Mamlaka haya makubwa Gwajima kayapata wapi?

Mamlaka haya makubwa Gwajima kayapata wapi?

Gwajima katandika sana leo.
Hoja zake kubwa ni:

1. Serikali ijitafakari na usiingie uchaguzini bila kuweka mambo sawa sawa.

2. Serikali ifungue makanisa in 10 days.

3. Serikali imuachie Lissu bila masharti..Amesema hata yeye Lissu anamuhusu,sio kwa wanachadema tu na akaenda mbali akasema Lissu ana issues zaxafya kutokana na kupigwa risasi,kwa mfano ikitokea kapata matatizo au kama gerezani ni Mwananchi gani atakubali kuwa kama Natural death

4. Amesisitiza Reforms zifanyike kabla ya uchaguzi.(Amesema hebu CCM wajenge picha kuwa Mkurugenzi wa Tume,Mkurugenzibwa Halmashauri nk wateuliwe na Lissu na Lissu ni mmoja wa wagombea je CCM watakubali??)

5. Kawapongeza wazee wastaafu wanaongea kushauri mambo kama Butiku na Warioba na kamshauri sana Kikwete kufanya yanayompasa kufanya kiusahihi kama Rais pekee mstaafu

6. Kasisitiza Majeshi na vyombo vya usalama kuwa nani nguvu ya kuangalia mambo hasa taasisi ya Urais inapokuwa haiendi sawa wawe na vikao pembeni na karudia hoja yake kuwa wakuu wake wasiondolrwe bila Bunge kuraarifiwa sababu na kushiriki maamuzi

Amefikia kutishia kuwa iwapo makanisa ya Ufufuo na Uzima hayatafunguliwa in 10 days atakuja na kuongea jambo ambalo hakuna atakayeamini hapo tarehe 24 au 25 mwezi huu.

Zaidi zaidi kakumbushia kwa JK na CCM kuwa ushindi wa chama chao ni muhimu lakini hauwezi kushinda umuhimu wa Masilahi ya Taifa
Mpumbavi mmoja hivi apuuzwe.Unafiki na chuki dhidi ya Samia unamsumbua
 
Gwajima katandika sana leo.
Hoja zake kubwa ni:

1. Serikali ijitafakari na usiingie uchaguzini bila kuweka mambo sawa sawa.

2. Serikali ifungue makanisa in 10 days.

3. Serikali imuachie Lissu bila masharti..Amesema hata yeye Lissu anamuhusu,sio kwa wanachadema tu na akaenda mbali akasema Lissu ana issues zaxafya kutokana na kupigwa risasi,kwa mfano ikitokea kapata matatizo au kama gerezani ni Mwananchi gani atakubali kuwa kama Natural death

4. Amesisitiza Reforms zifanyike kabla ya uchaguzi.(Amesema hebu CCM wajenge picha kuwa Mkurugenzi wa Tume,Mkurugenzibwa Halmashauri nk wateuliwe na Lissu na Lissu ni mmoja wa wagombea je CCM watakubali??)

5. Kawapongeza wazee wastaafu wanaongea kushauri mambo kama Butiku na Warioba na kamshauri sana Kikwete kufanya yanayompasa kufanya kiusahihi kama Rais pekee mstaafu

6. Kasisitiza Majeshi na vyombo vya usalama kuwa nani nguvu ya kuangalia mambo hasa taasisi ya Urais inapokuwa haiendi sawa wawe na vikao pembeni na karudia hoja yake kuwa wakuu wake wasiondolrwe bila Bunge kuraarifiwa sababu na kushiriki maamuzi

Amefikia kutishia kuwa iwapo makanisa ya Ufufuo na Uzima hayatafunguliwa in 10 days atakuja na kuongea jambo ambalo hakuna atakayeamini hapo tarehe 24 au 25 mwezi huu.

Zaidi zaidi kakumbushia kwa JK na CCM kuwa ushindi wa chama chao ni muhimu lakini hauwezi kushinda umuhimu wa Masilahi ya Taifa
1755334399678.jpeg
 
Mliuzia chadema kuongea mkaona km kikwazo sasa mawe yanaongea na bdo huwezi kuzuia mafurik o kwa mkono.NB Hata km samia akishnda urais kwa uchaguzi feki ataongoza kwa shda na nchi haitatawalika
Day dream
 
Haihitaji uwe askofu au pihechidii holda au profesa kuona mgawangiko uliopo katika jamii,bahati nzuri mi kwasasa ni Babu,nimeshuhudua uchaguzi wa 1995-2020,hakuna uchaguzi ambao hauna hamasa kama huu wa 2025...... Taifa lipo vipande vitatu,au vinne hivi CCM vs CCM,CCM vs Upinzani, Upinzani vs Upinzani..........pia watu ambao hawawezi kukwepa lawama ni viongozi wa dini,wamepoteza mvuto kwa jamii kwasababu wameacha kazi yao mama na kuwa sehemu ya tabaka tawala
Usiwaonee viongozi wa dini, wengi wamesema mpaka wametoa nabii zao lakini watu wameziba masikio
 
Hata wewe ungekuwa yeye ungefanya kama anavyofanya yeye , Tatizo sio kizimkazi tatizo ni watu walio muweka hapo Akifikiria kifo Cha mwenda zake na yeye anaogopa anajua watamla kichwa soon kama asipo fuata matakwa yao uraisi ni Taasisi ngumu sana usichukulie poa
Mbona mkapa au nyerere hawakuuawa????. Tatizo yeye kichwa cha nazi. Kimejaa maji??
 
Wasiwe wanakaa kimya mda mrefu bana, sie wengine ndio Encypclopedia kwenye vijiwe vyetu, tunategemewa kwa fix za hapa na pale.
 
Gwaji Boy ni zaidi ya rais wa JMT!.
P
Pascal Mayalla salama mzee wangu...?

Hawa wanaouliza Askofu Gwajima katoa wapi ujasiri wa kuzungumza kwa mamlaka vile, ikanikumbusha na kuirejelea historia ya Yesu Kristo...

Kuna wakati Yesu Kristo alikuwa mbele ya mafarisayo, na Baraza la wazee, watoza ushuru na masudakayo (viongozi wa serikali). Akashusha hotuba ya kimamlaka iliyopelekea wamuhoji kumuuliza, ametoa wapi amri (mamlaka) ya kusema hayo? Nani kampa amri (mamlaka) ya kusema hayo..?

Majibu yake yalikuwa very simple....

The whole story is here👇👇
Mathayo 21:23-27 SUV
".....Hata alipokwisha kuingia hekaluni, wakuu wa makuhani na wazee wa watu wakamwendea alipokuwa akifundisha, wakasema, Ni kwa amri gani unatenda mambo haya? Naye ni nani aliyekupa amri hii? Yesu akajibu akawaambia, Na mimi nitawauliza neno moja; ambalo mkinijibu, nami nitawaambia ni kwa amri gani ninatenda haya. Ubatizo wa Yohana ulitoka wapi? Ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Wakahojiana wao kwa wao, wakisema, Tukisema, Ulitoka mbinguni, atatuambia, Mbona basi hamkumwamini? Na tukisema, Ulitoka kwa wanadamu, twaogopa mkutano; maana watu wote wamwona Yohana kuwa ni nabii. Wakamjibu Yesu wakasema, Hatujui. Naye akawaambia, Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa amri gani ninatenda haya..."​

Na leo watu wanaouliza, kwanini huyu Askofu Gwajima anaongea kwa mamlaka hivi? Katoa wapi mamlaka hayo...?

Jibu ni rahisi mno. Aliye ndani yake (Mungu Adonai ktk Yesu Kristo) ni mkuu na mwenye mamlaka makuu kuliko aliye ndani ya anaowapa ushauri...

The best thing ni kuwa, Askofu Josephat Gwajima kaongea ukweli mchungu sana, unaopenya hadi kwenye mifupa ya wale wanaotakiwa kubadilika na kubadilisha mitizamo yao hasi (negative perception) kwa hekima na busara ya hali ya juu sana..

Wasipoelewa, basi itakuwa bahati mbaya sana. Na pengine ndiyo itakuwa fate yao...

Tlaatlaah aisome pia hii. Huyu ni miongoni mwa wachache wagumu na wenye akili nzito sana kuelewa mambo..
 
Back
Top Bottom