yake binafsi.
Ni kweli ni tatizo limejidhihirisha wazi
 
Kwa muda wa miaka 3 ya utawala wa Rais Samia, kumekuwa na Teuzi na Tenguzi au kubadilishwa kwa nafasi za Kiutawala kwa wanaoteuliwa na wakati mwingine bila hata kuelezwa sababu.

Hapa tu inaonesha aidha kuna shida katika idara ya Usalama wa Taifa eneo la Mahusiano kwa Umma au Rais anapuuza makandokando yaliyopo nyuma ya anaowateua kwa maslahi yake binafsi.
Anachofanya ni kwa mujibu wa katiba, rais hapaswi kutoa sababu zozote za uteuzi au utenguzi wa nafasi yoyote. Kwa vile katiba ni yetu, sisi tukiamua tunataka rais wetu awe anatoa sababu za uteuzi na utenguzi, tunampangia. Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?

Hilo la vetting, ni kweli kuna tatizo, ila kwa vile vetting hafanyi yeye, then nimeshauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
P
 
Watanzania tuna matatizo hao wenzetu wanaofanya vetting wana akisi madhaifu yetu kama taifa. We are very subjective na sio objective. Unakuwa na bodi nzima watu wa dini moja? Huyo mfanya vetting ukimtathmini unajua kabisa kigezo kilikuwa dini then mengine yakafuata. Tuna shida kwenye kufuata masharti na vigezo in everything. Huyu mkabila,yule mdini,yule mjinsia,yule mdhehebu na tunamalizia na connection,wa nani huyu? huko kwao aliwahi kutoka hata mjumbe?
 
Ukiacha tatizo la vetting, pia kuna tatizo la wateuliwa kujiona Miungu watu, yaani inafikia Naibu Waziri, anafanya ukatili wa hali ya juu sana duniani, kumuingizia chupa ya Coca mkundu.ni kwa kijana wa kazi, hii ni zaidi ya ukatili, nimetafuta jina la ukatili mbaya sana huu nimekosa, ingefaa Pauline Gekul awe magereza saa hizi.

Mh. Rais hana la kufanya zaidi ya kutengua uteuzi wa viongozi makatili kiasi hiki, na Jamhuri imshtaki haraka sana huyu Mama Pauline katili sana na sheria ichukue mkondo wake
 
Anachofanya ni kwa mujibu wa katiba, rais hapaswi kutoa sababu zozote za uteuzi au utenguzi wa nafasi yoyote. Kwa vile katiba ni yetu, sisi tukiamua tunataka rais wetu awe anatoa sababu za uteuzi na utenguzi, tunampangia. Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? iwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?

Hilo la vetting, ni kweli kuna tatizo, ila kwa vile vetting hafanyi yeye, then nimeshauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
P
Watu kama Makamba, Aweso, Mwigulu, Nape, Ummy, Kijaju, Bashe, Jafo, Mbarawa na Masauni unahitaji vetting ya wapi? huyu maza amekumbatia udini, uchama na ukaribu.
 
Watanzania tuna matatizo hao wenzetu wanaofanya vetting wana akisi madhaifu yetu kama taifa. We are very subjective na sio objective. Unakuwa na bodi nzima watu wa dini moja? Huyo mfanya vetting ukimtathmini unajua kabisa kigezo kilikuwa dini then mengine yakafuata. Tuna shida kwenye kufuata masharti na vigezo in everything. Huyu mkabila,yule mdini,yule mjinsia,yule mdhehebu na tunamalizia na connection,wa nani huyu? huko kwao aliwahi kutoka hata mjumbe?
System ya Tanzania imeoza haswa hakuna kitu
 
Watu kama Makamba, Aweso, Mwigulu, Nape, Ummy, Kijaju, Bashe, Jafo, Mbarawa na Masauni unahitaji vetting ya wapi? huyu maza amekumbatia udini, uchama na ukaribu.
Hao wote tayari ni vetted unahitaji vetting nyingine ya nini?. Sina shida hata wakiwa Waislamu watupu as long as wamekidhi sifa na vigezo. Enzi za Nyerere ni Wakristo walijaa kila mahali, hakuna aliyeshangaa!.
Tangu tumepata uhuru na kuanzisha JWTZ ma CDF ni Wakristu tuu, hata Abdallah Twalipo ni kama Jaji Ramadhan au Anna Abdallah, mkewe ni Mkristo watoto Wakristo!.https://www.jamiiforums.com/threads/je-kuna-uhusiano-wa-dini-kabila-na-ukakamavu-watu-wa-dini-kabila-fulani-ni-wazuri-zaidi-jeshini-kuliko-dini-kabila-nyingine.1572678/

Blaza alipojaza Wasukuma kwanza tulisema humu Tuhuma za Ukabila: Wasukuma si Miongoni mwa Makabila yenye Ukabila, tatizo ndio walio wengi! kisha tukamshitaki Wito kwa Bunge letu tukufu: Mkithibisha hii Nepotism ya ajabu na zile Boeing ni TT, then hatufai!.

Mwisho wa siku aliondolewa!.
P
 
Back
Top Bottom