Uchawa wa Viongozi unatisha

Mr RoundAbout

Member
Oct 6, 2023
70
85
Hakika leo nimeamini kuwa Taifa hili tumefika hapa tulipo Kwa ajili ya unafiki na uchawa wa Viongozi ambao ndiyo washauri wa Rais kuwa waongo na watu wakujipendekeza tu kwenye mamlaka ya uteuzi.

Haiingii akilini eti kadogosa DG wa TRC anasema Rais SAMIA kawashinda Wajerumani katika ujenzi wa reli, wakati ukweli haupo hivyo.

Hata angekuwa anamsifu kwa kuanza Kwa SGR Watanzania tunajua kuwa wazo hili ni Hayati Magufuli na pia kuna uchakachuaji mkubwa wa mradi ule kwa Sasa mbali na kucheleweshwa kukamilika kwake kutokana na wizi unaoendelea.

Kadogosa acha kumdanganya Rais Samia, fanya kazi.

Action speaks louder than words
 
Back
Top Bottom