Mamlaka haya makubwa Gwajima kayapata wapi?

Mamlaka haya makubwa Gwajima kayapata wapi?

Hana athari huyu ,atarudi kijijini kwao .kwanza ,anaongea huku anatetemeka ,anadanganywa eti ni jasus ,ajaribu aone mziki wake.
 
Itoshekusema CCM imeparanguka,CHADEMA imejifia, ACTwazalendo inahitaji huruma,CHAUMMA inasubilia msosi unaoletwa, na vyama vingine havielewi vinakoelekea kwani vinaongozwa kwahyo anayewaongoza akipotea vinasimama kusubilia maelekezo...Ruzuku inatolewa na chama kilichopo madakani...KATAA SIASA KWASASA NI UTAPELI.
 
Hata wewe ungekuwa yeye ungefanya kama anavyofanya yeye , Tatizo sio kizimkazi tatizo ni watu walio muweka hapo Akifikiria kifo Cha mwenda zake na yeye anaogopa anajua watamla kichwa soon kama asipo fuata matakwa yao uraisi ni Taasisi ngumu sana usichukulie poa
Ila kampa za uso kizimkazi. Angekuwa ana akili angesikiliza maoni ya wananchi. Tatizo ilimu za kuungaunga hizi ni shida
 
Back
Top Bottom