Mambo wayafanyayo wanawake yanayokera

Mambo wayafanyayo wanawake yanayokera

Wadada wanasema tu hapa lakini siku hizi wanaongoza kwa kuhonga...!!
 
ha ha ha acha woga wewe pesa huhimu bila kuhonga unataka nn??
mwanaume majukum bhana

sio kuhonga andika kupewa

afu huhimu ndo lugha gani?

mi hela nakupa nawewe ukipata unanipa mradi tunapendana na ni reallove mazima
 
i) Kuomba sana pesa hata kama na yeye ana kazi, hii imekuwa kama mazoea kuwa mwanaume ndiyo mtoa pesa in all life aspects.
hii siyo sawa maisha ya kusaidiana ndiyo yaletayo furaha na mafanikio maishani.

ii) Kulalamika sana akigundua mpenzi wake ana mchepuko, wakati na yeye mchepuko anao zaidi ya mmoja.

iii) Kujiona kuwa wao ndiyo wanaochezewa tu, ukidate nae, mara nyingi utasikia, usikute unanichezea tu! kwani unachezewaje? mauno unakata mwenyewe style mbalimbali unabuni nwenyewe hii kauli ya "usikute unanichezea tu" ifutwe...

iv) Mwanamke kujilipia mahari ili tu aolewe inakera sana, wapo wanawake wa hivi, anampa mwanaume pesa ili akamlipie mahari hii haileti heshima yoyote ile ndoani.

v) Kujifanya wanamisimamo kumbe hakuna kitu, ni fungu la kukosa!!

kweli kabisa
 
haya asante Tembosa sasa na we endelea kuishi ki Karen hii ya kushea majukumu ya kulea familia pasu pasu uone matokeo yake,ni full ugomvi kila siku.

sio ugomvi tu na kuchapiwa kunakopelekea ndoa kuvunjika vipande vipande
 
Last edited by a moderator:
sio kuhonga andika kupewa

afu huhimu ndo lugha gani?

mi hela nakupa nawewe ukipata unanipa mradi tunapendana na ni reallove mazima

asante kwa kunirekebisha

umesema vzuri nami nikipata sio nakupa sema tunatumia kwa maana ni mwili mmoja

cc spade4spade
 
Last edited by a moderator:
Nyie ndio mnanifanya niendelee kujificha na kuwaogopa kuliko ukoma! Anyway, acha tu mimi nikae, sitaki tena hayo mavitu yenu!


uuuuupi pole yako wewe unakataa wakati wenzio wanahonga magari,viwanja na kutoa cheque.
umri utaenda na lazima utaoa tu.
 
Back
Top Bottom